Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unahisi Jeshi la Polisi na Mahakama haviko sawa. Unadhani ni Marekebisho gani yanatakiwa kufanyika ili Jeshi la Polisi liwe bora na Mahakama itende haki inavyotakiwa.
Tofauti ni kubwa sana.Huko kenya wanaitwa 'Police service',vipi utendaji wao kazi unatofauti na hawa polisi wa Tz?
Mahakama ijitambue kwamba ni muhimili unaojitegemea
Maboresho ya kwanza ni kuhamisha askari waliokaa mahali pamoja Kwa muda mrefu, haswa kwenye majiji. Wamezoea Sana hayo maeneo hivyo kupelekea wao kupendelea na kutokutenda haki. Mfano hapo Arusha Kuna askari wapo hapo mile, pale central wilayani. Wanasumbua Sana. Muundo mpya wa jeshi hili uendane sanjari na askari wapya. Hamisha gwakisa, Frans, john, OCD, wengi wengi tu. Na hili lifanyike Tanzania nzima
Jeshi halivunjwi hovyo hivyo kama kamati za harusi.Jeshi la Polisi livunjwe Tuanzishe Jeshi jipya kabisa na hawa wote waliomo waondolewe .
Nakubaliana na wewe, na madhara tunnayaona mkuu wa nchi anapokuwa m/kiti wa chama anakalia mhimili wa bunge kimabavu. Mbunge analazimika kumpamba raisi bungeni badala ya kumkosoa ili asikate jina lake wakatt wa mchujo. Kaatiba mpya ni muhimu.Katiba hii hairuhusu mahakama kuwa Muhimili unaojotegemea, hususan unapokuwa na chama kinachong'ang'ania kukaa madarakani bila ridhaa ya umma. Ni vigumu sana nchi yenye vimelea vya kijamaa vyombo vyake vya dola, na mihimili kuwa huru. Na mifano ya wazi kuhusu mwenendo huo iko wazi.
Utofauti hapo ni nini??
Muhimili unaojitegemea ambao viongozi wake wanateuliwa na Mkt wa chama tawala!!? Bila katiba mpya itakayodhibiti umungu wa rais, anayefanya mauteuzi yote, ni bure ...nkMahakama ijitambue kwamba ni muhimili unaojitegemea
Katiba mpya, sio viraka.Kama unahisi Jeshi la Polisi na Mahakama haviko sawa. Unadhani ni Marekebisho gani yanatakiwa kufanyika ili Jeshi la Polisi liwe bora na Mahakama itende haki inavyotakiwa.
Polisi wote ni kama vile kabila mmoja, wana utamaduni unaofanana kama vile Wamasai na kula nyama, hawsbadilishiki. Mtoe Arusha mpeleke Mtwara, Bkb, Kgm ...nk, ni walewale, hawabadiliki. Wameshindikana. Inahitajika katiba yenye mfumo mzr wa uteuzi wa viongozi wa mihimili wenye uwezo wa kudhibiti mambo kaziniMaboresho ya kwanza ni kuhamisha askari waliokaa mahali pamoja Kwa muda mrefu, haswa kwenye majiji. Wamezoea Sana hayo maeneo hivyo kupelekea wao kupendelea na kutokutenda haki. Mfano hapo Arusha Kuna askari wapo hapo mile, pale central wilayani. Wanasumbua Sana. Muundo mpya wa jeshi hili uendane sanjari na askari wapya. Hamisha gwakisa, Frans, john, OCD, wengi wengi tu. Na hili lifanyike Tanzania nzima
Kuwe na kitengo Cha ufundi ,Kwa ajili ya kutambua ubovu wa gari zilizo barabarani,SII Kwa lengo la kupiga faini,ila kuelekeza na kushauri matengenezo ya lazima,hata ziwepo gereji maalumu,pembeni wa barabara kuu,Kwa afya na usalama wawatumiaji barabara,pia yaweza kuwa chanzo Cha ajira Kwa vijana.Kama unahisi Jeshi la Polisi na Mahakama haviko sawa. Unadhani ni Marekebisho gani yanatakiwa kufanyika ili Jeshi la Polisi liwe bora na Mahakama itende haki inavyotakiwa.
Mtu anayeweza kunenepa ni mtu mwenye kuweza kula na kushiba,kama huna meno bilashaka huwezi kula ukashiba,hivyo kumwonea wivu mwenye meno yake SII poa🤔Mimi nashauri Jeshi la Borish riwaarest chadema wote wanaotusumbua hapa na huko mitaani.
Tunataka kuishi vizuri. Tunenepe.
A complete overhaulKama unahisi Jeshi la Polisi na Mahakama haviko sawa. Unadhani ni Marekebisho gani yanatakiwa kufanyika ili Jeshi la Polisi liwe bora na Mahakama itende haki inavyotakiwa.