Unapoamua kujihusisha na mapenzi ya JF na wana JF.

Unapoamua kujihusisha na mapenzi ya JF na wana JF.

Hahahah wengine hawajui kuwa ni magaidi ya mitandaooo

Kwa saiv namshukuru kalumanzila alivyonifanya yan mm kabisa nakuwa busy aisee sema nayamiss madanga ya jf vibaya mno japo wengine wana maid 3 moja anakusifia akija na nyingine ananiponda yani mambo mengi mchanganyiko sema nn? Nipo karibu na mirembee hapa shwaaaaaaaah sekunde tu natibiwaaa kama jf itanifanya chizi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we mtoto jinga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah wengine hawajui kuwa ni magaidi ya mitandaooo

Kwa saiv namshukuru kalumanzila alivyonifanya yan mm kabisa nakuwa busy aisee sema nayamiss madanga ya jf vibaya mno japo wengine wana maid 3 moja anakusifia akija na nyingine ananiponda yani mambo mengi mchanganyiko sema nn? Nipo karibu na mirembee hapa shwaaaaaaaah sekunde tu natibiwaaa kama jf itanifanya chizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Daahh😂😂😂😂
 
Hahahah wengine hawajui kuwa ni magaidi ya mitandaooo

Kwa saiv namshukuru kalumanzila alivyonifanya yan mm kabisa nakuwa busy aisee sema nayamiss madanga ya jf vibaya mno japo wengine wana maid 3 moja anakusifia akija na nyingine ananiponda yani mambo mengi mchanganyiko sema nn? Nipo karibu na mirembee hapa shwaaaaaaaah sekunde tu natibiwaaa kama jf itanifanya chizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhahahah
 
4D ndo nini ? Sema mnayabebea uzitoo hasa kwa member maarufu watu wanazan umaarufu ndo utakuwa na k tamu au dushe la asali kumbee ushyyuuuziii mtupu nishakutana na member hana hata ladhaa yani dushe lakee halina utraamu halina ladhaaaa so naona saiv ameshaikimbia mpaka I'd yakeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Kwanza kabisa jua idadi ya Id zako zote.

2. Ukishazijua fahamu namna ya kuzitumia na mazingira ya kuzitumia. La sivyo zitakunganishwa na utajulikana.

3. Chelewa kugawa mawasiliano ya nje ya JF kwa unayemtongoza. Unaweza kukutana na mpenzi wako.

4. Uwe na lugha nyingi kuendana na aina ya ID. Nitatolea mfano Daby anapenda kutumia neno aseeh na mwandiko fulani.

Ukijichanganya miandiko ikafanana umeliwa.

5. Jiandae kwa lolote maana siku mkigombana anaweza kukuanika hapa.

6. Usiwe na wivu... mpenzi wako ataitwa bebi na wadada/wababa wa humu.

Wajuvi ongezeeni zingine.

NB: muda mwingine unaweza kuamua kujianzishia uzi kwa ID ya kike\kiume kumrusha roho mpenzi wako ajue competition ipo.
Hapo kwenye namba 3 natia mkazo tu, hasa kwa wale ambao hamuungi mkono juhudi Unaweza ukakutana na wakereketwa wazalendo watakachokufanyia bila ganzi.
 
Back
Top Bottom