Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Tuanzie na zongo kule Tanga, hii ni aina ya uchawi unaokaa kwenye macho..... Mwenye hili fataki la zongo akikuangalia tu tayari transmission inakuwa imefanyika... Ni mfumo fulani wa wireless communications... Nusu saa kubwa utaanza kuumwa tumbo na kuharisha sana! Tiba yake ni nini? Unga fulani imekaa kama magadi unaitwa MAKATA... ukishakunywa hiyo dakika kumi nyingi umeshapona! SAYANSI hapa ingefanya nini? Ingetumia mlolongo mrefu wa kutengeneza bacteria wenye virus wa ugonjwa wa kuhara... Ingetafutwa njia na kumwambukiza mtu hao virus kisha aanze kuumwa... N baada ya hapo ungeanza mchakato wa matibabu.... Uchawi hauna longolongo zote hizo ni hit n run... Finish.... Na infant wireless transmission theory ni copy n paste toka kwenye uchawi

Mfano wa pili kupaa angani ama kusafiri..
Mchawi ana njia tatu rahisi sana
1.kwa kutumia kifaa kama ungo, fimbo ama ungo. Usafiri wa angani
2. Kutumia mnyama kama fisi nk.. Usafiri wa nchi kavu.
3. Kutumia wireless transmission.. Unajiandaa kisha unafumba macho... Sekunde kadhaa ukifungua umeshafika.. Hii inaitwa serve all purpose.. Mwendokasi wake ni zaidi ya supersonic speed... Kwa usafiri huo kama ni sayansi ingetumia mlolongo mrefu wa kutengeneza ndege magari na vyombo vya majini.. Na ingechukua muda na taratibu nyingi...

Mfano wa tatu.... Kuingia ndani kwa mtu... Kupitia pembe ya nyumba ama chumba chako... Mchawi ana uwezo wa kuingia na kukufanya chochote atakacho na akaondoka salama ukiwa wala hujui ulichifanyiwa.. Utastuka akishaondoka... (Usiwaze popobawa) sayansi haina uwezo huo... Wamejaribu wameshindwa..

Mfano wa NNE fumanizi la kunasiana... Ama kunasishwa mziho au kitu ulichoiba... Hii magnetism theory bado sana sayansi kufika huku....
Sayansi ina limitations nyingi kuliko uchawi.. Sayansi ni ubunifu wa kibinadamu kukopi nguvu asili zisizoonekana lakini zinafanya kazi na matokeo yanaonekana... Inapoishia sayansi ndipo uchawi unapoanzia.. Na kwakuwa sayansi ndio inaiga na kuhawilisha hivyo kamwe haiwezi kutenda kama halisi.....

Tofauti kubwa iliyopo kati ya SAYANSI na UCHAWI ni ITHIBATI... sayansi ina ithibati japo si kwa aslimia miamoja... Uchawi hauna ITHIBATI lakini matokeo yake ni asilimia mia moja.... Sababu ni moja tu... Uchawi una asili ya ulimwengu wa roho... Na ulimwengu wa roho ndio ulianza kabla ya ulimwengu wa macho ulimwengu wa sayansi....
Kiumbaji binadamu ndio kiumbe wa mwisho kuumbwa hivyo hata awe mjuzi na mbunifu Kiasi gani hataweza kufanya kitu kwa mafanikio ya asilimia mia moja bila kugusa ulimwengu wa roho... Ukisoma The mason doctrine utanielewa vema....

Asubuhi njema!
kitu ambacho huwa mnashindwa kuelewa ni kwamba, hata maarifa yoote haya ya siku hizi yameshakuwepo tangu enzi huko kwenye ulimwengu wa kishetani. hata magari mapya hasa ya siku hizi mengi yanakuwa designed kuzimu ila huku yanakuja kwa kupitia watu wao tu ambao sisi tunaamini ndio wenye uwezi mkubwa kufikiri kumbe wamefikirishwa. ukiangalia magari mengi ya kisasa siku hizi yote yana sura ya nyoka....ukiangalia pale mbele, taa zake zilivyo na gari ikikuangalia ni mfano wa nyoka. kuna maana yake kubwa sana ambayo wengi hamuwezi kujua, endeleeni tu kupanda, na hakuna jinsi ya kuendelea kuyatumia tu, Mungu anatusaidia, ila ni matunda ya kuzimu.

chukua rav4 brand ya nyuma (sio hii ya 2020 etc), angalia range rover, angalia cruiser, angalia magari ya pesa nyingi yale ya italia na ulaya na marekani, yote utaona yana sura ya nyoka.
 
Habari mkuu Mshana Jr hivi hata mtu aliyetupiwa uchawi wa aina yoyote ile kwenye mwili wake anaweza kufungua the Third eye (hata kama anajuhudi za kufanya meditation) au mpaka ajitibie kwanza ndipo atafanikiwa?
Hebu soma hii kwanza
 
Vilevile akili inapofikia upeo wa mwisho wa kufikiria wazo la Mungu linatawala. Watu wenye uwezo mkubwa mara nyingi wanafikiri namna ya kuvumbua, kupiga magoti na kusali kwake ni kashfa.
 
Na ndio msingi wa sayansi nyingine zote
Samahani tena mkuu Mshana Jr hivi kwa mtu mwenye marohani (Majini) kichwani anaweza kufungua jicho la tatu (na kufungua chakras/kuamsha Nguvu ya Kundalini kwa kupitia meditation?)
Maana nimesikia mahali Nguvu ya Kundalini inawaunguza Majini na wenyewe hawatokubali lazima muachane vibaya nikaogopa
 
Samahani tena mkuu Mshana Jr hivi kwa mtu mwenye marohani (Majini) kichwani anaweza kufungua jicho la tatu (na kufungua chakras/kuamsha Nguvu ya Kundalini kwa kupitia meditation?)
Maana nimesikia mahali Nguvu ya Kundalini inawaunguza Majini na wenyewe hawatokubali lazima muachane vibaya nikaogopa
Hiyo ni kuingia kwenye vita na hayo madude kwakuwa hayako tayari uwe sawa na yao
 
things work in oposite the way unavyojua wewe...unachotegemea kiwe ndo mana hakitokei kwa sababu unachotegemea kitokee ni illusion na kwa sababu unakuwa umeshakalili iwe hivyo but reality haiko hivo...the way how reality works is quite different from what you expect.....

Mtu kujua how to use laws zinazogovern life haimanishi aanze kuzitumia bila specific purpose....every knowledge is used to serve a specific purpose ....kuna baadhi ya juzi zinakulimit sehemu flani...sio kila kitu utakuwa unakifanya ..tena ukizidi kipimo ulimwengu uliokuruhusu unakupoteza katika dimension nyingine kabsaaa...lazima ufahamu kuwa there are so many dimensions ambazo zinashikilia uhai wa viumbe wote ulimwenguni..

Ulimwengu unaoonekana upo level flani ya dimension reality...sisi tunaonana kwa sababu tunaoccupy the same dimension ..occular alteration ipo katika dimension ...

Ukiwa mchawi manake umejua ujuzi wa kuingia katika dimension mbili au tatu tofauti depending na level ya uchawi ulionao..kwa hiyo the more unavyojua how to cross the boundaries katika reality ndivyo unakuwa na uwezo wa kusynchronize with the other world pia...kuna world nyingi ndani ya universe moja but with different level of dimensions...

The forces that open up the gate way ya kuingia other world ina mipaka yake make ukikosea tu mashariti ya kutumia nguvu hizo basi inakupeleka into other dimensions of other form of reality mpaka pale watakapokurudisha wajuzi wa mambo...

.Kuna mzee mmoja alikuwa mchawi sana kijijini kwetu ila aliwahi kupotea mazingira ya kutatanisha yani alikuja kuonekana badae sana ..

The more unavyozid kuasend into powers ndivyo unavopaswa kujua limitations za power hizo ila wapo watu waliofanikiwa kujua limitations na misingi ya kucontrol ujuzi huo na most of white people know much how to use the unseen forces lakini wanatublackmind sisi waafrica tuache hiyo mambo but they are the ones who know more how to play with entangled issues za kila nguvu na hao ndo wenye dunia hii,sisi wengine tupo tu kusubiri jua litachomoza asubuh na kuzama jion ila wapo wanaojua namna mambo yote yanavyotekea before,after and within the midst of the action ya kila kitu....

Ifahamike kwamba kujua uchawi sio dhambi ila ni kujua namna ya kuutumia,we avoid to know that thing kwa sababu hatuna hekima ya kujua faida yake...laiti tungelitambua how important it is ,we couldnt be proclaiming to God kwamba atusaidie ,everything is clear in this universe,science and technology are ones of the manipulation of unseen forces that work in the hidden form but now are put into physical reality but also in the hidden world things work under supersonic speed with maximum efficiency than in scientific way....

Hata quantum technology inalitambua hilo...kuna watu wanarisk maisha kugeuza hidden forces kuoperate in physical reality..every inversion ya technology unayoishuhudia nyuma yake kuna watu wamerisk maisha kuchange mode ya operation.....

Sometimes the truth of realitt is synchronized with the risk,so nothing is simple as you think....
Mzee umeua kabisa nimekuelewa sana mkuu. Nahic utakua na haiba ya ualimu. Maana umeeleza vitu vimeeleweka vzr
 
Aisee inawezekana ikawa wengi... Mkafiri unanuka kuliko kimavi
Nimekumbuka kule upareni kuna mti unaitwa mnuka mavi, unanuka ukichomwa balàa. Tulikuwa tunaabiwa ukiuchoma mtafarakana familia nzima. Sijui ni kweli au walikuwa wanatutisha tu
 
Nimekumbuka kule upareni kuna mti unaitwa mnuka mavi, unanuka ukichomwa balàa. Tulikuwa tunaabiwa ukiuchoma mtafarakana familia nzima. Sijui ni kweli au walikuwa wanatutisha tu
Ndio huo huo mkafiri.. Unafarakanisha mbaya
 
Back
Top Bottom