Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

kitu ambacho huwa mnashindwa kuelewa ni kwamba, hata maarifa yoote haya ya siku hizi yameshakuwepo tangu enzi huko kwenye ulimwengu wa kishetani. hata magari mapya hasa ya siku hizi mengi yanakuwa designed kuzimu ila huku yanakuja kwa kupitia watu wao tu ambao sisi tunaamini ndio wenye uwezi mkubwa kufikiri kumbe wamefikirishwa. ukiangalia magari mengi ya kisasa siku hizi yote yana sura ya nyoka....ukiangalia pale mbele, taa zake zilivyo na gari ikikuangalia ni mfano wa nyoka. kuna maana yake kubwa sana ambayo wengi hamuwezi kujua, endeleeni tu kupanda, na hakuna jinsi ya kuendelea kuyatumia tu, Mungu anatusaidia, ila ni matunda ya kuzimu.

chukua rav4 brand ya nyuma (sio hii ya 2020 etc), angalia range rover, angalia cruiser, angalia magari ya pesa nyingi yale ya italia na ulaya na marekani, yote utaona yana sura ya nyoka.
Niwakumbishe tu,huyu mwamba ndio yule alikuwa anatembea kwa miguu morogoro to dar miaka hiyo ya kati,😅😅
 
Back
Top Bottom