Unapaswa upime mara ngapi kuthibitisha majibu ya UKIMWI?

Unapaswa upime mara ngapi kuthibitisha majibu ya UKIMWI?

Mkuu leo nampeleka muhisika kupima unigold, je akikuta ni negative natakiwa kuacha pep? Kuna madhara naweza kupata ?
Kama akikutwa ni negative hapo maana yake kuna kosa mahali... huwa hii inaitwa inconclusive.. inatakiwa mchakato wa kupimwa uanze upya.. mtaanza tena kupima kwa rapid test akiwa negative unamaana hana HIV na wewe utaacha kutumia PEP..

Ikijirudia tena rapid test ikawa +ve halafu unigold negative watawapa referral kwemda kupima kwa vipimo konki zaidi
 
Ukisoma baada ya dk zaid ya 20 mara nyingi husoma positive ila kama mfuatiliaji mzuri mstari wa positive na hiyo inayotokea baada ya dk 20 ni tofauti kabisa kama huo wa mtoa mada ni positive haina ubishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
niulize hapa kidogo, mstari wa positive huanza kuonekana baada ya muda gani tangu kupima

nauliza kwa kuwa huwa naona ule wa kwanza dk 0 unatokea huu wa 2 wa kuoesha (ve+) huwa unakuja/anza kutokea kwa muda gani (wastani) 5_10_15
 
Hakimu Mfawidhi, Hapo kama alipima juzi au hata jana ila kama wewe hukuwepo kudhibitisha hilo basi usiamini maneno matupu hapo ni 50/50 wewe chukulia kama hajapima kabisa na hiyo ulio mpima wewe ndio iwe moja, watu wakishaona wamekosea ndio huanza kutafuta visinzizio vywa juzi na jana nilipima,

Masada hapo tafadhali,

PEP ni nini?

Unigold ni nini?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaanza kuonekana kuanzia pale damu inapoanza kutembea kwenye kipimo(sec 0- 20dk) kwahiyo kuna ambao kipimo kinaonyesha muda huo huo nk inategemea na maambukizi kapata lini
niulize hapa kidogo, mstari wa positive huanza kuonekana baada ya muda gani tangu kupima

nauliza kwa kuwa huwa naona ule wa kwanza dk 0 unatokea huu wa 2 wa kuoesha (ve+) huwa unakuja/anza kutokea kwa muda gani (wastani) 5_10_15

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikukamia show, nina kawaida ya kutumia maji kulainisha ili kupunguza mchubuko, nikifanya na demu simuelewi hua najikondition kukojoa ndani ya dakika moja. Na ndivyo nilifanya goli la kwanza, goli la pili ni kama nililiunganisha na k ilikua imelowana sana sababu ya shahawa nilizokojoa ndani kwa goli la kwanza, so niliingiza tu bila shida na kukojoa fasta.

Sema nikataka niwe na uhakika wa afya yake ili niwe nasimamia show ya maana ndio nikamuomba nimpime, majibu yake yakawa hayo, nikakimbia hospitali faster jana na kuanza pep.

Hauna ngoma, sema una wasi wasi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hauna ngoma, sema una wasi wasi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mzee nimepagawa. Dokta nae kaniambia uwezekano wa kupata ukimwi kwa sex hua ni mdogo hadi kua na michubuko mingi. Akanihakikishia kua niko salama tu.

Mimi nikaona zaidi nipate dawa ili kuondoa uwezekano kabisa.
 
Hakimu Mfawidhi, Hapo kama alipima juzi au hata jana ila kama wewe hukuwepo kudhibitisha hilo basi usiamini maneno matupu hapo ni 50/50 wewe chukulia kama hajapima kabisa na hiyo ulio mpima wewe ndio iwe moja, watu wakishaona wamekosea ndio huanza kutafuta visinzizio vywa juzi na jana nilipima,
Masada hapo tafadhali,
PEP ni nini?
Unigold ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu.

Pep inaitwa post-exposure prophylaxis, ni dawa unaoewa kumeza baada ya kua umehisi au una uhakika kua mwili wako umekutana na maambuziki ya ukimwi kwa ngono au damu au sindano au njia yotote hivyo unapewa dawa kuzuia hizo virus wasiingie mwilini kuanza kuzaliana na kushambulia kinga za mwili. Kwa ujumla ni tiba ya kuzuia maambuziki ya virusi vya ukimwi. Inatakiwa ianze kutumiwa ndani ya masaa 72 toka umekutana na hiyo hali ndio unakua na nafasi kubwa zaidi ya kuzuia.

Unigold ni kipimo cha ukimwi bora zaidi ya hivi vidogo tunavyotumia vinavyouzwa maduka ya madawa. Ukipima na kile kidude majibu yakawa positive, unatakiwa kuthibitisha na unigold, unigold ikiwa positive pia basi hapo una ukimwi 100%. Ila kama kale kamesoma positive na unigold ikasoma negative inabidi vipimo vianze upya. So unigold ni kipimo cha kuthibitisha tu. Mtu haanzi dawa za arv kama hajapimwa kwenye unigold.

Mengine wataeleza wataalamu wa mambo ya afya.
 
Ni kweli mkuu.

Pep inaitwa post-exposure prophylaxis, ni dawa unaoewa kumeza baada ya kua umehisi au una uhakika kua mwili wako umekutana na maambuziki ya ukimwi kwa ngono au damu au sindano au njia yotote hivyo unapewa dawa kuzuia hizo virus wasiingie mwilini kuanza kuzaliana na kushambulia kinga za mwili. Kwa ujumla ni tiba ya kuzuia maambuziki ya virusi vya ukimwi. Inatakiwa ianze kutumiwa ndani ya masaa 72 toka umekutana na hiyo hali ndio unakua na nafasi kubwa zaidi ya kuzuia.

Unigold ni kipimo cha ukimwi bora zaidi ya hivi vidogo tunavyotumia vinavyouzwa maduka ya madawa. Ukipima na kile kidude majibu yakawa positive, unatakiwa kuthibitisha na unigold, unigold ikiwa positive pia basi hapo una ukimwi 100%. Ila kama kale kamesoma positive na unigold ikasoma negative inabidi vipimo vianze upya. So unigold ni kipimo cha kuthibitisha tu. Mtu haanzi dawa za arv kama hajapimwa kwenye unigold.

Mengine wataeleza wataalamu wa mambo ya afya.

RAPID imesoma positive,UNIGOLD ikasoma negative, kipimo kinachofuata kinaitwaje? na je majibu ya kipimo cha.mwisho ni uhakika wa % ngapi?
 
RAPID imesoma positive,UNIGOLD ikasoma negative, kipimo kinachofuata kinaitwaje? na je majibu ya kipimo cha.mwisho ni uhakika wa % ngapi?
Nadhani kuna kingine kinaitwa elisa, kingine dna pcr kwa ufahamu wangu
 
Hivi vipimo sijui vikoje. Mdogo wangu kanipigia simu analia muhamasishaji kampima majibu yametoka + Ve.
Nikaenda fasta nilipofika tuu ananisisitizia sasa kesho tunaenda kuanza dozi Siyo. Nikamwambia subirii twende hospitali tukathibitishe.
Kesho yake kwa hatua za minyato mpk hospitali, nikaona dawati la uelimishaji nikajieleza vizuri. Yule dada akasema ngoja tuthibitishe kabla hatujamuanzishia dozi.
Huwezi amini alipima pale hospitali Hadi kile kipimo Cha umbo la kopa majibu yalitoka -Ve.
Dogo alilowa jasho mpk viatu alivikung'uta hakuamini.
Hivi vipimo twende tukapime hospitali nimejifunza sana Mimi
 
Ulisabisha michubuko???


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu tuache kukariri kuwa ngoma inapita kwenye michubuko tu. No haiko hivyo. Kwenye viungo vyetu vya uzazi Kuna kitu kinaitwa mucus membrane, hii Ni njia nyingine ambayo virusi hupita during sex.
Mucus membrane Ni Ute pamoja na eneo lile lenye ngozi laini na lenye unyevu nyevu muda wote kwenye viungo vya uzazi wa mwanaume na mwanamke. Kwa mwanamke anakuwa kwenye hatari zaidi kutokana na kuwa na eneo kubwa la unyevunyevu kuliko mwanaume.

Utafiti unaonyesha hii ndio njia kubwa inayopitisha virusi during sex na sio michubuko pekee.

So mtoa mada amefanya maamuzi sahihi kutokutegemea michubuko ndio apime

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi vipimo sijui vikoje. Mdogo wangu kanipigia simu analia muhamasishaji kampima majibu yametoka + Ve.
Nikaenda fasta nilipofika tuu ananisisitizia sasa kesho tunaenda kuanza dozi Siyo. Nikamwambia subirii twende hospitali tukathibitishe.
Kesho yake kwa hatua za minyato mpk hospitali, nikaona dawati la uelimishaji nikajieleza vizuri. Yule dada akasema ngoja tuthibitishe kabla hatujamuanzishia dozi.
Huwezi amini alipima pale hospitali Hadi kile kipimo Cha umbo la kopa majibu yalitoka -Ve.
Dogo alilowa jasho mpk viatu alivikung'uta hakuamini.
Hivi vipimo twende tukapime hospitali nimejifunza sana Mimi
hahahaha hivi vipimo vitakuja kutuua kwa presha, kama kimebaki muda mchache kuisha muda wake kinasoma ve+ kama hakina akili nzuri (uchunguzi wangu) ukisoma nje ya muda hakikawii kuweka mistari mi 3

kujipima huku kutakuja kutuua, pole sana kwa dogo mkuu lazima bado ana mawenge kwa majibu yale.
 
Back
Top Bottom