Unapewa vikosi hivi viwili na Kim wa north Korea kwamba lazima urudi na kombe utachagua kikosi gani hapo

Kizazi cha zamani si malaika. Kina mapungufu yake. Hata hivyo zipo rekodi ambazo zimewekwa na kizazi cha zamani ambazo dot.com inabidi kuvunja rekodi hizo. Hii ni kwa nyanja zote. Hutakuwi kulalamika unapokuwa challenged lather you need to overcome. Tazama; kuna wanafalsa ambao mpaka leo tunafanya reference kwao. Wapo viongozi, wabunifu kama Bill Gates au Steve Jobs. Bondia kama Mohamed Ali au hata Mike "Iron Tyson. Wacheza basket kama Michael "air" Jordan. Strong Leaders like Nelson Mandela. Center half kama Jera Mtagwa na wenzake kama Leodgar Tenga tunao akina Philbert Bayi.

Huu si wivu. Just records
Kizazi cha zamani si malaika. Kina mapungufu yake. Hata hivyo zipo rekodi ambazo zimewekwa na kizazi cha zamani ambazo dot.com inabidi kuvunja rekodi hizo. Hii ni kwa nyanja zote. Hutakuwi kulalamika unapokuwa challenged lather you need to overcome. Tazama; kuna wanafalsa ambao mpaka leo tunafanya reference kwao. Wapo viongozi, wabunifu kama Bill Gates au Steve Jobs. Bondia kama Mohamed Ali au hata Mike "Iron Tyson. Wacheza basket kama Michael "air" Jordan. Strong Leaders like Nelson Mandela. Center half kama Jera Mtagwa na wenzake kama Leodgar Tenga tunao akina Philbert Bayi.

Huu si wivu. Just records
 
Jaman almost Wachezaj weng wa Squdra A,,wengi wetu hatukuweza kuona Fire lao enzi wakiwika,Binfsi I was too young,,So, lazima nichague kile nincho thibitisha kwa Macho yangu,ila siyo Nadharia ya kusmuliwaaaaaaa
Kama wewe hukuwaona usidhani humu watoto. Sisi baba zako tumewashudia.
 
ngoja nimalize kula nakurejea baadae ..hahaa
 
Huyu dogo wenu Mess angekutana na Papaa Roberto Carlos si angekunya ulendaulenda. Sijui angepita wapi
 
Hebu acheni kukariri kila kikongwe kiabudiwe

Hii safu ya kiungo ya Kroos,xavi,Iniesta kinawapoteza hao A ...

Xavi ni controller ,engine ,master ,iniesta controller fundi ,kroos master pass hapo pass zinapigwa muda wote ball possession 70-30

Messi no words to describe him playmaker, striker ,dribbler ,passer

Rinaldo&Ney

Hapo A wanachapwa ...naenda B

Xavi,iniesta,kroos,Messi weka mbali na watoto hapo ball possession 70-30

Atakayepinga ni yule anayekariri
 
Sina sababu ya kubishana na watoto waliozaliwa baada ya 1990.....acha waendelee kuamini wanachokiona!
 
Hapo hata kipofu ukimtajia hiyo list lazima achague A
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…