son of a teacher
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 541
- 1,449
Haha wana kariri Henry si wajuzi tu hapoSoon watakuijia kukuambia umeanza kufatilia mpira kipindi cha kikwete 😀 hawachelewi hawa watu.
Huwezi ukamfanisha Caf na Carols vs Marcelo na Alves unaaibisha mpira hao wazee labda kama hujuwaona enzi zaoMakipa. Hawa ni 50/50
Full back. Kwa maana ya wingback Marcelo na Alves ni bora kuliko Carlos na Cufu. Kwenye hii idara timu B nawapa 80 A 20
Central defenders.
Maldini na Ramos wapo level moja. Pique na Puyol nao wana viwango sawa. Hapa napo ni 50/50
Midfilders
Xavi Hernandez, Lujan Andre Iniesta na Tonny Kroos ni bora kuliko hao wooote wa kundi A
Attacker
Hendry japo ni mkongwe hajafikia uwezo alio nao Neymar. Cr7 na Di lima hawa wanauwezo karibu sawa. Ila tuache unazi cr7 ni mkali. Mwisho dinho na king Messiah. La pulga wate tunajua shughuli yake. Hapa tena kundi B wanaongoza.
Hitimisho
A 0-3 B
B ni timu nzuri kuliko A
AISEEEEE WEWE JAMAA UNA AKILI NYINGI MNOOO
NAHILO SIO KSTIKA MPIRA TU ..CHUNGUZA VYEMA JAMBO LOLOTE AMBALO LILIWAHI KUTOKEA ZAMANI BASI KISHA LIKAWA LINAFNYIKA LINGINE KAMA LILE LAZAMSNI KTLK WAKATI HUU ...ILE GENERATION YA ZAMANI WATAKUJA NA HOJA YA KUKWABIA KUWA SIKU HIZI HAMNA KITU ..IWE NI MZIKI ..MPIRA..FASHION .MAZINGIRA NA MICHEZO YOTE KWA UJUMLA WAKE ...
KUNA KASUMBA MOJA AMBAYO INAENDELEA TZ AMBAYO IPO KWENYE GENERATION YA ZAMANI YKUTAKA KUIAMINISHA Jamii kuwa wakati wao wa ujana ndio palikuwa ni vitu bora mpka kwenye maadili ..wakati huo huo wakijinadi kuwa ni watu wenye maadili ukija kukaa nao utachoka kabisa ..wazee hao hao ndio hutemvea na wake za watu ..wanalala na vibinti vidogo kabisaa wengine wametelekeza familia zao..ma lecture wanafelisha vijana ili wapate rushwa ya ngono yaaani ni hayari ..na mifano tunayo toka kwa wazee hao hao ambao wengine niviongozi wetu ...maana hata mchatle nae sinimzee jamani ..lkini naskia kamzalisha mke wamtu
sasa ukikaa chini wajuiliza nimaadili yapi wanayoyazungumzia hawa kuwa ktk wakati wao ylikuwa ni maadili bora wakati wanatabia chafu kiasi hiki
hcho kikosi B KINA MILIKI MEDALI 34 ZA MSHINDI WA KWANZA WA KOMBE LA UEFA ..IDADI HIYO INAPATIKANA KWA KILA MCHEZAJI AMBAYE AMESHAWAHI KUNYANYUA KOMBE HILO ..
huku kikosi B KIKIWA KINA MILIKI BALLON D 10 wkati kikosi A KIKIWA KINAMILIKI BALOON D 9 na bado kikosi B kina wachezaji ambao bado wanacheza mpira wa ushindani ..so mpka mwaka kesho watakuwa wanaongeza idadi ya makombe ya UEFA Na TUZO ZA BALLON D
ifahamike kuwa mechi za UEFA Champions
league ndio zimekuwa ZINAPEWA KIPAUMBELE KIKUBWA CHA KUTOA MCHEZAJI BORA WA MWAKA WA DUNIA. KULIKO MASHINDANO YOYOTE YALE DUNIANI NDIO MAANA TUMEONA ALEX SANCHEZ AKIISAIDIA CHILE KUCHUKUA KOMBE LA COPA AMERCA BACK TO BACK LAKINI HAKUWAHI KUCHAGULIWA KUINGIA HATA TOP 5 YA WACHEZAJI BORA WA DUNIA
KWA WENYE AKILI WAMESHANIELEWA..niwatakie siku njema wakuu
AISEEEEE WEWE JAMAA UNA AKILI NYINGI MNOOO
NAHILO SIO KSTIKA MPIRA TU ..CHUNGUZA VYEMA JAMBO LOLOTE AMBALO LILIWAHI KUTOKEA ZAMANI BASI KISHA LIKAWA LINAFNYIKA LINGINE KAMA LILE LAZAMSNI KTLK WAKATI HUU ...ILE GENERATION YA ZAMANI WATAKUJA NA HOJA YA KUKWABIA KUWA SIKU HIZI HAMNA KITU ..IWE NI MZIKI ..MPIRA..FASHION .MAZINGIRA NA MICHEZO YOTE KWA UJUMLA WAKE ...
KUNA KASUMBA MOJA AMBAYO INAENDELEA TZ AMBAYO IPO KWENYE GENERATION YA ZAMANI YKUTAKA KUIAMINISHA Jamii kuwa wakati wao wa ujana ndio palikuwa ni vitu bora mpka kwenye maadili ..wakati huo huo wakijinadi kuwa ni watu wenye maadili ukija kukaa nao utachoka kabisa ..wazee hao hao ndio hutemvea na wake za watu ..wanalala na vibinti vidogo kabisaa wengine wametelekeza familia zao..ma lecture wanafelisha vijana ili wapate rushwa ya ngono yaaani ni hayari ..na mifano tunayo toka kwa wazee hao hao ambao wengine niviongozi wetu ...maana hata mchatle nae sinimzee jamani ..lkini naskia kamzalisha mke wamtu
sasa ukikaa chini wajuiliza nimaadili yapi wanayoyazungumzia hawa kuwa ktk wakati wao ylikuwa ni maadili bora wakati wanatabia chafu kiasi hiki
Maoni yako hayo mkuu...ila Marcelo na Alves ni mawingback bora kabisaHuwezi ukamfanisha Caf na Carols vs Marcelo na Alves unaaibisha mpira hao wazee labda kama hujuwaona enzi zao
umeingia kwenye dini tena mkuu .basi kama vyakale ni dhahabu tuanze kutumia punda na farasi tuachane na usafiri wa magari..ndege ..bajaji .meli etc...maana ndio vyakale haswaaaCha kale ni dhahabu ndio maana biblia na Quran havipitwi na wakati.Ukitaka kujua zamani kulikuwa na Soka uliza FIFA kuhusu Pele.
Huyu dogo wenu Mess angekutana na Papaa Roberto Carlos si angekunya ulendaulenda. Sijui angepita wapi
AMfano umepewa vikosi hivyo viwili uchague kimoja kwamba usiporudi na kombe utanyongwa
Tunaasume wote wako kwenye form zao kabisa za Hali ya juu, Kwa wakati mmoja
View attachment 688320