SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
- Thread starter
- #121
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Download showbox kwa kupitia google. Andika ShowBox apk download. Enjoy.Nawezaje kuangalia movie kwenye simu?
Vinavyokuja hata sivielewiDownload showbox kwa kupitia google. Andika ShowBox apk download. Enjoy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya juu juu tu mkuu.Mzee baba utaiweza astrophysics? [emoji1] [emoji1] au unataka ya juu juu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
pia kuna nyngne app inaitwa BS PLAYER ktk PC..hyo ikifungua movie yeyote as long as umekonect Pc na internet...inakuletea subtitle kibao..kazi inabak kwakoNiambie namna ya kuweka eng subtitle kwenye movie
Kwasisi tunaoangalia movie kupitia simu inakuaje?pia kuna nyngne app inaitwa BS PLAYER ktk PC..hyo ikifungua movie yeyote as long as umekonect Pc na internet...inakuletea subtitle kibao..kazi inabak kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanx nimepata moja inaitwa tubiNini shida mkuu. Mbona hiyo hapo?View attachment 1408868View attachment 1408869
Sent using Jamii Forums mobile app
Vip ni nzuri?Thanx nimepata moja inaitwa tubi
Labda ujui English na huweki subtitle ndo Mana unashindwa kuzielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba nimekusogezea mzigo kwenye post #112.Mkuu assumptions zako bhana kumbuka unaweza ukaangalia movie ya kiswahili pia usiilewe siongelei suala la lugha naongelea mtiririko wa matukio...
Sent from my iPhone using JamiiForums
YeahVip ni nzuri?
Hiii app ni kwa ajili ya kustream tu au adi kudownload mkuu?Download showbox kwa kupitia google. Andika ShowBox apk download. Enjoy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pitia pia na post #45 na #112 mkuu.Nakubali..mimi naonmba unitajie movie ya kutisha unayoona inatisha sana niangalie herditary na conjuring nimeziona zakawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba mimi mwenyewe ulivyonisimulia nmetaman kuiona. Mbona ina ka-mahadhi ka SAW? Ebu tungoje wadau watujuze.Mkuu SteveMollel aina yo movie ulizoziainisha hapo juu ni aina ya movie ninazozipenda sana na kuzikubali, kuna movie naitafuta sana niliiona kama sikosei 2010 iv ila jina nimelisahau ndo mana nashndwa kuipata, movie yenyewe inaanza jamaa anazinduka anajikuta yupo ndani ya chumba kina kabati tu na mzoga wa panya, hakina dirisha, mlango wake ni wa mviringo kama ile ya kuingilia sefu na ukuta ni bonge la zege, baada ya kusota akaiona funguo ya kabati na kufungua na ndani kulikua na mtung wa ges na vifaa vya kutindua ukuta, alifanikiwa kutindua ukuta kwa mbind ila akatokea tena chumba kama kile na kukuta jeneza lina mwanamke ila mzma, alipomshtua akagundua hawaongei lugha moja, ilifika mahali jamaa anakinga mkojo wake na kunywa, hata kale kamzoga alikataman, basi walihangaika sana mwisho jamaa akakata tamaa akaishiwa nguvu kabisa, bdad wakashangaa tu mlango unafunguka wenyewe ndo jamaa kupata na nguv ya kuamka, kama utakua unaifahamu mkuu naomba unitajie jina lake pia.
Hakuwa anaruhusiwa kufanya jambo mzee [emoji1] [emoji1] nadhan umeona watu walivyohaha na kumbe swali lilikuwa ni lile la msimamizi alilouliza mwanzoni "KUNA SWALI LOLOTE?" - yani ilikuwa ni kusema tu No na kazi tayari.Jana nineanza na Exam, ila lile lipolisi limenizingua, limekaa kama boya tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ku stream mkuuHiii app ni kwa ajili ya kustream tu au adi kudownload mkuu?
Naona upo na THE BANKER!Best teen movies(kwa upande wangu) ambazo napendekeza wadau wa Teen mzitafute ni
1. The kissing booth(2019)
2. To all the boys i have loved before
Sent using Jamii Forums mobile app