Ignas lyamuya
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 777
- 857
Zitaelezewa kwenye session ya 3! ... View attachment 1419807View attachment 1419808View attachment 1419809View attachment 1419811
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba ulipotea kweliUsisahau kunitag mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Utaishia kusononeka kila uchwao mpaka ukasirike [emoji23]Sure mzee baba hakunaga hero kule ni kupoteana kwenda mbele
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mbona hapo kitufe cha download hakionekani?Ukitaka usipate shida, download, usi-stream. Wewe nenda moja kwa moja kwenye kile kitufe cha download badala ya cha play. Ikija lile tangazo la VPN, bonyeza continue, select torrent, mambo mswano!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami nimeishia hapo. Ngoja wajuzi waje watupe the way forward.Mbona hapo kitufe cha download hakionekani?View attachment 1423582
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi natumia kwenye simu. Na kitufe cha download ni kama ukionavyo hapo...Mbona hapo kitufe cha download hakionekani?View attachment 1423582
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo nauandaa hapa. Ni MOTO WA KUOTEA MBALI!Nipo aisee vip hujashusha mzigo mwingine mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa ukimya wako huo ukija njoo na movie si chini ya 7
Karibu tena ndugu.Unajua kusimulia sana huwa unanipa hamasa ya kuzitafuta kwa leo nimeikubali zaid vivarium
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mzee, unajua ni kazi kuaziandika. Nitakapopata wasaa ntatimiza.Kwa ukimya wako huo ukija njoo na movie si chini ya 7
Count down na A weaked project zitoe kwenye list yako utakazozielezea hizo movie ni za kishamba
Mzee, taste huwa zinatofautiana. Yawezekana ikawa haijakuvutia wewe ila kuna wengine wakapenda. Ngoja tuone.Count down na A weaked project zitoe kwenye list yako utakazozielezea hizo movie ni za kishamba
Mkuu tunasubiri session ya tatu (3)Mzee, taste huwa zinatofautiana. Yawezekana ikawa haijakuvutia wewe ila kuna wengine wakapenda. Ngoja tuone.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushauri hivyo najua wengi hawatazipenda na kuokoa muda weka zingine konki hizo achana nazo alafu pia Kuna mdau mmoja katoka kuichambua count down humu humu si muda mrefu.Zingatia ushauri wanguMzee, taste huwa zinatofautiana. Yawezekana ikawa haijakuvutia wewe ila kuna wengine wakapenda. Ngoja tuone.
Sent using Jamii Forums mobile app
napost usiku huu. saa hiiMkuu tunasubiri session ya tatu (3)