Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Aiiiii š¤£š¤£š¤£š¤£My Nanaš„°š
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiiiii š¤£š¤£š¤£š¤£My Nanaš„°š
Yeah anaitwa ivoAiiiii š¤£š¤£š¤£š¤£
Tuwaulize kwanza hao paka Wana kazi nayo gn mpaka kuja kuwapost
Kwenye suala la umelaya sikupingi, mi nadhani ukimsoma tabia za paka basi umemuelewa binadamu. Paka anatabia kama binadamuAlafu tabia moja ya Paka jike ni Malaya wa kupindukia unaweza ukakuta ana watoto 10 Kila mtoto ana rangi yake na muonekano wake hapo Mimi huwa najiuliza hivi inakuwaje anakuwa anaachia sana hajisikii vibaya ? šššView attachment 2959081
Naomba nikupe dedix ya taarabu inaitwa paka mapepe..Paka wangu washenzi sana,, hawajai kutulia nyumbani hata uwape nini, kutwa kiguu na njia nadhani wanatafuta mademu maana ni madume tupu
Kwakweli, wanaweza kupotea hata wiki hadi mnasahau kama nyumba ina pakaNaomba nikupe dedix ya taarabu inaitwa paka mapepe..
šš Opposite gender ndio inawasumbuaKwakweli, wanaweza kupotea hata wiki hadi mnasahau kama nyumba ina paka
Arrgh, Leo huna point, kiufupi ni mnyama tuTuwaulize kwanza hao paka Wana kazi nayo gn mpaka kuja kuwapost
š¤£Picha usimsahau na yule wa katikati anaekamilisha idadi
Malaya anaweza kuwa ni binadamu tu mwenye tabia hizo chunguza wanyama humegana tu kwa ajili ya jike likiwa kwenye siku za kubeba mimbaKwenye suala la umelaya sikupingi, mi nadhani ukimsoma tabia za paka basi umemuelewa binadamu. Paka anatabia kama binadamu
Paka hana hicho, anagawa uroda sanaMalaya anaweza kuwa ni binadamu tu mwenye tabia hizo chunguza wanyama humegana tu kwa ajili ya jike likiwa kwenye siku za kubeba mimba
wangu anaheshima isee,hajisaidii ndani hata kwa bahati mbaya,haibi chakula hadi nimpe.kuna kipindi nilimchoma chanjo ikamletea madhara kaliumwa hadi nikalia nikizani atakufa ila alipona na kipindi chote hicho alikuwa hawezi hata kula namnywesha maziwa tu kwa sirinji,msafi namuogeshaga nakuchq namkataKatika mnyama hajawahi kuacha asili ni paka. Yani zile tabia za porini hajawahi kuacha hata umix breed vipi....
Kuna siku atazingua tu. Paka si ntu kabsa