Mwe Mwe jamani 😍😍😍
Kumbe upo!! Haya twende jela kwanza ukajibu kesi!!Mwe Mwe jamani 😍😍😍
Alibadili jina.@bbade ulienda wapi jamani??? mbona mimi nimeshindwa kujitoa JF..?
Wa kwanza ndio ana umuhimu zaidi, nimekuja tu hapoa kama ziada🤣🤣
Kwani wivu umeanza lini eti? 😂Wa kwanza ndio ana umuhimu zaidi, nimekuja tu hapoa kama ziada🤣🤣
Hujambo mpenzi wangu atoto?
Kwani nje ya jf huna means zozote za kunitafuta hadi unimiss kweli? Fanya chap!Kwani wivu umeanza lini eti? 😂
Sitaki.Kwani nje ya jf huna means zozote za kunitafuta hadi unimiss kweli? Fanya chap!
Kumbe uko hai majinja!!!Ninao'wamiss nikiwa nje ya JF ni kama tu sasa hivi siyo Watumiaji wa mtandao huu sana...
Ni mara chache sana naona comments zao.
[emoji28][emoji28][emoji28]Wewe...Kumbe uko hai majinja!!!