Unapiga 'gym' na usiku unakojoa kwenye kopo kitaalamu hii tunaitaje?

Unapiga 'gym' na usiku unakojoa kwenye kopo kitaalamu hii tunaitaje?

Counterbook

Senior Member
Joined
Jun 14, 2020
Posts
159
Reaction score
71
Salama, upo au ndio ivo tena umeme huu bora kibatari.

Sasa ni hivi kama ilivyo nadra kwa kanali kuogopa kinyonga, una kitambi unaogopa mende, una Nissan Murano, range halafu umepanga kirahisi tu hakuna usawa hapa kama si mizimu basi bombonya fulani by default.

Kijana gym sana, kifua kikubwa, miguu vigimbi as u kno usiku kwa nyumba za kiswahili vyoo n nje mostly, ikiwa utamuona kijana anatoa kopo la mkojo alikojoa usiku yeye kwa akili zake kamili, anaanzaje kuogopa wanaume wenzie kutoka nje kwa mfano? Tafsiri yake ni nini?

Kitaalamu tuiite vipi hii kwa maneno chini ya kumi?
 
Akitoka nje kujisadia mtakuja kusingizia alifungua Mlango usiku ili wapangaji wenzie waibiwe


Au atasingiziwa huwa anatoka usiku wa manane kupiga Chabo wenzie…uswahilini kuna mambo mengi sana kwa msiowahi kuishi

Kuna kijana anasema aliwahi kutoka usiku kwenda chooni akakuta Wapangaji wenzie wameinamishana …akajikuta kaingizwa kwny kazi ya kulinda siri maana hakuna anaejua zaid yake…kuanzia hapo akajuta kwanini halali na kopo la kukojolea
 
Akitoka nje kujisadia mtakuja kusingizia alifungua Mlango usiku ili wapangaji wenzie waibiwe


Au atasingiziwa huwa anatoka usiku wa manane kupiga Chabo wenzie…uswahilini kuna mambo mengi sana kwa msiowahi kuishi

Kuna kijana anasema aliwahi kutoka usiku kwenda chooni akakuta Wapangaji wenzie wameinamishana …akajikuta kaingizwa kwny kazi ya kulinda siri maana hakuna anaejua zaid yake…kuanzia hapo akajuta kwanini halali na kopo la kukojolea
Akaona ibu ck zingine akaweka kopo ,
 
Kubeba Chuma na Ujasiri ni viti 2 tofauti. We unadhani Jux anatoka usiku saa 7 akisikia purukushani nje[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
 
Kuna kijana anasema aliwahi kutoka usiku kwenda chooni akakuta Wapangaji wenzie wameinamishana …akajikuta kaingizwa kwny kazi ya kulinda siri maana hakuna anaejua zaid yake…kuanzia hapo akajuta kwanini halali na kopo la kukojolea
😂😂🤣😂
 
Back
Top Bottom