Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Tuanzie na zongo kule Tanga, hii ni aina ya uchawi unaokaa kwenye macho..... Mwenye hili fataki la zongo akikuangalia tu tayari transmission inakuwa imefanyika... Ni mfumo fulani wa wireless communications... Nusu saa kubwa utaanza kuumwa tumbo na kuharisha sana! Tiba yake ni nini? Unga fulani imekaa kama magadi unaitwa MAKATA... ukishakunywa hiyo dakika kumi nyingi umeshapona! SAYANSI hapa ingefanya nini? Ingetumia mlolongo mrefu wa kutengeneza bacteria wenye virus wa ugonjwa wa kuhara... Ingetafutwa njia na kumwambukiza mtu hao virus kisha aanze kuumwa... N baada ya hapo ungeanza mchakato wa matibabu.... Uchawi hauna longolongo zote hizo ni hit n run... Finish.... Na infant wireless transmission theory ni copy n paste toka kwenye uchawi

Mfano wa pili kupaa angani ama kusafiri..
Mchawi ana njia tatu rahisi sana
1.kwa kutumia kifaa kama ungo, fimbo ama ungo. Usafiri wa angani
2. Kutumia mnyama kama fisi nk.. Usafiri wa nchi kavu.
3. Kutumia wireless transmission.. Unajiandaa kisha unafumba macho... Sekunde kadhaa ukifungua umeshafika.. Hii inaitwa serve all purpose.. Mwendokasi wake ni zaidi ya supersonic speed... Kwa usafiri huo kama ni sayansi ingetumia mlolongo mrefu wa kutengeneza ndege magari na vyombo vya majini.. Na ingechukua muda na taratibu nyingi...

Mfano wa tatu.... Kuingia ndani kwa mtu... Kupitia pembe ya nyumba ama chumba chako... Mchawi ana uwezo wa kuingia na kukufanya chochote atakacho na akaondoka salama ukiwa wala hujui ulichifanyiwa.. Utastuka akishaondoka... (Usiwaze popobawa) sayansi haina uwezo huo... Wamejaribu wameshindwa..

Mfano wa NNE fumanizi la kunasiana... Ama kunasishwa mziho au kitu ulichoiba... Hii magnetism theory bado sana sayansi kufika huku....
Sayansi ina limitations nyingi kuliko uchawi.. Sayansi ni ubunifu wa kibinadamu kukopi nguvu asili zisizoonekana lakini zinafanya kazi na matokeo yanaonekana... Inapoishia sayansi ndipo uchawi unapoanzia.. Na kwakuwa sayansi ndio inaiga na kuhawilisha hivyo kamwe haiwezi kutenda kama halisi.....

Tofauti kubwa iliyopo kati ya SAYANSI na UCHAWI ni ITHIBATI... sayansi ina ithibati japo si kwa aslimia miamoja... Uchawi hauna ITHIBATI lakini matokeo yake ni asilimia mia moja.... Sababu ni moja tu... Uchawi una asili ya ulimwengu wa roho... Na ulimwengu wa roho ndio ulianza kabla ya ulimwengu wa macho ulimwengu wa sayansi....
Kiumbaji binadamu ndio kiumbe wa mwisho kuumbwa hivyo hata awe mjuzi na mbunifu Kiasi gani hataweza kufanya kitu kwa mafanikio ya asilimia mia moja bila kugusa ulimwengu wa roho... Ukisoma The mason doctrine utanielewa vema....

Asubuhi njema!
Baba uko mguu kwa mguu na science hafifu za mwafrika. Kule upareni kuna milima ya kutoa kafara kafara ili uwe binadamu bora. Yet wapare ni shida tupu. Marafiki wa mashaka.

Are you also a participant of these awkward things?
 
Baba uko mguu kwa mguu na science hafifu za mwafrika. Kule upareni kuna milima ya kutoa kafara kafara ili uwe binadamu bora. Yet wapare ni shida tupu. Marafiki wa mashaka.

Are you also a participant of these awkward things?
You are disrespecting someone's culture for no proper reasons
 
Mkuu, Anikanjema, wewe hujasikia kitu kinachoitwa "LAVITATION"?? ,(sijui kiswahili chake). Kuna watu wanafanya hii "levitation " hadharani kulingana na nguvu zilizomo mwilini mwao, hii ni aina fulani ya "Hypnotism" ---- sasa kuruka angani au kuelea angani (lavitation) ni mojawapo ya nguvu ya "hypnotic".
wanaotumia Levitation wanasafir kwa nguvu zao hizo?
 
  • Thanks
Reactions: uth
Shida ni kwamba hii elimu haikuandikwa popote nao hawakupenda kushare na watu wengine, walipozeeka na kufa waliondoka na ujuzi wao
Kuna ndugu zetu walikuwa wanafua vyuma wanatengeneza majembe na fyekeo lakini kule walikokuwa wanatengenezea ilikuwa mwiko kwa mtu asiyehusika kwenda
 
Sijawahi kuamini hayo mambo ya wachawi kuruka na ungo na wala kuingia chumbani ihali umefunga milango na wala misukule hakuna ...Ni story tu za kutufnya sisi tuendelee kuwa wajinga tukiziacha hizi story Africa basi bara letu litaendelea sana tu..

Ila ukitaka kugombana na muafrica mwambie uchaw hakuna ...na ukimwambia nithibtshie anakuambia hayajakukuta ...Ni upumbavu mtupu Mara oih ulimwengu wa Roho ulimwengu wa Roho ukimwambia najuaje kama uchaw upo anakuambia huwez kuona huo Ni ulimwengu wa roho imekuwa kama kesi ya Kobe ukitaka kumshika kichwa anarudi kwenye gamba lake ndivyo walivyo watu hawa wa ulimwengu wa roho ......Mwanadam asili yake Ni mwanadam ameumbwa kwa udongo vitu anavyovifnya tunategemea tuvione kwa ulimwengu wa mwili yeye ameumbwa ivo ...ila malaika ndio ulimwengu wao Ni roho maana wao ndio wameumbwa ivo kwa mjibu wa maandko ...kikubwa zaidi ndugu yangu mshana uchawi wa aina hyo hakuna na hauwezi kuwepo.

Amina

Safiiii!!! Waafrika sie bana na Dark Skin, Dark Continent, Darkness in almost each and everything.
Waafrika tuna imani za enzi za Stone Ages huko, mwafrika hakawii kukuambia Spiderman yupo kweli na ni real.. Hahahah!
Mwafrika atakuambia Chuma-Ulete ipo kweli, ukmuambia kw nn sasa anahagaika kufanya kazi badala ya kutafuta "chuma ulete" hapo anabaki kimya tu na kukujibu vitu ambvyo havina sense...
(Frankly speaking, chuma ulete ingekuwa kweli basiiii maduka, na Mawakala wa Airtel Money, M-Pesa, tigopesa etc. wangeshafunga Uwakala wao siku nyingi...
Mwafrika hata akiumwa tu atakuambia karogwa, wakt anasahau mwili unaundwa kwa seli (,body cells) zaidi ya billions huko hivo ni lazma tu kuna siku utaumwa tu, kutokana na sabb ya mazingira (mionzi, wadudu, barid, joto etc), chakula, uzee (aging process) etc. na sabb zngne za kibaiolojia..
Mwafrika hakawii kukuambia eti kuna dawa ukimpa mkeo basi akichepuka unakuta yeye na mchepuko wamegandana (wamenatiana) [emoji23] Weka dawa sana na bado km mke ni wa kuchepuka atachepuka tu bila kunatana wala nn.
(Kuna watu walshawahi kutengeneza Hii picha, wakala pesa za watu... Wakajdai wamenatiana kumbe ni picha tu walilipanga ili watu wamtafute huyo mtu alyewapa hyo dawa.. Wajinga wakaliwa pesa zao kihivo maana walianza kumtafuta mganga alyetengeneza hyo dawa ili awatengenezee na wao pia.. Akili Kumkichwa!!! Watu wakaliwa pesa!!)
Mara miezi michache ilyopita kuna yule jamaa alyeng'ang'aniwa na kiroba(kigunia) cha wizi begani, kumbe nalo lile lilikuwa ni picha tu vile vile limesukwa na watu, ili wale pesa za wajinga wanaoamini ktk hayo mambo, maana wengi walitaka nao wawekewe hyo dawa ili wakute wezi waliowaibia wamenata palepale walipoiba.. [emoji23]
Pia kuna kamchezo siku hizi ka kuwavalisha Machizi wa mtaani (mental retarded person) nguo km mganga na kuwapa ungo, alafu mtu mmoja anaanza kusema huyo chizi ni mchawi alkuwa kapaa kwa ungo ili ametungiliwa na kadondokea hapo.. Then anasema dawa kapewa na mtu flani.. Kumbe ni picha tu nalo maana akili Kumkichwa, Na wanapenda sana tumia mental retarded people (machizi) sabb wao huwa akil haziko poa na atamuuliza vitu atakuwa anajibu ndio..
Kuna jamaa mmoja alwahi kukusanya watu Mitaa ya Kinondoni akjdai ni mtaalam wa kukamata wachawi, kamkamata chizi mmoja kampaka majivu na kamvisha visha mavazi ya kiasili na vishanga shanga, manyoya ya kuku etc. afu anamuulza maswali anajibu, baada ya cku kadhaa, ikaja kugundulika kumbe ni picha tu lile ili ale pesa za wajinga... Maana mtu alyemtumia eti ndo mchawi kumbe kiuhalisia alkuwa ni mgonjwa wa akili na anatafutwa na ndugu zake kwa muda tu kwani altoroka)
[emoji23]
Waafrika hata kwny soccer tu watu tumejaza hizi imani, daaah!!! Wakt soka ni Kipaji, Mazoezi, Pesa, Mipango Imara,
Uongozi thabiti wa chama cha soka....watu wanasafiri na waganga na bado wanafungwa tu kla leo.
Watu wanaamini hata kufaulu shule ni mpk uende kw mganga.
[emoji23][emoji23]
 

Safiiii!!! Waafrika sie bana na Dark Skin, Dark Continent, Darkness in almost each and everything.
Waafrika tuna imani za enzi za Stone Ages huko, mwafrika hakawii kukuambia Spiderman yupo kweli na ni real.. Hahahah!
Mwafrika atakuambia Chuma-Ulete ipo kweli, ukmuambia kw nn sasa anahagaika kufanya kazi badala ya kutafuta "chuma ulete" hapo anabaki kimya tu na kukujibu vitu ambvyo havina sense...
(Frankly speaking, chuma ulete ingekuwa kweli basiiii maduka, na Mawakala wa Airtel Money, M-Pesa, tigopesa etc. wangeshafunga Uwakala wao siku nyingi...
Mwafrika hata akiumwa tu atakuambia karogwa, wakt anasahau mwili unaundwa kwa seli (,body cells) zaidi ya billions huko hivo ni lazma tu kuna siku utaumwa tu, kutokana na sabb ya mazingira (mionzi, wadudu, barid, joto etc), chakula, uzee (aging process) etc. na sabb zngne za kibaiolojia..
Mwafrika hakawii kukuambia eti kuna dawa ukimpa mkeo basi akichepuka unakuta yeye na mchepuko wamegandana (wamenatiana) [emoji23] Weka dawa sana na bado km mke ni wa kuchepuka atachepuka tu bila kunatana wala nn.
(Kuna watu walshawahi kutengeneza Hii picha, wakala pesa za watu... Wakajdai wamenatiana kumbe ni picha tu walilipanga ili watu wamtafute huyo mtu alyewapa hyo dawa.. Wajinga wakaliwa pesa zao kihivo maana walianza kumtafuta mganga alyetengeneza hyo dawa ili awatengenezee na wao pia.. Akili Kumkichwa!!! Watu wakaliwa pesa!!)
Mara miezi michache ilyopita kuna yule jamaa alyeng'ang'aniwa na kiroba(kigunia) cha wizi begani, kumbe nalo lile lilikuwa ni picha tu vile vile limesukwa na watu, ili wale pesa za wajinga wanaoamini ktk hayo mambo, maana wengi walitaka nao wawekewe hyo dawa ili wakute wezi waliowaibia wamenata palepale walipoiba.. [emoji23]
Pia kuna kamchezo siku hizi ka kuwavalisha Machizi wa mtaani (mental retarded person) nguo km mganga na kuwapa ungo, alafu mtu mmoja anaanza kusema huyo chizi ni mchawi alkuwa kapaa kwa ungo ili ametungiliwa na kadondokea hapo.. Then anasema dawa kapewa na mtu flani.. Kumbe ni picha tu nalo maana akili Kumkichwa, Na wanapenda sana tumia mental retarded people (machizi) sabb wao huwa akil haziko poa na atamuuliza vitu atakuwa anajibu ndio..
Kuna jamaa mmoja alwahi kukusanya watu Mitaa ya Kinondoni akjdai ni mtaalam wa kukamata wachawi, kamkamata chizi mmoja kampaka majivu na kamvisha visha mavazi ya kiasili na vishanga shanga, manyoya ya kuku etc. afu anamuulza maswali anajibu, baada ya cku kadhaa, ikaja kugundulika kumbe ni picha tu lile ili ale pesa za wajinga... Maana mtu alyemtumia eti ndo mchawi kumbe kiuhalisia alkuwa ni mgonjwa wa akili na anatafutwa na ndugu zake kwa muda tu kwani altoroka)
[emoji23]
Waafrika hata kwny soccer tu watu tumejaza hizi imani, daaah!!! Wakt soka ni Kipaji, Mazoezi, Pesa, Mipango Imara,
Uongozi thabiti wa chama cha soka....watu wanasafiri na waganga na bado wanafungwa tu kla leo.
Watu wanaamini hata kufaulu shule ni mpk uende kw mganga.
[emoji23][emoji23]
Asante mkuu natamani Sana watu wawe na akili kama hizi ili tutoke kwenye wigi LA ujinga tulilovalishwa....huwa nachekaga sana nikisoma story za vita vya majimaji ili uone waafrica tunaamini vitu visivyodhaahir hao majamaa walidanganywa na mganga kuwa mkienda kupgana mkisema maji maji basi gobore inageuka kuwa maji mwishoe wakaenda kuchezea kichapo......uchawi hakuna nawashauri vijana wenzangu tutumie akili zetu katka kuleta maendeleo japo kdgo katka bara letu
..ndio maana suala LA frimason limemata sana Africa likihusisha nguvu za kichawi ifke mahali tujue standard ya mwanadamu alivyoumbwa ukomo wa kufnya japo nk:


Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
 
Sijawahi kuamini hayo mambo ya wachawi kuruka na ungo na wala kuingia chumbani ihali umefunga milango na wala misukule hakuna ...Ni story tu za kutufnya sisi tuendelee kuwa wajinga tukiziacha hizi story Africa basi bara letu litaendelea sana tu..

Ila ukitaka kugombana na muafrica mwambie uchaw hakuna ...na ukimwambia nithibtshie anakuambia hayajakukuta ...Ni upumbavu mtupu Mara oih ulimwengu wa Roho ulimwengu wa Roho ukimwambia najuaje kama uchaw upo anakuambia huwez kuona huo Ni ulimwengu wa roho imekuwa kama kesi ya Kobe ukitaka kumshika kichwa anarudi kwenye gamba lake ndivyo walivyo watu hawa wa ulimwengu wa roho ......Mwanadam asili yake Ni mwanadam ameumbwa kwa udongo vitu anavyovifnya tunategemea tuvione kwa ulimwengu wa mwili yeye ameumbwa ivo ...ila malaika ndio ulimwengu wao Ni roho maana wao ndio wameumbwa ivo kwa mjibu wa maandko ...kikubwa zaidi ndugu yangu mshana uchawi wa aina hyo hakuna na hauwezi kuwepo.

Amina
Mkuu wewe hao malaika ushawahi kuwaona?
 
Asante mkuu natamani Sana watu wawe na akili kama hizi ili tutoke kwenye wigi LA ujinga tulilovalishwa....huwa nachekaga sana nikisoma story za vita vya majimaji ili uone waafrica tunaamini vitu visivyodhaahir hao majamaa walidanganywa na mganga kuwa mkienda kupgana mkisema maji maji basi gobore inageuka kuwa maji mwishoe wakaenda kuchezea kichapo......uchawi hakuna nawashauri vijana wenzangu tutumie akili zetu katka kuleta maendeleo japo kdgo katka bara letu
..ndio maana suala LA frimason limemata sana Africa likihusisha nguvu za kichawi ifke mahali tujue standard ya mwanadamu alivyoumbwa ukomo wa kufnya japo nk:


Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
Mkuu story za freemason ziko huko kwa wazungu sie huku tunazisikia sikia tu.
 
Sijawahi kuamini hayo mambo ya wachawi kuruka na ungo na wala kuingia chumbani ihali umefunga milango na wala misukule hakuna ...Ni story tu za kutufnya sisi tuendelee kuwa wajinga tukiziacha hizi story Africa basi bara letu litaendelea sana tu..

Ila ukitaka kugombana na muafrica mwambie uchaw hakuna ...na ukimwambia nithibtshie anakuambia hayajakukuta ...Ni upumbavu mtupu Mara oih ulimwengu wa Roho ulimwengu wa Roho ukimwambia najuaje kama uchaw upo anakuambia huwez kuona huo Ni ulimwengu wa roho imekuwa kama kesi ya Kobe ukitaka kumshika kichwa anarudi kwenye gamba lake ndivyo walivyo watu hawa wa ulimwengu wa roho ......Mwanadam asili yake Ni mwanadam ameumbwa kwa udongo vitu anavyovifnya tunategemea tuvione kwa ulimwengu wa mwili yeye ameumbwa ivo ...ila malaika ndio ulimwengu wao Ni roho maana wao ndio wameumbwa ivo kwa mjibu wa maandko ...kikubwa zaidi ndugu yangu mshana uchawi wa aina hyo hakuna na hauwezi kuwepo.

Amina
Kwa uandishi huu ni rahisi sana kuweza kufahamu kiwango cha uelewa na elimu ya mwandishi pamoja na umri na ufahamu wake kwenye mambo mbalimbali... Ukisoma Plato 'The college' unaweza kupata mwanga wa kile ninachomaanisha... Ila ukishupaza shingo na kujifanya mjuaji utazidi kujifunua ulivyo

Jr[emoji769]
 
Hakuna cha kwanza kuumbwa vyote vipo sawia nyuma ya pazia ni usingizini wengi mnaita (kiroho) ni anonymous mind.
 
Back
Top Bottom