Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Mkuu Mshana jr. What should I do so that I can contact you for further enquiries??

I am seriously eager to know about it.
[emoji848][emoji848]tuwasiliane
 
Reactions: uth
Unapoishia uchawi, Mungu naye ndiyo anaanzia pale
 
Za promotion ukiweka moja ndogo unapewa mbili kubwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Anyway kaka....nilifanikisha kwendas Kugoma kutafuta chimbuko la baba yangu, ni uzao wa Hassan Ndimanga...Kigoma yote inamjua pale...pia kumbe baba alijenga Sengerema, na mimi ndo mrithi wa pale, nyumba ya Kitangiri alipewa sista, anayenifuatia...jumla imenicost laki 8 kufanya hiyo Tour...ilibidi niende Kigoma, nirudi tena sengerema, halafu niende na Ibondo..ni kijiji hapo Sengerema mabpo ndo kuna wanaifahamu familia ya mzee....pia nikarudi Geita...kwa mganga wa ukoo...akawahoji huyu mtoto mlikuwa mmemficha wapi?? so akafanya yake...siku 2....kidogo nife...maana sio kwa mikorogo ile ya midawa na maubani sijui manini, mara niogeshwe, mara nichanjwe kichwa kizima...ilikuwa shida tupu...nipo Mwanza now bro.
 
Hapana Mungu ndie asili ya vyote uchawi na sayansi

Hana mwanzo, hana mwisho. However, anachukizwa na uchawi, kwa hiyo akitaka kuushughulikia, anaanzia pale unapioishia kwa sababu anajua kuwa pale atakapozanzia yeye, hakuna uchawi unaoweza kusogea pale
 
Ooh safi sana na asante sana kwa mrejesho wenye tashwishwi kubwa... Nimefurahi kusikia kuwa hatimaye umeipata asili yako
 
nadhan ushanisoma,.,....ile id yangu ingineπŸ™‚

pia nifundishe jinsi ya kuweka emoji kubwa kubwa ili tu asisiome content!!...aone ma emoji tuuu
 
Reactions: uth
Hana mwanzo, hana mwisho. However, anachukizwa na uchawi, kwa hiyo akitaka kuushughulikia, anaanzia pale unapioishia kwa sababu anajua kuwa pale atakapozanzia yeye, hakuna uchawi unaoweza kusogea pale
Aaamen... Yeye ni Alpha tena ni Omega
 
Reactions: uth
Hivi mshana hamna utajiri isiokua na kafara ya damu? Make nadharirika hapa mjini, naomba hiyo short kati
 
Hakuna ndugu yangu


Nilipata kuhadithiwa kisa kimoja na mtu ninayemuamini, kwamba kuna mtu mmoja alifungua bucha na kabla ya mauzo ya nyama akaenda kwa "mganga" ili apewe dawa ya kuvuta wateja, sharti alilopewa ni lazima "amwage damu" na damu hiyo ichanganywe na vitu fulani avyoambiwa na mganga, sasa huyo bwana ama hakuelewa damu gani inatakiwa au alitaka kujua itatokea nini !!, yeye akachinja mbwa na akachukua damu kuichanganya na dawa husika akaenda kuweka buchani mahali alipoambiwa, loo kesho yake asubuhi alipokuja na nyama ili aanze biashara alikuta umati wa mbwa nje ya bucha kila mtu eneo lile alishangaa sana hali ile.

Hayo ndiyo mambo ya uganga na "uchawi" yana siri kubwa sana.😁😁😁
 
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ahahahahaha. Kwa hiyo alitakiwa auee mtuu. Dah aiseee.. Haha so ikawaje !
 
na unapoishia uchawi ,ndio Mungu apoanzia,mfano kuning'iniza anga la mbingu,bila nguzo,pia uchawi hauwezi kuzuia jua lisichomoze au lisizame,kumfanya mtu aishi milele,asife nk
 
Ahahahahaha. Kwa hiyo alitakiwa auee mtuu. Dah aiseee.. Haha so ikawaje !



Ndiyo kulingana na masharti ilitakiwa aue mtu ili apate damu, na hapo ndipo siku zote mambo ya "uchawi" au "uganga" yanapofanywa kuwa SIRI.

Juu ya wale mbwa nilisahau kumuuliza kilichoendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…