moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
sasa unataka wakale wapiPaka wangu washenzi sana,, hawajai kutulia nyumbani hata uwape nini, kutwa kiguu na njia nadhani wanatafuta mademu maana ni madume tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa unataka wakale wapiPaka wangu washenzi sana,, hawajai kutulia nyumbani hata uwape nini, kutwa kiguu na njia nadhani wanatafuta mademu maana ni madume tupu
Huko ulikowaza siko, Leo Idd ujue 😀Alaah Team dog
Binti unamambo sana
🤣🤣🤣Hata mi napenda paka ndgu yangu ila tu asiwe mkubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata paka wa kiume anafanya hayo?Paka Wana tabia za kike tena wale Watoto wa kike visirani, Wenye Paka huwa hamuoni vile Paka akikuona anavyo deka huku anakufuata na kukulia aisee nachukia sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Humlishi vizuri, kama kwako anakula vizuri, unakaa nae mda mrefu wala hawezi kuzurula.Paka wangu washenzi sana,, hawajai kutulia nyumbani hata uwape nini, kutwa kiguu na njia nadhani wanatafuta mademu maana ni madume tupu
Mhh🤣🤣🤣Hata mi napenda paka ndgu yangu ila tu asiwe mkubwa.
Na nina bahati nao sana, huwa wananikubali mno na najua kucheza nao wakafurahi.
Paka akiwa mkubwa afu dume huwa yanakua mabaya kishenzi.
Toka nakua home tunafuga paka.
Mnyama nisiemkubali ni dogi, sinaga imani na yule mwamba.
The formerPaka kama paka au paka pussy
😂😂😂 we jamaa katiri sanaKuna mmoja alinilia vifaranga vyangu na ninamlisha daily aisee nilimpigia Buti Moja akapaa kama sita hewani sijawahi muona mpaka Leo
Mdogo wake Kuna siku nimeandaa kambale wangu naenda dukani kuchukua unga wife alikua kasafiri narudi napishana nae mlango wa jikoni nimesonga ugali kucheki kitoweo hamna
Nilimpigia na mpini wa jembe naye akayeyuka kusikojulikana ila usiku nahisi wanakujaga maana nasikia wanalialia Sasa sijui wanazagamuana au vipi
Aisee upo kama mimi, hata bar au uswazi nikiwa nakula nikaona paka, hamu yote huniishia kabisa. Siwakubali kabisaKatika Pets ambao siwapendi ni Paka maana Wana tabia za hovyo sana na Wana Kisirani sana 😂😂😂
Local breed, nampiga misosi ya kutosha na afya inazingatiwa kwa wakati, balaa sana.Mimi pia paka kama siwaelewi, wana viburi sana. Halafu huwezi kujua mood yake kama amekasirika ama anafuraha, yeye yupo tu.
Ni tofauti na mbwa, mbwa akikasirika unajua, akiwa ana huzuri ama mawazo ama stress kwa mfano ameachwa na mke wake ama mume wake ama mchepuko unajua na akiwa na furaha unajua mapema tu.
Binafsi Mbwa is my favorite hasa hawa local breed. Ni washkaji sana.
Paka akae mbali na mimi.
Anakutoa roho kabisa. 1v1 na paka, chances za kumshinda zipo ila ni kidogo sana.Paka akikasirika anaweza kukutoa macho
Hii fact sijawahi hata kuiwaza, leo umenishtua 😂Alafu tabia moja ya Paka jike ni Malaya wa kupindukia unaweza ukakuta ana watoto 10 Kila mtoto ana rangi yake na muonekano wake hapo Mimi huwa najiuliza hivi inakuwaje anakuwa anaachia sana hajisikii vibaya ? 😂😂😂View attachment 2959081
Pia wana dharau sana.Katika Pets ambao siwapendi ni Paka maana Wana tabia za hovyo sana na Wana Kisirani sana 😂😂😂