SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
- Thread starter
- #161
Pitia pia na post #45 na #112 madini yanaendelea.Daa shukrani sana mzee nizitafute hizo sijui ni website gani? Naweza nikazipata
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pitia pia na post #45 na #112 madini yanaendelea.Daa shukrani sana mzee nizitafute hizo sijui ni website gani? Naweza nikazipata
Ndo' maana nlikuambia u-subscribe kabisa. Updates zinakuja kila baada ya siku moja.Nimeuona mkuu asante sana kama vipi tupia mwingine mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Utazipenda zote hizo. Tafuta muda uzitazame kwa ku relax. Pitia pia na post #45 na #112 kwa mwendelezo
Papillon na Catch me if you can.Naomba movie au series based on true story ..
It is never to late to begin. Start now
Asante mkuuu
Ukiplay movie inaleta hii msg ya VPN [emoji849]Kama unatumia simu, kuna app mwenzetu kapendekeza inaitwa POPCORN TIME. Utaweza ku stream na kupakua pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bonyeza apo chini continue itakaaa vzrUkiplay movie inaleta hii msg ya VPN [emoji849]View attachment 1409502
Karibu sana boss. Na swali lenyewe lilikuwa lile la msimamizi alilouliza "kuna swali lolote?" Baada ya kutoa maelekezo. So jibu lilikuwa tu - hapana. Au ndio kisha ukauliza wewe.Moja kati ya filam iliyoniumiza kichwa kuielewa ni ya Exam! Nimeiangalia si zaid ya mara kum lakn nimeishia patupu ila leo angalau nimepata idea kwako asante sana mkuu shukran sana kwa ufafanuzi wako.ila kama utakuwa na group la whatsap ni vyema ukaweka link
Sent using Jamii Forums mobile app
Press continue..Ukiplay movie inaleta hii msg ya VPN [emoji849]View attachment 1409502
Karibu sana boss. Na swali lenyewe lilikuwa lile la msimamizi alilouliza "kuna swali lolote?" Baada ya kutoa maelekezo. So jibu lilikuwa tu - hapana. Au ndio kisha ukauliza wewe.
Basi.
Pitia pia na post number 45 na 112 kwa mwendelezo wa movies zingine....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hyo ndo kawaida ya movies za horror. Ni mgeni wa kuzitazama? ... hamna ambayo huwa inaisha completely! So chill tu n enjoyMkuu nimeangalia Insidious na pet Semetary, ni kwamba zina mwendelezo au ndio zinaisha kiaina tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hyo ndo kawaida ya movies za horror. Ni mgeni wa kuzitazama? ... hamna ambayo huwa inaisha completely! So chill tu n enjoy
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmedownload hii app na nataka kuangalia movie ila inaniletea not enough space wakati nataka kuangalia tu na sio ku download?Bonyeza apo chini continue itakaaa vzr
Hata kuangalia movie pia kuna kiasi cha space ambacho kinahitajika kuwepo ndani ya simu ... lakini pia umechagua quality gani ya kuitazamia?Nmedownload hii app na nataka kuangalia movie ila inaniletea not enough space wakati nataka kuangalia tu na sio ku download?View attachment 1410145
Sent using Jamii Forums mobile app
Inagoma kabisaBonyeza apo chini continue itakaaa vzr
Kinachofanya ikatae basi so hayo mambo ya vpn, ni kutokuwa na storage ya kutosha ... umechagua hapo kwenye select torrent?Inagoma kabisa
Asante SanaJack Ryan, Designated Survivor, Strike Back, Daredevil, The Blacklist na Blindspot. Anza nazo hizo mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app