ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
mmmmh! haya sawa malipo hapa hapa JfNina muda huo sasa?,maana Kuna mtu namfunga huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmmh! haya sawa malipo hapa hapa JfNina muda huo sasa?,maana Kuna mtu namfunga huku
🤣🤣🤣 Hapo ni full kunyetukaaa....oyooKuna huyo sister alikuwepo sekondari niliyosoma, ana shepu balaa halafu anavaa nguo za kubana bana
Alitutesa sana aisee
Alikuwa anatutolea pocket money, sketi fupi akikaa unaona mapaja, ikifika siku ya kutoa pocket money watu hawachelewi
Jf mmenishinda kwa kweli...yupo kitaa huku🥴😜mmmmh! haya sawa malipo hapa hapa Jf
Ulikuwa unakwea mnazi tu, kila ukimuona sister eehKuna huyo sister alikuwepo sekondari niliyosoma, ana shepu balaa halafu anavaa nguo za kubana bana
Alitutesa sana aisee
Alikuwa anatutolea pocket money, sketi fupi akikaa unaona mapaja, ikifika siku ya kutoa pocket money watu hawachelewi
haaaa hahahahahahahahhahahahha eti GuedeUjatuuliza wanawake ila mimi napenda wachezaji mpira ila huyo mchezaji awe ni Guede..!
Huenda mwenyewe anamanisha 'carrier' wa beba mizingo. Kwa sabb hata police au nesi hizo sio career ni professional career ya nesi ni health career police ni military career......huenda ana maana nyingine hatujamuelewa sie.Career sio carrier
Watu wa bandari wakisikia carrier washajua mtu fulani , huku kwingine wanachanganya career na carrier.Huenda mwenyewe anamanisha 'carrier' wa beba mizingo. Kwa sabb hata police au nesi hizo sio career ni professional career ya nesi ni health career police ni military career......huenda ana maana nyingine hatujamuelewa sie.
Ila hao ni binamu, sema wanapakaga mafuta mengi ndio maan mnawaogopa ,Umetisha mimi nawaona wakujiproud.
Npe contact mi ndio sumaku yao...kuna mmoja yuko pale kisutu(nmb)
Dah basi tuu.