Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Mada imejaa busara na weledi wa hali ya juu . You are a real professor ! Ni kweli wachawi hawajui hesabu lakini wanafanikiwa asilimia mia moja . Faith starts where the reason ends . Imani ya Mungu na uchawi kuna uhusiano gani ?
 
Hahaha...Mkuu, hiyo ya tatu ni balaa. zamani tukiwa bado wadogo kuna jirani yetu alikuwa na hiyo sayansi (uchawi) na alikuwa hajifichi kujisema alivyobobea kwenye sayansi hiyo ya Asili. siku moja alikwenda na rafiki yake kuwinda kitoweo poli la BULIGI. kwa bahati mbaya wakavamiwa na simba na yule rafiki yake hakuwa na lakufanya. jamaa akampoteza kwa speed ya radi. jamaa anazinduka anajikuta yuko nyumbani. Asubuhi njema Boss


Mkuu umejitahidi sana kwa stori nzuri ya kutunga, [emoji2] Unafaa sana kwa uandishi wa stori za kusadikika... Ungekuwa Hollywood basi bila shaka ungekuwa muandishi mzuri wa Filamu za stori na maudhui ya kusadikika [emoji2][emoji2]
 

Bila shaka kwenye Vita vya MajiMaji wewe nawe ungekuwa Kamanda wa Kinjekitile, ili kuwalisha imani potofu watu afu wakafe kwa risasi kizembe kwa imani za kuamini mambo potofu kwa kudhani yanafanya kazi.....
Afu kingne, mazingaombwe ni "tricks" (ujanja) tu zile ambzo ukiwa mtu mzima (adult) unaona, na ndo maana wanafanya kwa watoto wadogo wa shule za msingi huko na sio kwa watu wazima (adults)
THERE IS NO MAGIC, ONLY TRICKS... Tricks (ujanja) kila mtu ana zake, atakuonesha anatoa njiwa kwny kofia etc. kumbe njiwa almuweka before... Pay attention vizuri next time should you ever find yourself in a mazingaombwe room, ni ujanja ujanja tu ule.
With all due respect, mkuu inaonekana ww ni kati ya wanaoamini kuwa "Fisi na Sungura walkuwa marafiki"


Tatizo la watu hadi leo hawataki kuamini kama uchawi upo. na watu tulilishwa matango poli sana hasa kwenye dini zetu, mfano sisi wakristo baadhi ya madhehebu wanasema uchawi upo lakini tusiamini.. sasa hapo mm huwa siwaelewagi.. MAZINGAOMBWE NI MOJA WAPO YA UCHAWI, NA KIPINDI CHA NYUMA YALIKUWAGA YANALETWA ADI MASHULENI.. ALAFU LEO MTU ANASEMA HAKUNA UCHAWI.. SHEEEEET.. TUBADILIKE KWA KWEKI, UCHAWI UPO NA JINA LA YESU LINA UWEZO MKUBWA KATIKA HAYA MAMBO.. NAKUMBUKA SIKU MOJA NIKIWA SHULE YA MSINGI.... KUNA MWANAFUNZI MMOJA ALIPAGAWA NA MAPEPO... AKATOKEA JAMAA MMOJA WA IMANI FLAN AKAANZA KUOMBEA, ILA ALIKUWA ANAYAOMBA YALE MAPEPO YAMUACHIE YASIMTESE YULE MWANAFUNZI.. YAAAN ALIKUWA ANAYASUJUDIA YALE MAPEPO, YALE MAPEPO YAKATULIA KWA MDA, NA YAKAMRUDIA YULE MWANAFUNZI TENA TENA KWA NGUVU... ATATOKEA JAMAA MMOJA MLOKOLE AKAYAAMURU YALE MAPEPO KWA AMRI YA JINA LA YESU..... YALE MAPEPO YAKATOKA NDUKI, HAYAKURUDI TENA.. NILISHANGAA SANA WAKATI HUO..
 
Uchawi haupo katika makaratasi ya serikali lakini kuanzia Ikulu hadi Kitongojini kila binadamu anaamini kuna uchawi. Tatizo dini zimekuja kutupofusha


[emoji23][emoji23][emoji23] ila kabla ya dinii watu mliamini, "Mama mjamzito akila mayai basi atajifungua mtoto asiye na nywele."
Halafu kabla ya dini mlidanganywa kuwa, "Ukivaa nguo nyekundu utapigwa na radi."
Kabla ya dini mlidanganywa eti "Kuzaa watoto mapacha ni mkosi, hivo inapasa wauliwe"
Kabla ya dini mlidanganywa kuwa "Kuna kupaa kwa ungo[emoji23]"
Mliaminishwa pia kuwa, "Ukiwa na kiungo cha Albino basi utapata utajiri na mali nyingi" [emoji2] Unashindwa kujiongeza tu kuwa, "Mbona Albino yeye hawi tajiriiiiiiiiiiiiiiiii??????" maana albino wao ndo wangekuwa Mabilionea sasa, sabb wao mwili mzima ni utajiri...
Noma sana mtu anaamini eti, "Kuna dawa ya kufanya mtu ukitembea na mke wa mtu basi unanata na kunasa hapo hapo na hutoki, [emoji2] MIMI NAJITOLEA NIPE MKEO AFU WEKA HIYO DAWA.[emoji2]
WATU KAMA NYIE NDO MNAFANYA HAWA THE SO CALLED "WAGANGA" WAPATE PESA ZA BUREBURE HIVO.
Hali ngumu jamani kiuchumi, the so called waganga watakula pesa zenu, watu wanatengeneza stunts na kicks kibao sijui mganga flani kamnasa mchawi flani sijui nn.. kumbe wapi, bali ni mbinu za Kibiashara tu za hao wanaojiita waganga, sabb wanajua Waafrika ndo akili zetu hizo.. Kicks zngne mpk kwenye Taarifa za Habari kabisaa, afu zikifatiliwa kiundani unakuta kumbe zilsukwa na watu kwa maslahi zaidi...

Kuna watu wamekolea na kuamini hizi vitu, kiasi kwmba wako radhi hata wachanjwe chale za kwenye makalio.
[emoji2][emoji2] Kuna wakat natamani kuwa mganga wa kienyeji aisee, maana maboya wa kuliwa wapo wengiiii karibu 90% kabisa ya population yote ya TZ.
Sema nashndwa maana ntaishia kucheka tu bure wakt nipo namuagua mtu, maana ntakuwa namuona boyaaaa na ntacheka tu.
USIPELEKWE PELEKWE KAMA Li-NG'OMBE tu KWNY KILA KITU... BY THE WAY, UKIFATA FATA KILA WANACHOSEMA WAGANGA AU VIONGOZI WA KIDINI, BASI MAISHA YAKO YATAJAA HOFU SANA...
Mwafrika bana, [emoji2] Yaani kila kitu ambcho Mwaafrika hakijui basi utasikia anasema Uchawi.[emoji2]
Mwafrika hata mtu akifa tu, utackia anasema "Kafara" (Kifo ni sifa ya kiumbe hai, lazma kife.. sema unfortunately waafrika tubadhan kwmb kifo ni kW ajil ya wazee tu pekee, ndo maana akfarik kijana tu utackia "Ooh Kafara ile" mara "Oooh yule karogwa yule".
Mwafrika hata huu "Umeme" tu angeita ni "uchawi"

eti Uchawi upo [emoji2] BASI JARIBU UUTUMIE KUBASHIRI ILI KUSHINDA hizo Millions za LOTTERY ZA "TATUMZUKA", "BOOMPESA", "BIKO" au zitumie kuchezea Mikeka ya kwny "M-BET", " PREMIER", "SPORTPESA", "MKEKABET" etc.

Uchawi ni Pesa tu, mengne mizigo tu isiyo na faida wala burudani.

eti uchawi upo [emoji2] Basi fanya mpango uwauzie wapiganaji wa vita huko Syria, Congo DRC, Afghanistan, etc. Utatengeneza millions za USD (USA dollar)... Wa kuamini endeleeni kuamini ila vingnevyo ni mastori ya kusadikika tu!!!

Kuna watu wanaamini eti "Kuna mtu ana uwezo wa kuita mvua wakt wowote autakao" [emoji23] Daah jamn kuna mambo mengne wacha nicheke tu!!!!
(basi apige pesa kwa kuwakusanya wakulima, awaambie walime afu awaletee Mvua za Masika wakt wa Kiangazi..)
Watu wanawaua Vikongwe bure tu ,"Tunasahau kuwa hata Kikongwe naye alkuw na umri mdogo pia, na Ukiwa mzee sana mara nyng utakuwa mpweke tu sabb wengi uwajuao watakuw marehemu..."
 
  • Thanks
Reactions: uth
Mada imejaa busara na weledi wa hali ya juu . You are a real professor ! Ni kweli wachawi hawajui hesabu lakini wanafanikiwa asilimia mia moja . Faith starts where the reason ends . Imani ya Mungu na uchawi kuna uhusiano gani ?
[emoji120][emoji120][emoji120]zote ni imani tofauti ni moja tu, moja inawakilisha ukuu wa nuru wakati nyingine ni ukuu wa giza
 
Hapa kwetu usukumani kuna mtu alikuwa akiitwa Ng'wana malundi.na mwingine anaitwa makongolo.hawa watu walikamatwa na mjerumani wakafungwa.lkn kila cku asbh wanawakuta nje.wanafungia tena na kuweka ulinzi mkali.lkn baadae wanawaona wako nje ya gereza.wakiwauliza mmetokaje.wanaaema tumepitia mlangoni.baadae wakawapereka kwenye kisiwa cha mafia wakawaacha huko ili wafe na njaa.wazungu walipoondoka hawa wafungwa wakaulizana.ndugu tutakula nn hapa kisiwani?! Makongoro akasema mm ninaweza kulima ba kuivisha leo hihii,tatzo ni mbegu tutapataje? Mwana malundi akasema mm ninaouwezo wa kupasua hii bahari na tukapita tukitembea.makongolo akasema pasua tufate mbegu za mahindi na malando ili tulime.kweli mwana malundi alitupa kudude kikapasua maji na wakapita mpk ng'ambo.wakachukua mbegu za mahindi na viazi.jioni yake wakapata.kuamka asbh mahindi yameiva na viazi vimechana matuta.ikawa ni kula na kupeleka kuuza mjini kila cku.wajerumani waliposikia kuwa wale wafungwa wanakuja mpk mjini dar es salaam na kuuza mahindi na viazi.ilibidi waje kudhitisha.ba kweli wakawakamatia mjini.na mizigo ya mahindi.wakawaambia tuonyeshini njia mliyopitia.wakaenda ufukweni na kutupa kile kudude maji yakatika na sekende kadhaa wako kisimani.walipofika wakakuta shamba la viaz na mahindi yameiva sana kuliko hata shamba darasa.wakauliza mmepanda lini? Wakajibu tunapanda kila siku jioni na kuvuna kesho asbh.hawa mpk wameacha alama kwenye mawe.km biblia na quruani zingekuwa hazijafungwa.hawa lazima wangekuwemo.
Chanzo chako mkuu
 
  • Thanks
Reactions: uth
Mkuu kwani wewe ni mchawi ?
Hapana mimi sio mchawi hata wewe unasafiri sana.... Hapo ulipo vuta picha ya home town kwenu, shule ulizosoma, sehemu ulizotembelea na kufanya kazi.... Unajiona kabisa uko huko lakini kiuhalisia haupo
 
Wakuu, si kweli hata kidogo kuwa unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia!!, kimsingi uchawi (hypnotism /mesmerism) ni sayansi, ni field moja kati ya field za sayansi, chukua mfano zama za Issack Newton hadi katika miaka ya 1900 hivi Newtonian mechanics ilikuwa inatawala sana lakini ilifika mahali kulingana na maendeleo ya sayansi duniani Newtonian mechanics ilishindwa kutanzua baadhi ya problems ndipo ikaja modern mechanics ambapo mambo mengi yakatanzuliwa na ugunduzi mkubwa ukafanyika lakini pia tukumbuke kuna mambo mengi leo hii bado ni nadharia tu kwa sababu sayansi ya leo bado haitoshi ku formulate ili kujua ukweli wake na hapa unakuja kuona mapungufu ya sayansi hii leo mfano, nini ni chanzo cha nguvu ya uvutano!!?, jibu lake lipo katika nadharia tu (Einstein general law of relativity ). Halikadhalika uchawi (hypnotism ) ni tawi moja la "elusive science" ambalo kulitanzua na kuliweka wazi watu wameshindwa kwa sababu hawako interested nalo, leo watu wako interested na mambo ya rocket,computer,machineries, nuclear science,nk mambo ambayo ni tangible.

Nadhani itafika muda "uchawi" utakuwa applicable pale ambapo sayansi ya leo itakaposhindwa kutanzua matatizo kama jinsi classical mechanics iliposhindwa na modern mechanics ikachukua nafasi. Hapa tunazungumzia uchawi wa kuleta manufaa (productive) sio ule wa kuua watu nk.

Kipindi cha nyuma research zote zilizofanyika kuhusu bangi zilikuwa zikija na majib kwamba bangi ni mbaya. Lakini ukweli ni kwamba wanasayansi wengi waliofanya hizo research walikuwa biased toka mwanzo kabisa.
Yaani walikuwa wakienda kufanya research hali ya kuwa wana majibu kuwa bangi in madhara tuu.

Hivi karibuni wamegundua kwamba bangi inaweza kuwa tiba.
(Baadhi ya watafiti waliokuwa wanatoa majib hasi ya matumizi ya bangi wameomba radhi kwa kuwa biased)

Kama wakiamua kuwa neutral na kufanya utafiti (R&D) basi majibu chanya yatapatikana.
 
Kweli mkuu na haki
Mkuu, kama unakumbuka mwaka 1997 Dr. Matunge aliita wandishi wa habari na baadhi ya viongozi wa serikali na kuutangazia Umma kuwa anataka kuanzisha huduma ya Usafiri wa Anga kwa kutumia Ungo/sayansi ya asili. Akasema ataanza na ruti ya DAR-MWANZA etc. Kama sijakosea, waziri wa sayansi na technology alikuwa Dr. Pius Ngw'andu. Ilileta hisia tofauti kwa wananchi...
Na hakuna hata mchawi aliyejitokeza kubuni au kurndeleza usafiri huo. Pius alitaka wachawi watumie fursa hiyo ya uwezo kuleta maendeleo lakini kwa kuwa wachawi ni waongo walishindwa.
 
  • Thanks
Reactions: uth
Kuna ile mada ya telekinesis na mada nyingine ya machale pia mada ya mind reading, nimesahau title zake zinajibu maswali yote
Ila huu ni uwezo na kipawa cha asili cha kujua yajayo
Sijatofautiana sana na huyo jamaa. Zamani wakati nasoma shule ya Msingi mpaka Sekondari nikiingia kwenye mtihani nikiona swali nilikuwa na uwezo wa kukumbuka hiyo topic jinsi Mwalimu alivyokuwa ameandika ubaoni yote. Then nahamisha tu, baadaye hiyo hali ikaja kuisha hii nayo vipi?
 
Sijatofautiana sana na huyo jamaa. Zamani wakati nasoma shule ya Msingi mpaka Sekondari nikiingia kwenye mtihani nikiona swali nilikuwa na uwezo wa kukumbuka hiyo topic jinsi Mwalimu alivyokuwa ameandika ubaoni yote. Then nahamisha tu, baadaye hiyo hali ikaja kuisha hii nayo vipi?
Third eye intuition ulitakiwa kuiendeleza kwa kufanya meditation
 
Mkuu umejitahidi sana kwa stori nzuri ya kutunga, [emoji2] Unafaa sana kwa uandishi wa stori za kusadikika... Ungekuwa Hollywood basi bila shaka ungekuwa muandishi mzuri wa Filamu za stori na maudhui ya kusadikika [emoji2][emoji2]
Umetisha mkuu! Eti kutunga....na hata kusadikika pia? sasa kama aliyenusurika alikuja to tell the tale, sasa kosa langu kusimulia story liko wapi? Btw, yalishapita ndugu, hayatusaidii tena!
 
KuNa hii njia ya kujichinja roho inatoka ndani ya mwili then mwili unaanza kuifukuzia kwa nyuma nmewahi kuijaribu nilitumia sekunde 5 toka Dar hadi visiwa vya comoro kwenye kikao
Makubwa hii inakuwaje??
 
  • Thanks
Reactions: uth
Kipindi cha nyuma research zote zilizofanyika kuhusu bangi zilikuwa zikija na majib kwamba bangi ni mbaya. Lakini ukweli ni kwamba wanasayansi wengi waliofanya hizo research walikuwa biased toka mwanzo kabisa.
Yaani walikuwa wakienda kufanya research hali ya kuwa wana majibu kuwa bangi in madhara tuu.

Hivi karibuni wamegundua kwamba bangi inaweza kuwa tiba.
(Baadhi ya watafiti waliokuwa wanatoa majib hasi ya matumizi ya bangi wameomba radhi kwa kuwa biased)

Kama wakiamua kuwa neutral na kufanya utafiti (R&D) basi majibu chanya yatapatikana.



Ni kwamba kila kitu kilichopo hapa duniani kina faida maalumu kwa mwanadamu tatizo ni kujua faida yenyewe na jinsi gani inavyoweza kupatikana.

Mfano, kula nyama ya nguruwe ni haramu, na hili limesisitizwa na dini nyingi duniani na hata wanasayansi wanathibitisha madhara ya kula nyama ya nguruwe, sasa swali ni nguruwe anayo faida gani??, leo wanasayansi wame/wanatafiti matumizi ya viungo vya nguruwe kama macho,moyo,ini nk kama viungo mbadala ya viuongo vya binadamu na imeonekana kuwa katika wanyama ni nguruwe pekee aliyekuwa karibu sana (similarity) na binadamu kuliko viumbe wengine ndiyo kusema kula nyama ya nguruwe ni KARIBU sana na kula nyama ya mtu.

Ninakuunga mkono kuwa Bangi inatakiwa ifanyiwe utafiti zaidi ili kujua inayo faida gani kwa binadamu kinyume na uvutaji.
 
Back
Top Bottom