hillongajonas
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 201
- 441
Mahusiano ya kuficha ficha kama bange ndiyo siyawezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee hapana.Sasa mkuu unaogopa nini si ni mambo ya kawaida tu..?😀
Labda unataka unile kimasikhara.
Kusimamisha sio shida. Misuli yako mwenyewe inasimama kwa picha tu ya profile muone kwanza.Hahaha[emoji3516][emoji1787][emoji13][emoji13]nimeandika hii meseji huku ninesimamisha ujue…Inabidi tuje tutekeleze hili jambo aisee…Mara moja tuu halafu kila mtu na Zake…Hakuna kurudia! Na tunaendelea kuheshimiana..na kusaidiana ktk mambo mengine tuu
Tutabaniana mpaka lini…
Kusimamisha sio shida. Misuli yako mwenyewe inasimama kwa picha tu ya profile muone kwanza.
That Gentleman njoo ujionee
Afu wewe Satoh Hirosh Unatakiwa uwe bouncer wangu sio kumvizia bae wangu ageuke unikule.
Njoo udeal na huyu
Usiombe ya kukute...Kwa hiyo na mie siku yangu ipo sio?
[emoji2960][emoji2960][emoji1787][emoji1787]
Hii kitu ni kweli...kweli asilimia 100...Tena nyie ndio mnakamatikaga mnaingia kichwa na miguu yote hamsikii hamuambiwi[emoji3][emoji3]
Ngoja waje shauriloHao ni mashemeji hao…
Tena nitawajali sanaaa mashemeji zangu haoo.
Hawana Neno dada yao akipata Mtu wa Kumoa kampani!
Ukiwa na Dada Mzuri hukosi shemeji makini..[emoji13][emoji6]
Huyu jamaa anajikuta Rik boy eeh .mwambie nitamnyoosha😎Kusimamisha sio shida. Misuli yako mwenyewe inasimama kwa picha tu ya profile muone kwanza.
That Gentleman njoo ujionee
Afu wewe Satoh Hirosh Unatakiwa uwe bouncer wangu sio kumvizia bae wangu ageuke unikule.
Njoo udeal na huyu
😁😁 shemela naona unatoa mwongozo....Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Kwa mwanaume umempigia mke wa mtu unaanza na shikamoo dada, akijibu dada yako nani..
Ujue mambo shwari...
Akijibu marahaba mdogo wangu...
unazuga kuulizia jina tofauti... akisema umekosea number imeisha hiyo...
Ila ni vizuri mtulie binadamu wa siku hizi...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Principal BachelorsAah wapi at this point kwakweli mme wa mtu simuwezi, mambo ya kufichana ficha mimi siwezi, mtu huwezi mpigia simu unavyotaka huwezi mtumia ki sms kitamu unavyo taka, no ka video call usiku, mme wa mtu hapana wacha nipambane na hawa senior bachelors
Sawa Malikia usiye na dhambi yoyote hapa duniani.Mnafundishana kufanya maovu na uchafu na bado mnsifiN? Mna tofauti ipi na Kaumu Luti?
Allah atulinde na atuongoe.
Mume wake anaweza kuwa na michepuko Zaidi ya wanne ambao wewe huwajui so ur idea is a crazy ideaWasio olewa wanasumbua Sana tofauti na wake za watu.
Halafu wake za watu % kubwa wako safe Kwa swala la Magonjwa tofauti na ambao hawajaolewa ambao unakuta Wana msululu mrefu wa wanaume na hawanatulia. Mke wa mtu unakuta ni Mume wake pamoja na mwizi tu,Ko mwizi ana kuwa ana uhakika kuwa anae lala na mwanamke ni Mume wake pamoja na yeye tu.
Hapo ukutanane na mke wa mtu Mwenye akili anakushauri mkapime vipimo vyote kwanza then ni mwendo wa NYAMA Kwa NYAMA kikubwa ni kuwa mwangalifu na mimba,hata ikitokea kwa bahati mbaya Mume ana tunza huku Siri ikiendelea kati mwizi na mke wa mtu.Hapo ndo UTAKUTA wanaume wako ndani ya ndoa wanatunza watoto wakidhani ni damu Yao Kumbe wanatunza damu ya mwizi.
Kaa tulia..huku sio peponi..subiri vijeba 72 vifumue hiyo mbusus.Mnafundishana kufanya maovu na uchafu na bado mnsifiN? Mna tofauti ipi na Kaumu Luti?
Allah atulinde na atuongoe.
Wanandoa wengi ndio waathirika Kwa taarifa yakoYes! but Mostly wako makini na Afya zao Kwa ajiri ya familia zao.Wachache ambao ni don't care
Umepotea sana...😁😁 shemela naona unatoa mwongozo....
Huo ni utafiti wako Mkuu!!Wanandoa wengi ndio waathirika Kwa taarifa yako