Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Tatizo hiyo sayansi ya rohoni ina mahusiano ya moja kwa moja na majini ambayo ni roho pia sasa ni bora tukomae na sayansi yetu hii ya mwilini ambayo ni proved na kila mtu anaweza kuona
Ukinijibu hili utakuwa umefaulu kwenye nadharia yako ya SAYANSI
Ninini kinasababisha mawasiliano yetu hapa jukwaani?
Je ni simujanja?
Je ni mtandao wa simu?
Je ni app ya JF ama browser?
Je ni bundle?
Je ni software? (Uchawi)
Je ni ID yako?
 
Uchawi unaweza kuitafsiri sayansi na kuleta matokeo tarajiwa lakini sayansi haina huo uwezo... Sayansi inafika mahali ili kuweza kupata matokeo tarajiwa inahitaji ignition ya uchawi kwa maana ya nishati isiyoonekana
Mh!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
bila kusahau hapa napo kuna mambo mazito balaa....
 
Naomba kujua kwann hawa wataalamu asilia wenye ujuzi hata kuliko sayansi wanashindwa kuingia benki na kuchukua fedha za kutosha halafu wakatoweka? Au kwann wanashindwa kufanya watoto wao kuwa TANZANIA ONE kwa kuamisha mitihani kutoka necta na kuwakabidhi wasolve kabla ya paper?

Bado nawaza kuna nn katikati!!
Tufumbuane macho kuhusu security systems za hizi tahasisi!!
 
usiifananishe sayansi na vitu vyakijingakijinga.. huo uchawi utaishia hukohuko kwa wachawi hasa hii afrika yetu huo uchawi haujasaidia chochote zaidi ya kuimarisha umaskini,ndo yaleyale ya vita vya majimaji mababu zetu walikufa kama samaki nyavuni mbele ya chuma cha mzungu!

madini kuchimba mpk mitambo ya mzungu ingieni huko chini mlete dhahabu walau mtajirike kazi kuroga nitakuwa sijakosea kusema uchawi ni UJINGA maana kama unauwa albino ili upate mali kwanini usitumie uchawi huo kwenda kuiba hela benki ukatajirika kuliko kutoa uhai wa mwenzio!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…