Unapewa vikosi hivi viwili na Kim wa north Korea kwamba lazima urudi na kombe utachagua kikosi gani hapo

Unapewa vikosi hivi viwili na Kim wa north Korea kwamba lazima urudi na kombe utachagua kikosi gani hapo

hcho kikosi B KINA MILIKI MEDALI 34 ZA MSHINDI WA KWANZA WA KOMBE LA UEFA ..IDADI HIYO INAPATIKANA KWA KILA MCHEZAJI AMBAYE AMESHAWAHI KUNYANYUA KOMBE HILO ..
huku kikosi B KIKIWA KINA MILIKI BALLON D 10 wkati kikosi A KIKIWA KINAMILIKI BALOON D 9 na bado kikosi B kina wachezaji ambao bado wanacheza mpira wa ushindani ..so mpka mwaka kesho watakuwa wanaongeza idadi ya makombe ya UEFA Na TUZO ZA BALLON D


ifahamike kuwa mechi za UEFA Champions
league ndio zimekuwa ZINAPEWA KIPAUMBELE KIKUBWA CHA KUTOA MCHEZAJI BORA WA MWAKA WA DUNIA. KULIKO MASHINDANO YOYOTE YALE DUNIANI NDIO MAANA TUMEONA ALEX SANCHEZ AKIISAIDIA CHILE KUCHUKUA KOMBE LA COPA AMERCA BACK TO BACK LAKINI HAKUWAHI KUCHAGULIWA KUINGIA HATA TOP 5 YA WACHEZAJI BORA WA DUNIA

KWA WENYE AKILI WAMESHANIELEWA..niwatakie siku njema wakuu
Kizazi cha zamani si malaika. Kina mapungufu yake. Hata hivyo zipo rekodi ambazo zimewekwa na kizazi cha zamani ambazo dot.com inabidi kuvunja rekodi hizo. Hii ni kwa nyanja zote. Hutakuwi kulalamika unapokuwa challenged lather you need to overcome. Tazama; kuna wanafalsa ambao mpaka leo tunafanya reference kwao. Wapo viongozi, wabunifu kama Bill Gates au Steve Jobs. Bondia kama Mohamed Ali au hata Mike "Iron Tyson. Wacheza basket kama Michael "air" Jordan. Strong Leaders like Nelson Mandela. Center half kama Jera Mtagwa na wenzake kama Leodgar Tenga tunao akina Philbert Bayi.

Huu si wivu. Just records
hcho kikosi B KINA MILIKI MEDALI 34 ZA MSHINDI WA KWANZA WA KOMBE LA UEFA ..IDADI HIYO INAPATIKANA KWA KILA MCHEZAJI AMBAYE AMESHAWAHI KUNYANYUA KOMBE HILO ..
huku kikosi B KIKIWA KINA MILIKI BALLON D 10 wkati kikosi A KIKIWA KINAMILIKI BALOON D 9 na bado kikosi B kina wachezaji ambao bado wanacheza mpira wa ushindani ..so mpka mwaka kesho watakuwa wanaongeza idadi ya makombe ya UEFA Na TUZO ZA BALLON D


ifahamike kuwa mechi za UEFA Champions
league ndio zimekuwa ZINAPEWA KIPAUMBELE KIKUBWA CHA KUTOA MCHEZAJI BORA WA MWAKA WA DUNIA. KULIKO MASHINDANO YOYOTE YALE DUNIANI NDIO MAANA TUMEONA ALEX SANCHEZ AKIISAIDIA CHILE KUCHUKUA KOMBE LA COPA AMERCA BACK TO BACK LAKINI HAKUWAHI KUCHAGULIWA KUINGIA HATA TOP 5 YA WACHEZAJI BORA WA DUNIA

KWA WENYE AKILI WAMESHANIELEWA..niwatakie siku njema wakuu
Kizazi cha zamani si malaika. Kina mapungufu yake. Hata hivyo zipo rekodi ambazo zimewekwa na kizazi cha zamani ambazo dot.com inabidi kuvunja rekodi hizo. Hii ni kwa nyanja zote. Hutakuwi kulalamika unapokuwa challenged lather you need to overcome. Tazama; kuna wanafalsa ambao mpaka leo tunafanya reference kwao. Wapo viongozi, wabunifu kama Bill Gates au Steve Jobs. Bondia kama Mohamed Ali au hata Mike "Iron Tyson. Wacheza basket kama Michael "air" Jordan. Strong Leaders like Nelson Mandela. Center half kama Jera Mtagwa na wenzake kama Leodgar Tenga tunao akina Philbert Bayi.

Huu si wivu. Just records
 
Jaman almost Wachezaj weng wa Squdra A,,wengi wetu hatukuweza kuona Fire lao enzi wakiwika,Binfsi I was too young,,So, lazima nichague kile nincho thibitisha kwa Macho yangu,ila siyo Nadharia ya kusmuliwaaaaaaa
Kama wewe hukuwaona usidhani humu watoto. Sisi baba zako tumewashudia.
 
Kizazi cha zamani si malaika. Kina mapungufu yake. Hata hivyo zipo rekodi ambazo zimewekwa na kizazi cha zamani ambazo dot.com inabidi kuvunja rekodi hizo. Hii ni kwa nyanja zote. Hutakuwi kulalamika unapokuwa challenged lather you need to overcome. Tazama; kuna wanafalsa ambao mpaka leo tunafanya reference kwao. Wapo viongozi, wabunifu kama Bill Gates au Steve Jobs. Bondia kama Mohamed Ali au hata Mike "Iron Tyson. Wacheza basket kama Michael "air" Jordan. Strong Leaders like Nelson Mandela. Center half kama Jera Mtagwa na wenzake kama Leodgar Tenga tunao akina Philbert Bayi.

Huu si wivu. Just records

Kizazi cha zamani si malaika. Kina mapungufu yake. Hata hivyo zipo rekodi ambazo zimewekwa na kizazi cha zamani ambazo dot.com inabidi kuvunja rekodi hizo. Hii ni kwa nyanja zote. Hutakuwi kulalamika unapokuwa challenged lather you need to overcome. Tazama; kuna wanafalsa ambao mpaka leo tunafanya reference kwao. Wapo viongozi, wabunifu kama Bill Gates au Steve Jobs. Bondia kama Mohamed Ali au hata Mike "Iron Tyson. Wacheza basket kama Michael "air" Jordan. Strong Leaders like Nelson Mandela. Center half kama Jera Mtagwa na wenzake kama Leodgar Tenga tunao akina Philbert Bayi.

Huu si wivu. Just records
ngoja nimalize kula nakurejea baadae ..hahaa
 
Wabongo na mpira wapi na wapi! Ni wachache sana ....cha kushangaza ukitaja kizazi bora kuwahi kutokea cha akina Messi na wenzie unaambiwa umeanza kufatilia mpira juzi😀😀, mwingine anakuambia unamiaka 18. Wabongo katika ubora wao wa kujisemea.

View attachment 688469
"MESSI"Huyu ndo mchezaji ambae anawasumbua vichwa watu duniani na baadhi yao wamo humu humu....so kila anaekuja anawika miaka miwili au mitatu anapotea lakini Messi yupo pale pale...best player in all generation.

I know that mnamlenga King Messi asiyekuwa na mpinzani hadi leo hii.
Huyu dogo wenu Mess angekutana na Papaa Roberto Carlos si angekunya ulendaulenda. Sijui angepita wapi
 
Hebu acheni kukariri kila kikongwe kiabudiwe

Hii safu ya kiungo ya Kroos,xavi,Iniesta kinawapoteza hao A ...

Xavi ni controller ,engine ,master ,iniesta controller fundi ,kroos master pass hapo pass zinapigwa muda wote ball possession 70-30

Messi no words to describe him playmaker, striker ,dribbler ,passer

Rinaldo&Ney

Hapo A wanachapwa ...naenda B

Xavi,iniesta,kroos,Messi weka mbali na watoto hapo ball possession 70-30

Atakayepinga ni yule anayekariri
 
Sina sababu ya kubishana na watoto waliozaliwa baada ya 1990.....acha waendelee kuamini wanachokiona!
 
Hapo hata kipofu ukimtajia hiyo list lazima achague A
 
Back
Top Bottom