Unapata hisia gani ukifikiria kuhusu Umri wako?

Unapata hisia gani ukifikiria kuhusu Umri wako?

[emoji626]••#TODAYS_REGULAR_TIPS••[emoji626]
20:30;[emoji1022]󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Everton [emoji739] Newcastle - Ov 1.5
21:15;[emoji1022]󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Tottenham [emoji739] West Ham - 1X
19:00;[emoji633] Arandina [emoji739] Cadiz CF - X2
20:00;[emoji633] Linares [emoji739] Elche - X2
20:00;[emoji633] Melilla [emoji739] Eibar - X2
21:00;[emoji633] Cayon [emoji739] Ath Bilbao - Away
21:00;[emoji633] Orihuela [emoji739] Girona - Ov 1.5
21:00;[emoji633] Sestao [emoji739] Celta Vigo - X2
20:30;[emoji1073] Brest [emoji739] Strasbourg -1X
18:45;[emoji1179] PSV [emoji739] Heerenveen - Home
21:00;[emoji1179] Feyenoord [emoji739] FC Volendam - Home
20:00;[emoji1045] Beveren [emoji739] Royale Union SG - X2
20:30;[emoji1045] Anderlecht [emoji739] St. Liege - 1X
18:00;[emoji1087] Aarhus [emoji739] Brondby - Ov 1.5
20:15;[emoji1087] Fredericia [emoji739] Lyngby - X2
18:00;[emoji1112] PAOK [emoji739] Volos - Home
17:00;[emoji1250] Rizespor [emoji739] Bucaspor 1928 - 1X
19:00;[emoji1250] Basaksehir [emoji739] Sanliurfaspor - 1X
19:00;[emoji1026] Paradou [emoji739] MC Alger - X2
18:00;[emoji1173] Berkane [emoji739] Olympique de Safi - 1X
18:00;[emoji1200] Wisla [emoji739] S. Rzeszow - 1X
21:00;[emoji1200] Arka Gdynia [emoji739] Lech Poznan - X2
19:45;[emoji1205] Din. Bucuresti [emoji739] Otelul - 1X
19:45;[emoji1205] U Craiova 1948 [emoji739] FCSB - X2
19:00;[emoji1210] Al Shabab [emoji739] Al Ettifaq - Ov 1.5
17:30;[emoji1218] O. Ljubljana [emoji739] Bravo - 1X
21:00;[emoji1257] Defensor Sp. [emoji739] Danubio - 1X
21:00;[emoji1257] Nacional [emoji739] Montevideo City - 1X


[emoji385] Total Games: 28
[emoji404] Pick: 18
 
Unatafuta frustrations na msongo wa mawazo wewe. Makinikia na mambo ambayo yako ndani ya uwezo wako. Na kama uko mzima wa afya basi shukuru Mungu. Pita pale Muhimbili au Ocean Road ukaone mtanange wa kupambania pumzi - watoto, vijana na wazee!

Angalia mibaraka yako. Tafuta sana ujue kusudi lako. Saidia wenye uhitaji kila unapoweza na uchape kazi kwa bidii. Na uwapende sana wakupendao; na kama unaamini katika Mungu, mshike sana. Na siku moja isiyo na jina zamu yako itafika utakata moto na kwenda huko waendako. Wakupendao watalia. Wakuchukiao watafurahia...na baada ya muda utasahaulika.

Maisha!
Tupe ushauri na sisi wenye uhitaji.
 
Jana bi mkubwa kwa mara ya kwanza kaniuliza umri(sio kwamba haujui) baada ya kumjibu akauliza kuhusu ishu ya mke/kuoa. Nilishtuka sikutegemea kabisa hayo maneno, network ikashake tukawa hatusikilizani kwenye simu nikakata, akapiga akasema nasingizia network(kweli sikuwa namsikia), akaniambia umri umesogea nikabaki kumsikiliza tu.

Nmewaza umri ushasogea kiasi cha kuanza kusukumwa na wazazi kufanya jambo ambalo natakiwa nilifanye kwa msukumo wangu binafsi, au ndio kaona kijana wake nna itikadi za kataa ndoa? Hata sielewi ila hili la jana limechukua nafasi kubwa sana ndani ya mawazo yangu.
Mwambie mama yako ukweli kwamba wewe ni KATAA NDOA kijana wa Dronedrake Balozi wa Timu mkono bao.
 
Unazeeka au nikuache kwanza? 🙆‍♂️.

1983 - 40
1984 - 39
1985 - 38
1986 - 37
1987 - 36
1988 - 35
1989 - 34
1990 - 33
1991 - 32
1992 - 31
1993 - 30
1994 - 29
1995 - 28
1996 - 27
1997 - 26
1998 - 25
1999 - 24
2000 - 23
2001 - 21
2002 - 20
2003 - 19
Mimi sipo kwenye list,ni kitambo zaidi. Nimekubali matokeo. Ni sehemu ya maisha,hakuna atakaekwepa kuzeeka.

Nimeamua kuishi kwa kuifurahisha nafsi yangu kwa kidogo nilichojaaliwa. Pia, ninapunguza gubu, najichanganya na wanajamii wanaonizunguka.

Kifupi, siutesi mwili, muda mwingi nikiwa free ninavaa msuli bila boxer ndani. Hata nikivaa kaputula sivai boxer. Mradi tu sehemu za siri zisibanwe na nipunge upepo maana hata kende zishaanza kulegea.

Hallelujah
 
Back
Top Bottom