Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Kila kitu kina kikomo chake cha uwezo wa kufanya kazi ...gari ya mwendokasi 180 huwezi kuilazimisha iende 280

Sent using theJamii Forums mobile app
mkuu uchawi hutaweza kuishinda sayansi. Mambo ya giza hayawezi kuushinda uumbaji. Na uchawi hua unaharibu roho ya mtu kwa kiini macho Kuna watu wanasema sijui gari limelogwa haliwezi kuondoka sijui limedondoka hakuna kitu Kama hicho ni dereva ndio anachezewa. Na mtu anayechezewa na uchawi kwa kiini macho ni mtu mwenye Iman haba.
 
mkuu uchawi hutaweza kuishinda sayansi. Mambo ya giza hayawezi kuushinda uumbaji. Na uchawi hua unaharibu roho ya mtu kwa kiini macho Kuna watu wanasema sijui gari limelogwa haliwezi kuondoka sijui limedondoka hakuna kitu Kama hicho ni dereva ndio anachezewa. Na mtu anayechezewa na uchawi kwa kiini macho ni mtu mwenye Iman haba.
Unaujadili uchawi kwa vitu rahisi na kwa level ya chini mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stori yako ni nzuri sana, lakini ni "Chai" fulani hivi.
Stori yako inafaa kwenye movies tu na vitabu vya kusadikika.
Kwa kifupi ni nzuri kwa burudani tu (entertainment).
Ki-fikra unapoelekea sasa, Mwisho wa siku utakuja kusema hata Spiderman yupo na ni ukweli kabisa.
Tunakufa kwa kukosa maarifa! Baki na ujinga wako Dunia ni kubwa
 
Tunakufa kwa kukosa maarifa! Baki na ujinga wako Dunia ni kubwa
Ujinga ni kupigiwa stories za hivyo na kuzikubali ..😂
Zile stories za Ukivaa nguo Nyekundu utapigwa Radi... Ukijing'ata basi kuna mtu anakusema..
Stori zako kama za Sungura na Fisi vile basi wewe umekua na unaziamini 😂 Stori kama yako uliyoitoa hapo inafaa sana kwa watoto maana wao wataikubali na kuipokea kama kweli.
Pia inafaa sana kwenye Movies ili kuburudisha.
 
usiifananishe sayansi na vitu vyakijingakijinga.. huo uchawi utaishia hukohuko kwa wachawi hasa hii afrika yetu huo uchawi haujasaidia chochote zaidi ya kuimarisha umaskini,ndo yaleyale ya vita vya majimaji mababu zetu walikufa kama samaki nyavuni mbele ya chuma cha mzungu!.. madini kuchimba mpk mitambo ya mzungu ingieni huko chini mlete dhahabu walau mtajirike kazi kuroga nitakuwa sijakosea kusema uchawi ni UJINGA maana kama unauwa albino ili upate mali kwanini usitumie uchawi huo kwenda kuiba hela benki ukatajirika kuliko kutoa uhai wa mwenzio!.
 
Kila kitu kina kikomo chake cha uwezo wa kufanya kazi ...gari ya mwendokasi 180 huwezi kuilazimisha iende 280

Sent using Jamii Forums mobile app
Science rocks!! 💪🏾🙌🏾 Software, Networking, Neurosurgery, Microbiology, Physiology, Anatomy, Genetics, Pharmacology, Mechanics, Energy (power/electricity), Aviation Technology, Nuclear Physics etc..
Halafu guess whaaat!!.., Science is not yet done, kwa sababu ni wazi bado haijafikia efficiency (ufanisi) ya hata 60% ya kile ambacho inaweza.
Na science sio kitu kipya, ni systematic study of nature... Watu waisoma na kuichunguza asili ya vitu, na kujiuliza kwa majaribio ya kitaalamu kwa nini hiki kipo hivi na sio vile, Je nikiweka hivi kitakuwaje?
Hata humu JF humu tunajidai sababu ya Science (Semiconductors, Transistors, Electricity, Software na Computer Networking) ndiyo inafanya INTERNET iwepo kwa kushirikiana na IONOSPHERE.. na hii INTERNET inatuwezesha sisi hapa JF kuwasiliana.
ila UCHAWI NI UJINGA na IMANI POTOFU.. Hususani Ujinga wa RAIA sie katika nchi masikini wa kushindwa kujiuliza na kujipambanua vizuri hivyo tunajikuta tunaamini Vitu flani ambavyo VIMEPOTOKA (vya uongo vilivyo kinyume na ukweli, Uzuzu).
No wander Europeans walitutawala kirahisiii, sababu wengi tulikuwa Mazuzu tukiamini katika Kuroga na imani za Kijinga za uongo.
That's why Battles nyingi Europeans walishinda, Na Battles walizoshindwa ni zile ambazo walikuwa Outnumbered au kuwa Ambushed!
Lazma washinde nyingi maana wanakutana na Zuzu anayewekeza katika kuamini Atapaa kwa Ungo na Atabadili Risasi kuwa Maji.. THIS IS RIDICULOUS!! Poor belief!!
Ajabu zaidi watu wapo wanaamini hizo misleading belief (imani potofu) mpaka leo yaani hata kwenye Sports. Badala ya kuwekeza katika Vipaji na Miundombinu (viwanja etc.).. Mtu anashindwa kujiongeza kuwa katika michezo unahitaji Umoja na Utimamu wa Mwili (fitness) ni suala la kutumia Makosa ya mpinzani wako kimichezo, na Pia ni ushindani hivyo mshindi ni mmoja. Ukikosa leo jipange kesho!
Daah! Watu weusi sie. it is what it is!!
itachukua muda kupunguza hizi imani miongini mwa watu weusi wa Africa, probably Miaka 70 kuanzia sasa..
Maana hata Europe huko zamani in the ancient times people used to believe katika imani potofu na kadri muda ulivyozidi kaenda wengi wao wakaona hizo imani ni Uzuzu tu hazina kitu zaidi ya Kudumaza Akili.
Imagine mtu anaua Albino kwa kumkata Panga eti kisa tu kadanganywa atakuwz tajiri, Damn it! Ualibino ungekuwa Utajiri, basi the richest people wangekuwa ni Albino wao wenyewe..
Na kuna mtu anaamini akivaa the so called "hirizi" basi Risasi ikimlenga haipenyi mwilini, RIDICULOUS!!
Labda mlengaji akukose tu, na Of course kukosa ni kawaida, mwanadamu hajakamilika na mwanadamu hawezi kulenga kila "Target" yake...
, ila ikikulenga kwenye ngozi inapenya vizuri tu.
Kwa sisi Africans cha MUHIMU labda tukomalie Tiba Asilia (HERBALISM) kwa kutumia Mimea (Majani, MagomeMiti na Mizizi) kwa kutibu Magonjwa.
There is a difference between Herbalism and the so called Uchawi/Witchcraft.
Witchcraft kwa wenzetu wa Ughaibuni wao wamebaki kutumia kama mawazo (ideas) ya Kufikirika tu kwenye TV-Series na Movies zao Kiburudani zaidi....
Africa pagumu sana, unakatiza kitaa unakutana na Bango la Mganga Ramli anasema atakusaidia Ufaulu shuleni... Hahahah!! Pure Mathematics na Advanced Physics unataka uzifaulu kwa Karumanzila (ramli na mizizi) kweli.. KICHEKESHO!!
 
Science rocks!! [emoji1491][emoji1487] Software, Networking, Neurosurgery, Microbiology, Physiology, Anatomy, Genetics, Pharmacology, Mechanics, Energy (power/electricity), Aviation Technology, Nuclear Physics etc..
Halafu guess whaaat!!.., Science is not yet done, kwa sababu ni wazi bado haijafikia efficiency (ufanisi) ya hata 60% ya kile ambacho inaweza.
Na science sio kitu kipya, ni systematic study of nature... Watu waisoma na kuichunguza asili ya vitu, na kujiuliza kwa majaribio ya kitaalamu kwa nini hiki kipo hivi na sio vile, Je nikiweka hivi kitakuwaje?
Humu kwenyewe JF hapa tunajidai sababu ya Science (Semiconductors [silicon], Transistors, Electricity, Software na Computer Networking) ndo inafanya INTERNET iwepo kwa kushirikiana na IONOSPHERE.
ila UCHAWI NI UJINGA na IMANI POTOFU.. hasa hasa Ujinga wa RAIA sie katika nchi masikini wa kushindwa kujiuliza na kujipambanua vizuri hivyo tunajikuta tunaamini Vitu flani ambavyo VIMEPOTOKA (vya uongo vilivyo kinyume na ukweli, Mazuzu).
No wander Europeans walitutawala kirahisiii, sababu wengi tulikuwa Mazuzu tukiamini katika Kuroga.
That's why Battles nyingi Europeans walishinda, Na Battles walizoshindwa ni zile ambazo walikuwa Outnumbered au kuwa Ambushed!
Lazma washinde nyingi maana wanakutana na Zuzu anayewekeza katika kuamini Atapaa kwa Ungo na Atabadili Risasi kuwa Maji.. THIS IS RIDICULOUS!! Poor belief!!
Ajabu zaidi watu mazuzu hapo yanaamini hizo misleading belief mpaka kwenye Sports. Badala ya kuwekeza katika Vipaji na Miundombinu (viwanja etc.).. Na pia kuamini kuwa Sports michezo ya kutumia Makosa ya mpinzani wako kimichezo, ni ushindani ni mshindi ni mmoja.
Daah! Watu weusi sie. it is what it is!!
itachukua muda kupunguza hizi imani miongini mwa watu weusi wa Africa, probably karne Moja kuanzia sasa..
Maana hata Europe in the ancient times people used to believe in imani potofu na kadri muda ulivyozidi kaenda wengi wao wakaona hizo imani ni Uzuzu tu hazina kitu zaidi ya Kudumaza Akili.
Imagine mtu anaua Albino eti kisa tu kadanganywa atatajirika, Damn it! Ualibino ungekuwa Utajiri, basi the richest people wangekuwa ni Albino wao wenyewe..
Na kuna mtu anaamini akivaa the so called "hirizi" basi Risasi ikimlenga haipenyi mwilini, RIDICULOUS!! Mtu anashindwa kujiongeza tu kuwa Labda RISASI ikukose tu, ila kama Risasi itakulenga na ikutane na ngozi yako inapenya vizuri tu Hata uwe ni "Hirizi" tisa.... Labda mlengaji akukose tu, na Of course kukosa ni kawaida, mwanadamu hajakamilika na hawezi kulenga kila "Target" yake...

Sie Africans labda tukomalie Tiba Asilia (HERBALISM) kwa kutumia Mimea (Majani, MagomeMiti na Mizizi) kwa kutibu Magonjwa.
There is difference between Herbalism and the so called Uchawi/Witchcraft.
Witchcraft kwa wenzetu wa Ughaibuni wao wamebaki kutumia kama mawazo (ideas) ya Kufikirika na Kusadikika tu kwenye TV-Series na Movies zao Kiburudani Zaidi.... Hasa baada ya wao huko Ughaibuni kupata civilization na kuona uchawi ni Uzuzu flani uliopotoka (misleading beliefs).
Africa pagumu sana, unakatiza kitaa unakutana na Bango la Mganga Ramli anasema atakusaidia Ufaulu shuleni... Hahahah!! Pure Mathematics na Advanced Physics unataka uzifaulu kwa Karumanzila (ramli na mizizi) kweli.. KICHEKESHO!!
Science rocks!! [emoji1491][emoji1487] Software, Networking, Neurosurgery, Microbiology, Physiology, Anatomy, Genetics, Pharmacology, Mechanics, Energy (power/electricity), Aviation Technology, Nuclear Physics etc..
Halafu guess whaaat!!.., Science is not yet done, kwa sababu ni wazi bado haijafikia efficiency (ufanisi) ya hata 60% ya kile ambacho inaweza.
Na science sio kitu kipya, ni systematic study of nature...
UMEANDIKA MAMBO YA KUKARIRI NA KUKARIRISHWA ...UKIAMBIWA TAFSIRI NINA HAKIKA ASILIMIA HUTOWEZA
Kwa mfano nikikuuliza SOFTWARE ninini utaishia blah blah tu
 
Science rocks!! [emoji1491][emoji1487] Software, Networking, Neurosurgery, Microbiology, Physiology, Anatomy, Genetics, Pharmacology, Mechanics, Energy (power/electricity), Aviation Technology, Nuclear Physics etc..
Halafu guess whaaat!!.., Science is not yet done, kwa sababu ni wazi bado haijafikia efficiency (ufanisi) ya hata 60% ya kile ambacho inaweza.
Na science sio kitu kipya, ni systematic study of nature...
UMEANDIKA MAMBO YA KUKARIRI NA KUKARIRISHWA ...UKIAMBIWA TAFSIRI NINA HAKIKA ASILIMIA HUTOWEZA
Kwa mfano nikikuuliza SOFTWARE ninini utaishia blah blah tu
SOFTWARE - ni maelekezo "maalumu ya lugha" ambayo huandikwa na kuwekwa kwenye computer (Kinakilishi) ili kuiwezesha computer iweze kufanya kazi fulani.
Zipo Software zinazofuata Maelekezo na Mtiririko kwa kufanya tu kile (kazi) ambacho zilichoandikiwa zifanye.
Na pia zipo Software nyingine ni Machine Learning & Artificial Intelligence (AI). Ambazo hizi huwa zinajifunza na Kujipa Maarifa na Ufahamu mpya zenyewe na kufanya kazi kwa kujiongezea akili zenyewe, hizi Artificial Intelligence (AI) Kiswahili chake kisicho rasmi wadau huziita Software za Akili Bandia. Kwa sababu zenyewe hujifunza zenyewe na kufanya maamuzi yake zenyewe bila kufuata Maelekezo na Mtiririko wa kile ambacho ziliandikiwa kufuata.
 
SOFTWARE - ni maelekezo "maalumu ya lugha" ambayo huandikwa na kuwekwa kwenye computer (Kinakikishi) ili kuiwezesha computer iweze kufanya kazi fulani.
Je software ni substance? Ni maelekezo gani hayo maalum? Je ni lazina software iwe kwenye mfumo wa maandiko? Je nje ya computer hakuna kitu kingine chochote kinachotumia software?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je software ni substance? Ni maelekezo gani hayo maalum? Je ni lazina software iwe kwenye mfumo wa maandiko? Je nje ya computer hakuna kitu kingine chochote kinachotumia software?

Sent using Jamii Forums mobile app
Computer ni Kifaa Chochote cha Kielektroniki ambacho KINAPOKEA taarifa (input), KUTUNZA (storage) , KUCHAKATA (processing) na KUTOA MAJIBU (output)...
Calculator pia Kompyuta... Mobile Phones nazo Computer... Robots pia wanazo computer ndani yao ambazo ndo huzipa maekekezo zile Robots..
Siku hizi hata Magari ya Kisasa ambayo yanakuja yakijumuisha computer ndani (Onboard-Computer Systems) zenye Machine Learning na Artificial Intelligence (AI)...
Hizi onboard computers na AI Systems za gari husaidia gari iweze kwa mfano ku-monitor na ku-process taarifa za gari kwenye Suspension System, Fuel and Power, Traction Control, Differential (Diff) ya Gari ina-behave vipi kwenye barabara inayoteleza (slippery road), kwenye kona (corner entry, corner exit) etc..
ACTIVE SUSPENSION SYSTEM katika baadhi ya gari huunganishwa na onboard-computer iliyomo ndani ya gari ili kuisaidia gari iweze kuji-adjust yenyewe Mfumo wa Mneso (springi) ili kuhakikisha maximum possible comfort kwa abiria ndani...
TRACTION CONTROL SYSTEM kwenye baadhi ya magari nayo huungwa na onboard-computer ambayo husaidia gari iweze kuji-adjust yenyewe wakati gari ikiendeshwa kwenye barabara ya Utelezi etc..
AUTOPILOT SYSTEM ya ndege pia ni computer ile.
The thing is, wengi wetu pale tunavyosikia neno "computer" huwa Akili yetu inatuambia ni LAPTOP na DESKTOP.
Calculator, Gaming Console (Nintendo, PlayStation, XBOX etc.) zote nazo hizo pia ni Computer.

Nikijibu kuhusu "Software Kuandikwa"... Ndiyo kwa Teknolojia mpaka sasa ilipo Software lazma iandikwe na Kuwekwa maelekezo.
Kukujibu Kuhusu "Je vitu gani vingine vinatumia Software?".. Computer is more than just Laptops and Desktop. Sababu SMART-TV, MOBILE PHONES, DIGITAL CALCULATOR, GAMING CONSOLE (PlayStation, Nintendo, Xbox etc) zote nazo ni computer pia..
Therefore, its OK to say that Computer pekee ndo hutumia Software/Apps... Ndiyo APPs za SMARTPHONES nazo ni SOFTWARE pia vile vile..
Na sio kila Computer lazma iwe na Screen for Displaying Output... Computer zingine hazina screen ila zinatoa Output kwa mtindo mwingine... So i Like I said before, Computer sio Laptops au Desktops pekee.
Kwa sasa ili kitu kiitwe ni computer, kwanza kiwe ni KIFAA CHA KIELEKTRONIKI, halafu kifanye kazi KUU NNE (4) ... Ambazo ni INPUT (kipokee data au info), STORAGE (kitunze data au info), PROCESSING (kichakate data/info) na OUTPUT (kitoe majibu).
 
Computer ni Kifaa Chochote cha Kielektroniki ambacho KINAPOKEA (input) taarifa (data), KUTUNZA (storage) , KUCHAKATA (processing) na Kutoa majibu (output).

Calculator pia Kompyuta... Mobile Phones nazo Computer... Robots pia wanazo computer ndani yao ambazo ndo huzipa maekekezo zile Robots..
Siku hizi hata Magari ya Kisasa ambayo yanakuja yakijumuisha computer ndani (Onboard-Computer Systems zenye Machine Learning na Artificial Intelligence (AI)... Zinazosaidia kazi mbali mbali katika gari mfano kuprocess taarifa jinsi Differential (Diff) ya Gari ina-behave vipi na vipi kwenye barabara inayoteleza (slippery road), kwenye kona (corner entry, corner exit) etc..
Pia ACTIVE SUSPENSION SYSTEM za baadhi ya Gari za Kisasa pia huunganishwa na onboard-computer iliyopo ndani ya gari ili kuisaidia gari iweze ku-adjust yenyewe Mfumo wa Mneso (springi) katika mazingira tofauti tofauti na kuhakikusha maximum possible comfort kwa abiria ndani...
Pia TRACTION CONTROL SYSTEM kwenye baadhi ya magari ile no computer pia, ambayo husaidia gari iweze kuji-adjust yenyewe wakati ikiendeshwa kwenye mazingira ambayo inashindwa kuyamudu vizuri kama Utelezi..
Gaming Console kama vile Nintendo, PlayStation, XBOX etc.. zote nazo pia ni Computer zile.
The thing is, Wengi wetu tunavyosikia neno "computer" huwa Akili yetu inaenda moja kwa moja kwenye LAPTOP na DESKTOP.
AUTOPILOT SYSTEM ya ndege pia ni computer ile.

Nikijibu kuhusu "Software Kuandikwa"... Ndiyo kwa Teknolojia mpaka sasa ilipo Software lazma iandikwe na Kuwekwa maelekezo. Hivyo lazma iandikwe!
Kuhusu "Je vitu gani vingine vinatumia Software?".. Nimekujibu hapo juu, kuwa computer huwa haimaanishi ni Desktop na Laptop pekee tu... MOBILE PHONE, GAMING CONSOLES (Xbox, PlayStation, Nintendo etc.) zooote hizo ni Computer pia. Computer is more than just Laptops and Desktop. DIGITAL CALCULATOR ni computer pia..
Therefore, its OK to say that computer pekee ndo hutumia software... APPs ZA SMARTPHONES NAZO NI SOFTWARE pia vile vile.. SmartTV nazo ni computer pia..
Na sio kila computer lazma iwe ni Screen for Displaying Output... Computer zingine hazina screen ila zinatoa Output kwa mtindo mwingine.. Mfano onboard icon outer za Robots zenyewe zinatia OUTPUT kivingine na matokeo ni kuliambia Robot lifanye kazi Fulani... So i Like I said Computer sio Laptops au Desktops.
Kwa sasa ili kitu kiitwe ni computer kwanza kiwe ni Cha KIFAA CHA KIELEKTRONIKI, halafu kifanye kazi KUU NNE (4) ... Ambazo ni INPUT (kipokee data au info), STORAGE (kitunze data au info), PROCESSING (kichakate data/info) na OUTPUT (kitoe majibu).
Kwa sasa ili kitu kiitwe ni computer kwanza kiwe ni Cha KIFAA CHA KIELEKTRONIKI, halafu kifanye kazi KUU NNE (4) ... Ambazo ni INPUT (kipokee data au info), STORAGE (kitunze data au info), PROCESSING (kichakate data/info) na OUTPUT (kitoe majibu[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Je ninini kinafanya kifaa kiitwacho computer kifanye kazi?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sasa ili kitu kiitwe ni computer kwanza kiwe ni Cha KIFAA CHA KIELEKTRONIKI, halafu kifanye kazi KUU NNE (4) ... Ambazo ni INPUT (kipokee data au info), STORAGE (kitunze data au info), PROCESSING (kichakate data/info) na OUTPUT (kitoe majibu[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Je ninini kinafanya kifaa kiitwacho computer kifanye kazi?


Sent using Jamii Forums mobile app
Ushirikiano wa Hardware (ambayo huundwa kielektroniki na materials zingine zinazoshikika) na Software kwa pamoja ndiyo hufanya computer ifanye kazi.
Na ofcourse pia umeme/betri (power) muhimu kwa ajili ya kuipa power hiyo computer ili ifanye kazi yake.
 
Ushirikiano wa Hardware (ambayo huundwa kielektroniki na materials zingine zinazoshikika) na Software kwa pamoja ndiyo hufanya computer ifanye kazi.
Na ofcourse pia umeme/betri (power) muhimu kwa ajili ya kuipa power hiyo computer ili ifanye kazi yake.
Naona hujanielewa vema ngoja nikuulize hivi
Je ninini kinafanya mimi na wewe tunawasiliana hapa
Je ni simu
Je ni network
Je ni charge
Je ni bundle
Je ni storage
Je ni vidole
Je ni akili? Nknk?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom