Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
Mkuu kuitwa Father au Mshua na vijana wa Kitaa ni heshima tu,Haswa kama upo vizuri kiuchumi na unawasapoti.Huwa nafadhaika sana pale wadada ambao kwa macho nawaona kama tupo sawa wanaponiita M'BABA badala ya M'KAKA
Pia vijana wa kiume ambao nawaona ni wa rika langu wanaponiita FATHER badala ya BROTHER
Huwa najiuliza hivi ni kweli ndo nimekuwa mkubwa kiasi hiki? Ghafla hivi? Mbona ni jana tu najikumbuka nikiwa nacheza michezo ya kitoto nikiwa primary! [emoji26][emoji26]
Uwe unaangalia usoniBora wewe, mi nilishawahi hadi amkia wadogo zangu kisa hii miili
Hasa wadada kuna baadhi unaweza hisi wameenda age kumbe hata wewe umemzidiπ au kakupita mmoja
Akili kubwa mdogo wangu.Nina 19 ila najiona mkubwa sana na sijafanya chochote cha maana na maisha yanguπ’
No.1997 hisia ni kali sana ,umri unaenda kwa kasi sana ila maendeleo ni mwendo wa kinyonga.
Najuta tu kutofanya choice sahii may be ningekua somewhere
Niliwahi mpa shikamoo mdada mahali Fulani, alinipiga jicho hilo.Naogopa kuzeeka, nikikutana na mtu akaniangalia usoni halafu ndo anipe shkamoo yani huwa naitikia sauti ikitokea tumboni kabisa kwa mawazo....nkimcheki sasa anaenisalimia nachoka kabisa
Pengine Una status Fulani hivi..Leo nmesalimiwa shkamoo na jamaa lina mindevu, nkaitikia marahaba (ila moyoni nkajisemea mmh hii sasa kuzeeshana bila sababu)
Yani sina hata huo muonekano wa pesa au nna mwonekano wa kizee labdaPengine Una status Fulani hivi..
Kwa Mf. Muonekano wa hela na hunazo π
Ila wapo Wanawake Mashangazi katika rika hilohilo,ambao wanakimbizana na vijana kwenye Lodge!!Labda wanaume, mama yangu ni rika hilo na anabehave kama mtu mzima.
Kabisaa yaan, [emoji23][emoji23][emoji23]Unatafuta frustrations na msongo wa mawazo wewe ebo!
ππNa zeeka 91-32 dah nawaza bado naishi nyumba za kupangaUnazeeka au nikuache kwanza? πββοΈ.
1983 - 40
1984 - 39
1985 - 38
1986 - 37
1987 - 36
1988 - 35
1989 - 34
1990 - 33
1991 - 32
1992 - 31
1993 - 30
1994 - 29
1995 - 28
1996 - 27
1997 - 26
1998 - 25
1999 - 24
2000 - 23
2001 - 21
2002 - 20
2003 - 19
Nakuelewa mkuu[emoji851]Hapana siungi mkono juhudi za kataa ndoa, nitaoa ila naona muda bado sitaki kuharakisha mambo.
Ngoja nijipe muda kidogo namba E zifike katikati πNakuelewa mkuu[emoji851]View attachment 2841001
Nifah umezaliwa 93...94...95...haki ya Mungu umri wako unacheza hapo...!Labda wanaume, mama yangu ni rika hilo na anabehave kama mtu mzima.