Unapendelea kuvaaje ili utoke chicha?

Unapendelea kuvaaje ili utoke chicha?

OB-UN515_TfankM_DV_20120911161029.jpg


Kimshono kimetulia hiko, wale wapenzi wa vijigauni ibieni.... Mie wa kwanza!
 
Napenda kutokelezea kama Papaa Mafido,na siku moja moja kama Mrisho Mpoto.
 
Muda wa kazi; Cardet ya khaki au brown na shati la mikono mifupi lenye draft. Viatu viwe simple rangi ya brown au nyeusi.

Muda wa outing; Tishirt nyeupe na jeans ya light blue na sneakers au sandals.

Nikiwa home ni mwendo wa tshirt nyepesi na pensi.
 
Muda wa kazi; Cardet ya khaki au brown na shati la mikono mifupi lenye draft. Viatu viwe simple rangi ya brown au nyeusi.

Muda wa outing; Tishirt nyeupe na jeans ya light blue na sneakers au sandals.

Nikiwa home ni mwendo wa tshirt nyepesi na pensi.
Uwiiiiiii u kill me woooo(in Nigeria voice)
 
Aka mi napenda magauni ya masherashera nikivaa nakuwa kama mdori n.a. kapochi n.a. kamba ndefu kama Cinderella huko ni sokoni kazini magauni flani aina ya kadeti as vifungo mbele n.a. skuna shoes we yaani nikiwa kuleer bossi anakujua nakuja hiyo milio ya skuna
 
I love the brand!, mucho dinero pia. Great taste that you have!

Hahaha....True Religion jeans are the best.

And the good thing is...if I want a new pair I just go straight to their store😀.

No fake zone.....

But as you already know...they are not on the cheap side, either.
 
T-shirt plain na jeans au shati ya jeans au draft na kadeti chini converse
 
Hahaha....True Religion jeans are the best.

And the good thing is...if I want a new pair I just go straight to their store😀.

No fake zone.....

But as you already know...they are not on the cheap side, either.


...tell me about it!

No fake zone for real yo!, especially when You!, shop at places like Bloomingdale, Von Maur..

Damn youu! 😀
 
mi na surauali zangu zenye 'celebration' nne nne na mashati mchele mchele ngoja nikae kimya!
usikae kimya mkuu tupo wengi sema mi celebration mbilili na chini iwe na turnup. kiatu cha ngozi kisiwe na kamba, juu napenda shati la mistari ya kushuka pia, naweza kuongeza koti la suti au sweta nabeba na mwamvuli🙂. hapo comfortable sehemu yoyote. jeans na raba tupo mbalimbali.
 
gauni fupi linalo bana kwenye nyonyo, huku chini linanyanyuka kidogo ili hata kakalio katoke na kakakiatu chenye soli ndogo ............... ofisini suruali ya kitambaa na kakoti hivi fulani hivi............ halafu weekend natupiamo kaskin jeans na swags kibao ....nyumbani namagauni makubwa ya kupitisha hewa kila kona sijibani
Huishi vituko wewe eti kakalio katoke[emoji23]
 
Muda wa kazi; Cardet ya khaki au brown na shati la mikono mifupi lenye draft. Viatu viwe simple rangi ya brown au nyeusi.

Muda wa outing; Tishirt nyeupe na jeans ya light blue na sneakers au sandals.

Nikiwa home ni mwendo wa tshirt nyepesi na pensi.
Umenikosha
 
Napenda sana kupendeza mwenzenu.
Kazini:
navaa nguo mbalimbali vitenge vya kushona kwa fundi juma. Nguo za vitenge za kubana (penseli) fupi au ndefu, gauni za kumwaga ndefu au fupi viatu navaa vya juu kidogo, hills ndefu sana siwezi na pia mazingira ya kazi si rafiki, labda ingekuwa ofisini ningeweza kumanage. Viatu flat pia huwa navaa.
Pia navaa sketi za penseli fupi na ndefu. High waist na low waist. Blauzi quality za mtumba zinahusika sana
hapa.
Kwenye mitoko navaa casual, Leggings na tops au tisherts na skin jeans na viatu flat.
Kwenye sherehe:
Gauni fupi magotini tu, ndefu hapana.
Nyumbani:
Khanga na viblauzi au madera mara chache.
Urembo mwingine Saa, Handbags , Clutch. Hereni ndogo ndogo. Makeups hapana kabisa. Nywele nasuka mitindo mbalimbali.
 
Back
Top Bottom