Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Evidence 🧾Wewe Jf inakuzeesha. Unaonekana babu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Evidence 🧾Wewe Jf inakuzeesha. Unaonekana babu
Nimecheka, unaukimbia uzee bidada? Usihofu wala...unazeeka na kila kitu chako.Mungu anitie nguvu.....
Naogopa kuzeeka, nikikutana na mtu akaniangalia usoni halafu ndo anipe shkamoo yani huwa naitikia sauti ikitokea tumboni kabisa kwa mawazo....nkimcheki sasa anaenisalimia nachoka kabisaNimecheka, unaukimbia uzee bidada? Usihofu wala...unazeeka na kila kitu chako.
shangazi Eve shikamooNaogopa kuzeeka, nikikutana na mtu akaniangalia usoni halafu ndo anipe shkamoo yani huwa naitikia sauti ikitokea tumboni kabisa kwa mawazo....nkimcheki sasa anaenisalimia nachoka kabisa
Marahaba mwanangu....dahshangazi Eve shikamoo
Anzisheni uzi wenu 🤣🤣🤣Umri ungeanzia 1973
Mimi huwa nawasalimia watu wa 60’s kwa amani kabisa, hawa wengine kwakweli nashindwa. Nawauliza tu habari? Za kwako? BasiNaogopa kuzeeka, nikikutana na mtu akaniangalia usoni halafu ndo anipe shkamoo yani huwa naitikia sauti ikitokea tumboni kabisa kwa mawazo....nkimcheki sasa anaenisalimia nachoka kabisa
Umejua kunifurahisha😂 yaan n mm mtupu, nawaza mbona huyu kama hatuja pishana sana yaan ni huzuni kwakweliNaogopa kuzeeka, nikikutana na mtu akaniangalia usoni halafu ndo anipe shkamoo yani huwa naitikia sauti ikitokea tumboni kabisa kwa mawazo....nkimcheki sasa anaenisalimia nachoka kabisa
Mda unaenda mbio sana, sisi tushazoe kuitwa faza, mzee, uncle....na shkamoo kama zote, mwanzo ukiamkiwa unaona raha, ila mda unavyoenda unahisi hizi salam sasa ndio uzee huu.Naogopa kuzeeka, nikikutana na mtu akaniangalia usoni halafu ndo anipe shkamoo yani huwa naitikia sauti ikitokea tumboni kabisa kwa mawazo....nkimcheki sasa anaenisalimia nachoka kabisa
Anaibanabana kazeeka nayo sasa😄Nimecheka, unaukimbia uzee bidada? Usihofu wala...unazeeka na kila kitu chako.
Muwaache wa 2000Anzisheni uzi wenu 🤣🤣🤣
Huku ni kwa vijana wa kuanzia hapo 83
Unazeeka au nikuache kwanza? [emoji2297].
1983 - 40
1984 - 39
1985 - 38
1986 - 37
1987 - 36
1988 - 35
1989 - 34
1990 - 33
1991 - 32
1992 - 31
1993 - 30
1994 - 29
1995 - 28
1996 - 27
1997 - 26
1998 - 25
1999 - 24
2000 - 23
2001 - 21
2002 - 20
2003 - 19
Nina 19 ila najiona mkubwa sana na sijafanya chochote cha maana na maisha yangu😢
mambo mchuchuHii toa 19 is equal to…! Ah kudadadeki mtoto em salimiaa