Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Mimi nataka niwe jirani yako nimle huyo paka wa hapo katikatiem tulia huko
Ndio kabisa huo ukweli wenyewe anaketi katikati pale kwa MwanamkeNyau=mwanamke kitabia
DuhBinadamu ni wa ajabu sana. Mnawezaje kuishi na vinyangarakata kama ivyo ndani mwenu
Nili wahi kuwa na mbwa, royal Sana mwana yule.🤣🤣🤣Hata mi napenda paka ndgu yangu ila tu asiwe mkubwa.
Na nina bahati nao sana, huwa wananikubali mno na najua kucheza nao wakafurahi.
Paka akiwa mkubwa afu dume huwa yanakua mabaya kishenzi.
Toka nakua home tunafuga paka.
Mnyama nisiemkubali ni dogi, sinaga imani na yule mwamba.
Wewe haujaoa bado?Binadamu ni wa ajabu sana. Mnawezaje kuishi na vinyangarakata kama ivyo ndani mwenu
Mbwa madume raha sana kufuga Ila kufuga madume tupu wakizurula mtaani akapata jike anaolewa HUKO HUKO harudi tena hata ukimrudisha anaondoka tena analifuata Jike lake lilipo utashangaa tu Dume lako limehamia mtaa jirani kwenda kulipiga miti jike la mtaa huo na halirudi tena, ukifuga Dume fuga na Jike Ila Mbwa Jike ana vituko sana alafu akibweka sauti sio km Mbwa Dume Mbwa Jike anabweka km Paka' sio Paka' sijui anabwekaje Ila Mbwa Dume anabweka hata km unapita nje unajua kabisa hapa kuna Jibwa lenye mamlaka na hii sehemu usiingie kichwa kichwa, Mbwa Dume mwendo wa kufuata amri tu ukimwambia asibweke anatii ukimwambia kaa chini anatii ukimwambia nenda pale anatii ukimwambia lala anatii njoo kwa Mbwa Jike sasa alafu umkute tayari ana ujauzito mwambie kaa chini Mbishi lala Mbishi nenda kule Mbishi toka hapo Mbishi usibweke kaa kimya Mbishi nenda bandani Mbishi Ila all the time analindwa na Mbwa Dume ndio maana yanakuaga yanalinga ukimzingua Mbwa Jike na Dume lipo unatafuta ugomvi na Mbwa Dume na next time Mbwa Dume linamcontrol Mbwa Jike (demu wake anaempiga miti) ukiingia lijike likataka kukuvamia vamia km Dume linakujua linamzuia Jike lisikuletee fujo, Mbwa wana akili sana sometimes ukiwaangalia Sura zao kwa mbali sana wanafanana na binadamu Ila tu hawajui kuongea Ila wanaelewa sana tena sana ndio maana mnyama wa kwanza kuishi na binadamu ni MbwaNili wahi kuwa na mbwa, royal Sana mwana yule.
Bahati mbaya tuli muacha kipindi tuna hama.
Sasa juzi mlikuwa mna nidiss kwanini, akati ni wale wale 🤣😂
Uwe una weka Aya kaka, hii Ina umiza macho.Mbwa madume raha sana kufuga Ila kufuga madume tupu wakizurula mtaani akapata jike anaolewa HUKO HUKO harudi tena hata ukimrudisha anaondoka tena analifuata Jike lake lilipo utashangaa tu Dume lako limehamia mtaa jirani kwenda kulipiga miti jike la mtaa huo na halirudi tena, ukifuga Dume fuga na Jike Ila Mbwa Jike ana vituko sana alafu akibweka sauti sio km Mbwa Dume Mbwa Jike anabweka km Paka' sio Paka' sijui anabwekaje Ila Mbwa Dume anabweka hata km unapita nje unajua kabisa hapa kuna Jibwa lenye mamlaka na hii sehemu usiingie kichwa kichwa, Mbwa Dume mwendo wa kufuata amri tu ukimwambia asibweke anatii ukimwambia kaa chini anatii ukimwambia nenda pale anatii ukimwambia lala anatii njoo kwa Mbwa Jike sasa alafu umkute tayari ana ujauzito mwambie kaa chini Mbishi lala Mbishi nenda kule Mbishi toka hapo Mbishi usibweke kaa kimya Mbishi nenda bandani Mbishi Ila all the time analindwa na Mbwa Dume ndio maana yanakuaga yanalinga ukimzingua Mbwa Jike na Dume lipo unatafuta ugomvi na Mbwa Dume na next time Mbwa Dume linamcontrol Mbwa Jike (demu wake anaempiga miti) ukiingia lijike likataka kukuvamia vamia km Dume linakujua linamzuia Jike lisikuletee fujo, Mbwa wana akili sana sometimes ukiwaangalia Sura zao kwa mbali sana wanafanana na binadamu Ila tu hawajui kuongea Ila wanaelewa sana tena sana ndio maana mnyama wa kwanza kuishi na binadamu ni Mbwa
Punguza kuwangaNinao kama 6 hivi
unauza mishikakiNinao kama 6 hivi
Kamanisha eti wewe ni mtuhumiwa inaonesha wewe na nabii sijui keita ni ID ya mtu mmojaKamaanisha nini eti?
Ki inglishi sijui nikajua kasema nyau na 🐈Kamanisha eti wewe ni mtuhumiwa inaonesha wewe na nabii sijui keita ni ID ya mtu mmoja
WeweKi inglishi sijui nikajua kasema nyau na 🐈
Mama manunuMimi team dog ngoja nitulie.
Mkuu sema point yako. Nikiona ndio paka anakua mke wa pili au nikiwa bachelor paka ndio anafanyaje?Wewe haujaoa bado?
kuna kitu kinanishangaza sana. paka wa dar hunenepa sana kuliko hata wanaowafuga yaaniMufti kuku The Infinity kwenye picha ya pamoja na paka wake
View attachment 2959056
View attachment 2959062
Cc BICHWA KOMWE -