Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

We
things work in oposite the way unavyojua wewe...unachotegemea kiwe ndo mana hakitokei kwa sababu unachotegemea kitokee ni illusion na kwa sababu unakuwa umeshakalili iwe hivyo but reality haiko hivo...the way how reality works is quite different from what you expect.....

Mtu kujua how to use laws zinazogovern life haimanishi aanze kuzitumia bila specific purpose....every knowledge is used to serve a specific purpose ....kuna baadhi ya juzi zinakulimit sehemu flani...sio kila kitu utakuwa unakifanya ..tena ukizidi kipimo ulimwengu uliokuruhusu unakupoteza katika dimension nyingine kabsaaa...lazima ufahamu kuwa there are so many dimensions ambazo zinashikilia uhai wa viumbe wote ulimwenguni..

Ulimwengu unaoonekana upo level flani ya dimension reality...sisi tunaonana kwa sababu tunaoccupy the same dimension ..occular alteration ipo katika dimension ...

Ukiwa mchawi manake umejua ujuzi wa kuingia katika dimension mbili au tatu tofauti depending na level ya uchawi ulionao..kwa hiyo the more unavyojua how to cross the boundaries katika reality ndivyo unakuwa na uwezo wa kusynchronize with the other world pia...kuna world nyingi ndani ya universe moja but with different level of dimensions...

The forces that open up the gate way ya kuingia other world ina mipaka yake make ukikosea tu mashariti ya kutumia nguvu hizo basi inakupeleka into other dimensions of other form of reality mpaka pale watakapokurudisha wajuzi wa mambo...

.Kuna mzee mmoja alikuwa mchawi sana kijijini kwetu ila aliwahi kupotea mazingira ya kutatanisha yani alikuja kuonekana badae sana ..

The more unavyozid kuasend into powers ndivyo unavopaswa kujua limitations za power hizo ila wapo watu waliofanikiwa kujua limitations na misingi ya kucontrol ujuzi huo na most of white people know much how to use the unseen forces lakini wanatublackmind sisi waafrica tuache hiyo mambo but they are the ones who know more how to play with entangled issues za kila nguvu na hao ndo wenye dunia hii,sisi wengine tupo tu kusubiri jua litachomoza asubuh na kuzama jion ila wapo wanaojua namna mambo yote yanavyotekea before,after and within the midst of the action ya kila kitu....

Ifahamike kwamba kujua uchawi sio dhambi ila ni kujua namna ya kuutumia,we avoid to know that thing kwa sababu hatuna hekima ya kujua faida yake...laiti tungelitambua how important it is ,we couldnt be proclaiming to God kwamba atusaidie ,everything is clear in this universe,science and technology are ones of the manipulation of unseen forces that work in the hidden form but now are put into physical reality but also in the hidden world things work under supersonic speed with maximum efficiency than in scientific way....

Hata quantum technology inalitambua hilo...kuna watu wanarisk maisha kugeuza hidden forces kuoperate in physical reality..every inversion ya technology unayoishuhudia nyuma yake kuna watu wamerisk maisha kuchange mode ya operation.....

Sometimes the truth of realitt is synchronized with the risk,so nothing is simple as you think....
We sio mtu ww
 
Umeongea kitu kikubwa sana.
Ni kweli unapoanzia uchawi ndipo sayansi ilipoishia.

Uchawi ni kiwango juu ya sayansi.
Ndio maana sayansi haiwezi kuthibitisha uchawi
 
Umeongea kitu kikubwa sana.
Ni kweli unapoanzia uchawi ndipo sayansi ilipoishia.

Uchawi ni kiwango juu ya sayansi.
Ndio maana sayansi haiwezi kuthibitisha uchawi
Uchawi ni kiwango juu ya sayansi.
Ndio maana sayansi haiwezi kuthibitisha uchawi
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji109][emoji109][emoji109]
 
.
witch-craft.jpeg
jinn.jpeg
 
[emoji12][emoji12][emoji14][emoji14][emoji14][emoji116][emoji116][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia vidole vilivyochoka!! Watu wa aina hii wakiwa wengi, hatutaweza kuufikia uchumi wa kati. Ni ma agent wa wivu, na kila aina ya maovu kwa wanaoonekana kuhangaisha akili zao kujikomboa
 
Kuna mzee kijijini kwetu nilisimuliwa tu kwamba alikua akifika kilabuni(kwenye pombe za kienyeji aka baa za zamani) koti lake anarusha tu juu linaning'inia bila msumari anaendelea kunywa pombe swafi mda wakurudi ye hajali sababu ukiongozana nae anakwambia tu kachoka kutembea fumba macho ukifumba na kufumbua tu kila mtu anajikuta kwao salama salimini.
 
Kuna mzee kijijini kwetu nilisimuliwa tu kwamba alikua akifika kilabuni(kwenye pombe za kienyeji aka baa za zamani) koti lake anarusha tu juu linaning'inia bila msumari anaendelea kunywa pombe swafi mda wakurudi ye hajali sababu ukiongozana nae anakwambia tu kachoka kutembea fumba macho ukifumba na kufumbua tu kila mtu anajikuta kwao salama salimini.
Sayansi asilia..mzungu kashindwa kuiga hapa
 
Tuanzie na zongo kule Tanga, hii ni aina ya uchawi unaokaa kwenye macho..... Mwenye hili fataki la zongo akikuangalia tu tayari transmission inakuwa imefanyika... Ni mfumo fulani wa wireless communications... Nusu saa kubwa utaanza kuumwa tumbo na kuharisha sana! Tiba yake ni nini? Unga fulani imekaa kama magadi unaitwa MAKATA... ukishakunywa hiyo dakika kumi nyingi umeshapona! SAYANSI hapa ingefanya nini? Ingetumia mlolongo mrefu wa kutengeneza bacteria wenye virus wa ugonjwa wa kuhara... Ingetafutwa njia na kumwambukiza mtu hao virus kisha aanze kuumwa... N baada ya hapo ungeanza mchakato wa matibabu.... Uchawi hauna longolongo zote hizo ni hit n run... Finish.... Na infant wireless transmission theory ni copy n paste toka kwenye uchawi

Mfano wa pili kupaa angani ama kusafiri..
Mchawi ana njia tatu rahisi sana
1.kwa kutumia kifaa kama ungo, fimbo ama ungo. Usafiri wa angani
2. Kutumia mnyama kama fisi nk.. Usafiri wa nchi kavu.
3. Kutumia wireless transmission.. Unajiandaa kisha unafumba macho... Sekunde kadhaa ukifungua umeshafika.. Hii inaitwa serve all purpose.. Mwendokasi wake ni zaidi ya supersonic speed... Kwa usafiri huo kama ni sayansi ingetumia mlolongo mrefu wa kutengeneza ndege magari na vyombo vya majini.. Na ingechukua muda na taratibu nyingi...

Mfano wa tatu.... Kuingia ndani kwa mtu... Kupitia pembe ya nyumba ama chumba chako... Mchawi ana uwezo wa kuingia na kukufanya chochote atakacho na akaondoka salama ukiwa wala hujui ulichifanyiwa.. Utastuka akishaondoka... (Usiwaze popobawa) sayansi haina uwezo huo... Wamejaribu wameshindwa..

Mfano wa NNE fumanizi la kunasiana... Ama kunasishwa mziho au kitu ulichoiba... Hii magnetism theory bado sana sayansi kufika huku....
Sayansi ina limitations nyingi kuliko uchawi.. Sayansi ni ubunifu wa kibinadamu kukopi nguvu asili zisizoonekana lakini zinafanya kazi na matokeo yanaonekana... Inapoishia sayansi ndipo uchawi unapoanzia.. Na kwakuwa sayansi ndio inaiga na kuhawilisha hivyo kamwe haiwezi kutenda kama halisi.....

Tofauti kubwa iliyopo kati ya SAYANSI na UCHAWI ni ITHIBATI... sayansi ina ithibati japo si kwa aslimia miamoja... Uchawi hauna ITHIBATI lakini matokeo yake ni asilimia mia moja.... Sababu ni moja tu... Uchawi una asili ya ulimwengu wa roho... Na ulimwengu wa roho ndio ulianza kabla ya ulimwengu wa macho ulimwengu wa sayansi....
Kiumbaji binadamu ndio kiumbe wa mwisho kuumbwa hivyo hata awe mjuzi na mbunifu Kiasi gani hataweza kufanya kitu kwa mafanikio ya asilimia mia moja bila kugusa ulimwengu wa roho... Ukisoma The mason doctrine utanielewa vema....

Asubuhi njema!
Maelezo mafupi
 
Mmh...hapa ni mada sio kitabu ujue
uchawi sio kwamba unafwata ikitoka sayansi ila sanyansi ni nyenzo aliopewa mwanadamu na mungu iliikuyaamudu mazingiraa yake
na kujiumbia vitu vyake maana biblia inatutambua kuwa sisi ni miungu. Na uchawi ni nguvu inayo taka kupingana na mungu ambae ni muweza wa yote. Labda ungesema miujiza inafwata baada ya sayansi. Ila uchawi ni muijiza fake kutoka kwa shetani ambayo inawafanya watu wajihisi ni miungu watu kumbe ni wapambavu tu hakuna wanachokijua zaidi ya kutoa kafara za maana hamna uchawi bila kafara. Hata hivyo tumeona uchawi umepingwa Sana na biblia.
 
Yesu kutembea juu ya maji ile ni miujiza Sasa ile ndo ulinganisha na sanyansi. Lakini sio kulinganisha na Mambo ya kipumbavu ambayo hayana maana kweli ila ni kutesana tu na kutokuwa na maendeleo.
 
Kuna mzee kijijini kwetu nilisimuliwa tu kwamba alikua akifika kilabuni(kwenye pombe za kienyeji aka baa za zamani) koti lake anarusha tu juu linaning'inia bila msumari anaendelea kunywa pombe swafi mda wakurudi ye hajali sababu ukiongozana nae anakwambia tu kachoka kutembea fumba macho ukifumba na kufumbua tu kila mtu anajikuta kwao salama salimini.
Moja kati ya vitu vinavyoathiri fasihi ni "uongezaji wa chumvi" (exaggeration).
Stori (fairytale) yako kifasihi ni nzuri sana. ila inapendeza zaidi kwa watoto wa chekechea!!
Au kama hiyo stori itatumika kwa "Adults" basi inafaa kwa Comedy au Kiburudani zaidi (for entertainment purpose only)..
Ulichokisimulia hapo hakina tofauti sana na FABLES na FAIRYTALES za Sijui Kobe akasema kuwa Jongoo na Nyoka walibadilishana miguu na macho..
Mara Ohhh! ukivaa Nguo Nyekundu utapigwa na RADI., Mara Ooh! kuna CHUMA ULETE, sijui nini... etc.
Huwa ni Stori flani Za Kufikirika (Fiction & Fantasy) ambazo nchi zilizoendelea zimebaki kuzitumia kwenye Movies tu za kufikirika. Kwenye Fikra mtu anaweza chochote kile, ila Uhalisia ni tofauti.
Akili ya mwanadamu inapenda vitu "concrete" na sio "abstract".
That's why Science rocks, sababu unakula vitu "concrete".
Ndo maana pia hatupeleki watoto wetu wa shule kwa Makarumanzila (waganga ramli) au kwa the so called Uchawini (imani potofu). Badala yake tunawapeleka Shule Bora na Kuwatafutia Walimu Bora na kuwahimiza Kusoma.
Kama unaamini na kuogopa imani potofu basi huna haja ya kupeleka Ndugu zako au Wanao Shule wewe acha wakae nyumbani, afu Fanya mishe zako za Kichawi ili wafaulu School Exams...
Uzuri wa Sayansi, uwe unaamini au huiamini yenyewe inafanya Kazi tu.. Kwa mfano; gesi ya " Hydrogen cyanide" ni sumu, uwe unaiamini au huiamini ukiivuta (inhale) basi asilimia kubwa itakudhuru tu... You know why!? Kwa sababu Sayansi ni "systematic study of nature" yenyewe inachunguza yaliyomo asilia (nature) kwa umakini na kuja na misingi "concrete".
Nikionaga mtu ana miaka (umri) wa 23+ afu bado anatishwa au kuogopa imani potofu huwa natamani hata nimzabe vibao vya uso huyo mtu!!

kwa binadamu kuna wakati mambo yanaenda, kuna wakati hayaendi. That's Nature!. Na sio kila " target " utaifikia katika kila ukifanyacho maishani iwe ni Kazini, Michezoni etc.. You will hit some targets, and also you will miss some targets (malengo).
 
Hakuna uchawi.
😀😀😀 huwezi amuni bado kuna watu wanaamini katika kupaa kwa kutumia ungo.
Afu ajabu mtu mwenye mawazo hayo bado anapiga hesabu za kununua gari au ndege.. 😀😀😀 Ukimuuliza kwa nini anapoteza muda kununua gari badala ya kununua ungo apae zake juu, hapo atakupa stori za uongoooooo mpaka atakosa cha kujitetea.
 
Back
Top Bottom