Unapewa vikosi hivi viwili na Kim wa north Korea kwamba lazima urudi na kombe utachagua kikosi gani hapo

Unapewa vikosi hivi viwili na Kim wa north Korea kwamba lazima urudi na kombe utachagua kikosi gani hapo

Makipa. Hawa ni 50/50
Full back. Kwa maana ya wingback Marcelo na Alves ni bora kuliko Carlos na Cufu. Kwenye hii idara timu B nawapa 80 A 20

Central defenders.
Maldini na Ramos wapo level moja. Pique na Puyol nao wana viwango sawa. Hapa napo ni 50/50

Midfilders

Xavi Hernandez, Lujan Andre Iniesta na Tonny Kroos ni bora kuliko hao wooote wa kundi A

Attacker
Hendry japo ni mkongwe hajafikia uwezo alio nao Neymar. Cr7 na Di lima hawa wanauwezo karibu sawa. Ila tuache unazi cr7 ni mkali. Mwisho dinho na king Messiah. La pulga wate tunajua shughuli yake. Hapa tena kundi B wanaongoza.

Hitimisho

A 0-3 B
B ni timu nzuri kuliko A
Huwezi ukamfanisha Caf na Carols vs Marcelo na Alves unaaibisha mpira hao wazee labda kama hujuwaona enzi zao
 
Kikosi A kinakuja na kombe Asubuhi na mapema.
 
AISEEEEE WEWE JAMAA UNA AKILI NYINGI MNOOO
NAHILO SIO KSTIKA MPIRA TU ..CHUNGUZA VYEMA JAMBO LOLOTE AMBALO LILIWAHI KUTOKEA ZAMANI BASI KISHA LIKAWA LINAFNYIKA LINGINE KAMA LILE LAZAMSNI KTLK WAKATI HUU ...ILE GENERATION YA ZAMANI WATAKUJA NA HOJA YA KUKWABIA KUWA SIKU HIZI HAMNA KITU ..IWE NI MZIKI ..MPIRA..FASHION .MAZINGIRA NA MICHEZO YOTE KWA UJUMLA WAKE ...
KUNA KASUMBA MOJA AMBAYO INAENDELEA TZ AMBAYO IPO KWENYE GENERATION YA ZAMANI YKUTAKA KUIAMINISHA Jamii kuwa wakati wao wa ujana ndio palikuwa ni vitu bora mpka kwenye maadili ..wakati huo huo wakijinadi kuwa ni watu wenye maadili ukija kukaa nao utachoka kabisa ..wazee hao hao ndio hutemvea na wake za watu ..wanalala na vibinti vidogo kabisaa wengine wametelekeza familia zao..ma lecture wanafelisha vijana ili wapate rushwa ya ngono yaaani ni hayari ..na mifano tunayo toka kwa wazee hao hao ambao wengine niviongozi wetu ...maana hata mchatle nae sinimzee jamani ..lkini naskia kamzalisha mke wamtu
sasa ukikaa chini wajuiliza nimaadili yapi wanayoyazungumzia hawa kuwa ktk wakati wao ylikuwa ni maadili bora wakati wanatabia chafu kiasi hiki

Umeongea facts mkuu. Kwenye ukweli uongo hujitenga. Kama ni facts umemwaga za kutosha. Tatizo wabongo kila kitu wanajifanya wanajuwa. Alafu kitu kingine wanafuata mkumbo kaka, atakuja shabiki mandazi hapa ataongea anavyojisikia yeye na mwingine anaiga hicho hicho 😀😀😀 wasikupe tabu hawa tushawazoea kitambo sana.
 
hcho kikosi B KINA MILIKI MEDALI 34 ZA MSHINDI WA KWANZA WA KOMBE LA UEFA ..IDADI HIYO INAPATIKANA KWA KILA MCHEZAJI AMBAYE AMESHAWAHI KUNYANYUA KOMBE HILO ..
huku kikosi B KIKIWA KINA MILIKI BALLON D 10 wkati kikosi A KIKIWA KINAMILIKI BALOON D 9 na bado kikosi B kina wachezaji ambao bado wanacheza mpira wa ushindani ..so mpka mwaka kesho watakuwa wanaongeza idadi ya makombe ya UEFA Na TUZO ZA BALLON D


ifahamike kuwa mechi za UEFA Champions
league ndio zimekuwa ZINAPEWA KIPAUMBELE KIKUBWA CHA KUTOA MCHEZAJI BORA WA MWAKA WA DUNIA. KULIKO MASHINDANO YOYOTE YALE DUNIANI NDIO MAANA TUMEONA ALEX SANCHEZ AKIISAIDIA CHILE KUCHUKUA KOMBE LA COPA AMERCA BACK TO BACK LAKINI HAKUWAHI KUCHAGULIWA KUINGIA HATA TOP 5 YA WACHEZAJI BORA WA DUNIA

KWA WENYE AKILI WAMESHANIELEWA..niwatakie siku njema wakuu

You are very smart kaka. Usiku mwema pia!!
 
AISEEEEE WEWE JAMAA UNA AKILI NYINGI MNOOO
NAHILO SIO KSTIKA MPIRA TU ..CHUNGUZA VYEMA JAMBO LOLOTE AMBALO LILIWAHI KUTOKEA ZAMANI BASI KISHA LIKAWA LINAFNYIKA LINGINE KAMA LILE LAZAMSNI KTLK WAKATI HUU ...ILE GENERATION YA ZAMANI WATAKUJA NA HOJA YA KUKWABIA KUWA SIKU HIZI HAMNA KITU ..IWE NI MZIKI ..MPIRA..FASHION .MAZINGIRA NA MICHEZO YOTE KWA UJUMLA WAKE ...
KUNA KASUMBA MOJA AMBAYO INAENDELEA TZ AMBAYO IPO KWENYE GENERATION YA ZAMANI YKUTAKA KUIAMINISHA Jamii kuwa wakati wao wa ujana ndio palikuwa ni vitu bora mpka kwenye maadili ..wakati huo huo wakijinadi kuwa ni watu wenye maadili ukija kukaa nao utachoka kabisa ..wazee hao hao ndio hutemvea na wake za watu ..wanalala na vibinti vidogo kabisaa wengine wametelekeza familia zao..ma lecture wanafelisha vijana ili wapate rushwa ya ngono yaaani ni hayari ..na mifano tunayo toka kwa wazee hao hao ambao wengine niviongozi wetu ...maana hata mchatle nae sinimzee jamani ..lkini naskia kamzalisha mke wamtu
sasa ukikaa chini wajuiliza nimaadili yapi wanayoyazungumzia hawa kuwa ktk wakati wao ylikuwa ni maadili bora wakati wanatabia chafu kiasi hiki

Cha kale ni dhahabu ndio maana biblia na Quran havipitwi na wakati.Ukitaka kujua zamani kulikuwa na Soka uliza FIFA kuhusu Pele.
 
Cha kale ni dhahabu ndio maana biblia na Quran havipitwi na wakati.Ukitaka kujua zamani kulikuwa na Soka uliza FIFA kuhusu Pele.
umeingia kwenye dini tena mkuu .basi kama vyakale ni dhahabu tuanze kutumia punda na farasi tuachane na usafiri wa magari..ndege ..bajaji .meli etc...maana ndio vyakale haswaaa
 
Huyu dogo wenu Mess angekutana na Papaa Roberto Carlos si angekunya ulendaulenda. Sijui angepita wapi

ona huyo Papaa wako anavyogaragazwa hapa


afu ona tena huyo papaa wako wakiwa pamoja na beki mchezaji bora wa dunia wanavyonyanyaswa hapa[emoji116]
 
Kikosi B hata Mungu na Shetani lazima washirikiane kushangilia ni fire fire fire
 
Kwa aina ya mpira wa B...na aina ya uchezaji,A walitakiwa badala ya steven gerrard wamuweke GENARO GATTUSO...angepunguza kazi yao kwa kwanja za hatari.
 
Squad A waletee hata watu 24 watafungwa tu....
 
Back
Top Bottom