Unapokaza kuomba kisha anapewa mwingine ambaye hata hakuomba.

Haha hahaaaa.. hawa mama zetu ndivyo walivyo jmn, ebu tujitahidi kuwavumilia hivyo hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe haachiki!! Ninampango wa kumfanya yeye awe main alafu nimtafutie mdaka chozi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo auntie popote utakapomuweka haachiki Sakayo uongoo
 
Sababu 6 kwanini bia ni bora kuliko mwanamke
1. Ukienda baa una uhakika wa kupata bia bila kubembeleza
(haina mapozi)
2. Ukiagiza bia ya pili ya kwanza haichukii.
(haina wivu)
3. Unapoagiza bia una uhakika wewe ndio wa kwanza kuifungua
(huwa bikira)
4. Unaweza kushirikiana bia na mwenzako bila wivu wowote.
5. Wakati ukinywa bia hata ukojoe mara ngapi
(hamu haiishi)
6. Bia siku zote haiendi mwezini wala haina siku zake. Jamani bia iacheni iitwe bia!

*Mkuu bora kula bia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…