Unapenda papuchi kama mimi? Toa lifti kwa pisi kali, hii njia ni hatari sana

Walaaniwe Wamarekani kwa kutoa ARV Bure, zingekuwa zinauzwa kama mseto wajinga kama Bei Elekezi wangekuwa na nidhami ya matumizi ya miili yao
 
Walaaniwe Wamarekani kwa kutoa ARV Bure, zingekuwa zinauzwa kama mseto wajinga kama Bei Elekezi wangekuwa na nidhami ya matumizi ya miili yao
Siku hizi hizo hazina fomula unaweza ukatulia na ukanasa..Muombe upate mke au demu muaminifu.
 
Mimi nimesha jipambanua, nisipoenda mbinguni mjue ni kwasababu ya uzinzi. Sasa leo ngojeni niwaambie njia ambayo inafanya nisilale njaa.
"Sasa kuna idadi kubwa sana ya wadada wazuri pembeni ya barabara, mara nyingi jioni huwa natoka nakuwa naendesha taratiibu huku nasikiliza Country Music na kutikisa kichwa taratibu." πŸ˜‚πŸ˜‚ huu mchezo nilifanyaga sana nikiwa Tanzania aloo hakuna mwanamke mzuri wa kitanzania anayekataa kubinywa mwanaume ukiwa na gari kama wamerogwa hivi ntarudi kutembea bongo na mkoko mpya nimemiss papuchi za nyumbani TZ...πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna msela wangu n wakili,yeye anakigari cha kawaida mnoo,ila ndani kakipamba.tatizo anacheza bongofleva na marashi yanachoma puani kama ndimu ila anawakojolesha sana.Madem ni very simple very....(by kanumba's voice)
 
Kiungo kina majina hikii kama bia... eti mbususu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…