Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
You silly..Nina mashati yangu ma-3 ya kung'aa yale (yellow, red, na maroon). Nina suruali pair 2 za marinda. Nina mkanda flani una 'bakol' ya 50 Cent. Soksi nyeusi pair 2. Chini huwa nina safari boots. Hapo ni formal, na casual humo humo. Nikitupia humo, utafikiri Akon ndio katoka uchagani kafika mjini.
Hahahhaahah daah jf bwana,afadhali nicheke nikalale..Kesho nayo ni sikuNina mashati yangu ma-3 ya kung'aa yale (yellow, red, na maroon). Nina suruali pair 2 za marinda. Nina mkanda flani una 'bakol' ya 50 Cent. Soksi nyeusi pair 2. Chini huwa nina safari boots. Hapo ni formal, na casual humo humo. Nikitupia humo, utafikiri Akon ndio katoka uchagani kafika mjini.
dera chukuchuku...Wow classy,.. Ukiwa casual tu like kwenda madukani hv au sokoni unatokaje
vice versa is true.Nina mashati yangu ma-3 ya kung'aa yale (yellow, red, na maroon). Nina suruali pair 2 za marinda. Nina mkanda flani una 'bakol' ya 50 Cent. Soksi nyeusi pair 2. Chini huwa nina safari boots. Hapo ni formal, na casual humo humo. Nikitupia humo, utafikiri Akon ndio katoka uchagani kafika mjini.
vice versa is true.
Siku ukitoka hivi nishtue nikusindikize.....Hizi ndio baadhi ugonjwa zangu .. Thanks ..
This Sunday after service .. Going kwa baby shower ila ukipigwa Simooo...... Thanks..Siku ukitoka hivi nishtue nikusindikize.....
Kwa mapigo hayo hata nikipigwa ni halali hio ni fuata nyuki ule asali ingawa unaweza kurudi na manunduThis Sunday after service .. Going kwa baby shower ila ukipigwa Simooo...... Thanks..
Amependeza aisee.Siku ukitoka hivi nishtue nikusindikize.....
Haya dear.. Let me end here ... Subiri akusikie na akuone... Thanks...Kwa mapigo hayo hata nikipigwa ni halali hio ni fuata nyuki ule asali ingawa unaweza kurudi na manundu
Kuna siku kilipita kifaa kama hiki nikadondosha tablet ikapasuka screen yote...........Amependeza aisee.
lucky guy...........Haya dear.. Let me end here ... Subiri akusikie na akuone... Thanks...
Kuna siku kilipita kifaa kama hiki nikadondosha tablet ikapasuka screen yote...........
Mwili ulikufa ganzi for few minutes...Aahhhaaaaaa..... We ni kibokooo... Thanks...
Hahahaha tatizo macho hayaKuna siku kilipita kifaa kama hiki nikadondosha tablet ikapasuka screen yote...........