Unapata hisia gani ukifikiria kuhusu Umri wako?

Unapata hisia gani ukifikiria kuhusu Umri wako?

Huwa nafadhaika sana pale wadada ambao kwa macho nawaona kama tupo sawa wanaponiita M'BABA badala ya M'KAKA

Pia vijana wa kiume ambao nawaona ni wa rika langu wanaponiita FATHER badala ya BROTHER

Huwa najiuliza hivi ni kweli ndo nimekuwa mkubwa kiasi hiki? Ghafla hivi? Mbona ni jana tu najikumbuka nikiwa nacheza michezo ya kitoto nikiwa primary! [emoji26][emoji26]
Mkuu kuitwa Father au Mshua na vijana wa Kitaa ni heshima tu,Haswa kama upo vizuri kiuchumi na unawasapoti.


Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
 
Shikamoo zinakuwa nyingi
Halaf kuna wale age inaendana au imepishana kidogo utasikia shikamoo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naogopa kuzeeka, nikikutana na mtu akaniangalia usoni halafu ndo anipe shkamoo yani huwa naitikia sauti ikitokea tumboni kabisa kwa mawazo....nkimcheki sasa anaenisalimia nachoka kabisa
Niliwahi mpa shikamoo mdada mahali Fulani, alinipiga jicho hilo.
Lo! ungekuwa mshale saivi ningekuwa marehemu. Watu wanaogopa age kubwa eeh.
 
Unazeeka au nikuache kwanza? 🙆‍♂️.

1983 - 40
1984 - 39
1985 - 38
1986 - 37
1987 - 36
1988 - 35
1989 - 34
1990 - 33
1991 - 32
1992 - 31
1993 - 30
1994 - 29
1995 - 28
1996 - 27
1997 - 26
1998 - 25
1999 - 24
2000 - 23
2001 - 21
2002 - 20
2003 - 19
😂🙏Na zeeka 91-32 dah nawaza bado naishi nyumba za kupanga
 
Hapana siungi mkono juhudi za kataa ndoa, nitaoa ila naona muda bado sitaki kuharakisha mambo.
Nakuelewa mkuu[emoji851]
728dc80e351b4d67ab402dbd0d10622f.jpg
 
Back
Top Bottom