Unapata hisia gani ukifikiria kuhusu Umri wako?

Unapata hisia gani ukifikiria kuhusu Umri wako?

Mimi nilijua nikigonga 30 na kuendelea inbidi ni behave kama mzee wangu, kumbe nimekuja kujua i am much more matured kuliko hawa wazee, japokuwa mzee wangu yupo bright ila tunakaribiana ujinga ila ile heshima ya utu uzima nilishaivua kitambo baada ya kukaa na watu wenye umri mkubwa nikajua ni just pieces of shit niliiondoa kabisa kigezo cha umri kwenye heshima, nitamheshimu mtu wenye umri mkubwa baada ya kutumia muda kidogo na yeye na akapita vigezo vyangu sisemi kwamba siwaheshimu ila ile heshima ya juu, kimoja wapo ni kuwapa pombe na kuwasikiliza
 
..
ceec50b8834d41d39eaf2bad9e37796b.jpg
 
Unazeeka au nikuache kwanza? 🙆‍♂️.

1983 - 40
1984 - 39
1985 - 38
1986 - 37
1987 - 36
1988 - 35
1989 - 34
1990 - 33
1991 - 32
1992 - 31
1993 - 30
1994 - 29
1995 - 28
1996 - 27
1997 - 26
1998 - 25
1999 - 24
2000 - 23
2001 - 21
2002 - 20
2003 - 19
Pamoja na kwamba nazeeka sasa ila sitaki kuamini kama mtoto wa mwaka 2004 tayari anafaa kwa matumizi ya 'kibaiolojia', as a matter of fact, kuanzia mwakani wale wa 2005 nao wanaingia 'sokoni'

Anyway, ndio uhalisia huo kuwa umri wa 18+ ni mtu mzima, japo kiukweli kwa yoyote ambae umri wake umesogea unaona 18 yrs sio kitu hata na mwenye nao bado mdogo sana

sasa sipati picha wale ambao wanadai tushuke mtu mzima atambuliwe kuanzia 16 yrs😌,
 
1997
Ila tangu nikiwa na umri wa miaka 18 nilikua najiona umri umekimbia na nikawa naona kila kitu nimechelewa kufanya ila Leo hii nimegundua kumbe sikua nimechelewa ilikua ni hofu yangu tu.
Kwa sasa nimeamua kuishi kwa amani huku nikifanya juhudi ndogondogo za kila siku ambazo zinaniweka hatua moja mbele zaidi ya jana japo ni juhudi ambazo matunda yake hayaonekani kwa haraka

Sijutii chochote maana najua nikijuta leo miaka 10-15 ijayo nitakumbuka umri huu na nitaona kuwa nilikua na nafasi kwahiyo namuomba Mungu tu.
Kinacho nipa mawazo ni kuwa hadii sasa sina mpenzi sina mtoto, sijui ntamuoa naji na ndo umri sahihi wa kuwa na familia.
 
Unazeeka au nikuache kwanza? 🙆‍♂️.

1983 - 40
1984 - 39
1985 - 38
1986 - 37
1987 - 36
1988 - 35
1989 - 34
1990 - 33
1991 - 32
1992 - 31
1993 - 30
1994 - 29
1995 - 28
1996 - 27
1997 - 26
1998 - 25
1999 - 24
2000 - 23
2001 - 21
2002 - 20
2003 - 19
Age is just a number!

Dr Henry Kissinger amekufa na miaka 101, wakati Michael Jackson alikufa na miaka 50, na Edward Sokoine alikufa na miaka 45.
 
Back
Top Bottom