Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kama unahisi Jeshi la Polisi na Mahakama haviko sawa. Unadhani ni Marekebisho gani yanatakiwa kufanyika ili Jeshi la Polisi liwe bora na Mahakama itende haki inavyotakiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria hizo ziko kwenye Katiba au kwenye sheria zilizounda Jeshi la Polisi??Wakoloni walikuwa na jeshi ambao kazi yake ilikuwa kuhakikisha raia asilete fyoko Sasa zile sheria zote za mkoloni hazijabadilishwa hata moja,pendekezo langu badilisha katiba ambayo sheria hizo zimo humo otherwise kupoteza muda
Utofauti hapo ni nini??Litoke kwenye police force na liwe police service.
Jeshi la Polisi livunjwe Tuanzishe Jeshi jipya kabisa na hawa wote waliomo waondolewe .Kama unahisi Jeshi la Polisi na Mahakama haviko sawa. Unadhani ni Marekebisho gani yanatakiwa kufanyika ili Jeshi la Polisi liwe bora na Mahakama itende haki inavyotakiwa.
Huko kenya wanaitwa 'Police service',vipi utendaji wao kazi unatofauti na hawa polisi wa Tz?Litoke kwenye police force na liwe police service. Askari wengi wa bongo wanaupumbavu vichwani mwao na kupenda kutumia nguvu nyingi kuliko akili hii imepelekea huku mitaani kesi nyingi kumalizwa kienyeji kutokana na kutokuwa na Iman na jeshi lao.
Kwa sasa ni kwa nini haijitambui!!Mahakama ijitambue kwamba ni muhimili unaojitegemea
Wakati limevunjwa usalama wa mali na raia utasimamiwa na nani??Jeshi la Polisi livunjwe Tuanzishe Jeshi jipya kabisa na hawa wote waliomo waondolewe .
Maboresho ya kwanza ni kuhamisha askari waliokaa mahali pamoja Kwa muda mrefu, haswa kwenye majiji. Wamezoea Sana hayo maeneo hivyo kupelekea wao kupendelea na kutokutenda haki. Mfano hapo Arusha Kuna askari wapo hapo mile, pale central wilayani. Wanasumbua Sana. Muundo mpya wa jeshi hili uendane sanjari na askari wapya. Hamisha gwakisa, Frans, john, OCD, wengi wengi tu. Na hili lifanyike Tanzania nzimaKama unahisi Jeshi la Polisi na Mahakama haviko sawa. Unadhani ni Marekebisho gani yanatakiwa kufanyika ili Jeshi la Polisi liwe bora na Mahakama itende haki inavyotakiwa.
Police service hii haiitaji matumizi ya nguvu pasipo tumia nguvu mfano watu wanaandamana wewe unaenda kuwapiga risasi wakati ulikuwa na uwezo kuwalinda maandamano Yao yasiharibu aman ya wasio wahusu.Utofauti hapo ni nini??
Wazo zuri sana!!Maboresho ya kwanza ni kuhamisha askari waliokaa mahali pamoja Kwa muda mrefu.
Mm sijasema wabadiri jinaHuko kenya wanaitwa 'Police service',vipi utendaji wao kazi unatofauti na hawa polisi wa Tz?
😂😂😂😂Kuna watu huwa wanaama na tabia zao usitake kuwapa shida wenzakoMaboresho ya kwanza ni kuhamisha askari waliokaa mahali pamoja Kwa muda mrefu, haswa kwenye majiji. Wamezoea Sana hayo maeneo hivyo kupelekea wao kupendelea na kutokutenda haki. Mfano hapo Arusha Kuna askari wapo hapo mile, pale central wilayani. Wanasumbua Sana. Muundo mpya wa jeshi hili uendane sanjari na askari wapya. Hamisha gwakisa, Frans, john, OCD, wengi wengi tu. Na hili lifanyike Tanzania nzima
Kwanza kabisa vigezo vya mtu kuingia upolisi vipitiwe upya. Haiwezekani kwa dunia ya sasa urefu wa mtu ukawa ni kigezo cha kumwajili mtu!Kama unahisi Jeshi la Polisi na Mahakama haviko sawa. Unadhani ni Marekebisho gani yanatakiwa kufanyika ili Jeshi la Polisi liwe bora na Mahakama itende haki inavyotakiwa.
Litoke kwenye police force na liwe police service. Askari wengi wa bongo wanaupumbavu vichwani mwao na kupenda kutumia nguvu nyingi kuliko akili hii imepelekea huku mitaani kesi nyingi kumalizwa kienyeji kutokana na kutokuwa na Iman na jeshi lao.
Nyerere alipoachana na Jeshi la kikoloni nani alisimamia usalama ?Wakati limevunjwa usalama wa mali na raia utasimamiwa na nani??