Unapenda movies? Pitia hapa kidogo

Unapenda movies? Pitia hapa kidogo

Mkuu upo vizuri aisee unajua sometimes kuna movies unakuwa nazo ila utamu wa story huujui mfano me nakiri kuna movies kati ya ulizozitaja hapa ninazo ila sikuwahi kujua story zake hivyo mkuu napenda kukwambia ukweli unakipaji cha uandishi hongera sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Shukrani sana mkuu nimeimaliza escape room muda huu, bonge moja la muvi....story yake🙌 By the way Zoey kazidisha utamu wa muvi...
 
Mkuu upo vizuri aisee unajua sometimes kuna movies unakuwa nazo ila utamu wa story huujui mfano me nakiri kuna movies kati ya ulizozitaja hapa ninazo ila sikuwahi kujua story zake hivyo mkuu napenda kukwambia ukweli unakipaji cha uandishi hongera sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
Labda ujui English na huweki subtitle ndo Mana unashindwa kuzielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera mkuu natamani mtu anisimuliee hii movie.kwa sababu naona majanga tu nikiangalia.

Mata watu wanarudi kinyume nyume wakitembeaa daah aiseee.

Ila hakuna mtu au mwalimu anauza CD akifunfisha mambo ya sayansi haya hasa space and time akiyazungumzia au mada mbalimbali za physics ?

Nipate hizo cd niskilize napenda sana kujifunza,nimeamini maisha yana raha ukiwa unajifunza vitu mbalimbali
Nini hujaelewa mkuu? Mbona ipo clear. Bwana mmoja, mwanasayansi wa mambo ya anga, anapewa kazi maalum ya kutafuta makazi mapya ya binadamu baada ya dunia kukumbwa na uhaba mkubwa wa chakula kutokana na majanga ya asili kama vile ukame na vimbunga.

Kutokana na majanga hayo kumekuwa hakukaliki hivyo NASA wanafanya namna kutafuta makazi mengine ambayo yatamkidhi binadamu mbali na dunia wanayoishi. Lakini sabb ni hatari kupeleka watu wote kwa mkupuo maana hawana taarifa zaidi kuhusu huko, ndo wanaamua kuwatuma baadhi.

Filamu hii inachanganya kidogo maana inahitaji uelewa wa mambo ya sayansi ya space. Nadhani uliona mambo kama vile wormhole na dimensions. Sasa Wormhole ni njia za kinadharia ambazo zinaaminika zinafupisha safari ndefu za mambo ya anga za juu, yani kama vile shortcuts kwenye space. Na ndo hiyo wanayoitumia wanasayansi hao kufikia huko kwenye ulimwengu mpya wapate kuona kama pataweza kalika.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom