Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie Simo[emoji23][emoji23][emoji23]Nikiwa nje ya JF huwa nammiss mtoto mmoja mzuri wa kuitwa mawardat aisee sio siri nampenda sana huyu binti hata babu yake mzee Shimba ya Buyenze analijua hilo
mawardat nakupenda sana.
Mzee Shimba ya Buyenze wacha makasiriko kijana nijipatie jiko [emoji39][emoji39][emoji39]
Vitisho vya nini jamani na tumekubaliana kuwa mawardat muda wa kuolewa umefika.Asante sana mjukuu wangu mwema na uliyebarikiwa sana. Sisi ni ndugu. Always remember that mjukuu.
Nakupenda sana mjukuu wangu 🙏🏿. Ila uwaambie mzabzab na lile lijamaa la kuitwa Foxhound wakae mbali nawe maana kitakachokuja kuwapata haki ya nani watakuja kusimulia 😬😬😬😬💪💪💪
View attachment 2690863
Hard feelings😂😂Sijali kuhusu yeyote humu
🥰🤭
❤️❤️❤️😍😍😍😍Pili nawamisigi watu wangu wanguvu Bantu Lady cocastic Penseli 4 Lovelovie Kapachino National Anthem
Mim ma ako mdogo.namisiwa na pisi kali kumbe😁
Wachawi wa JF2016 kurdi nyuma nilikuwa sipitishi siku sijaingia humu. Ila kwasasa majukumu yanabana sana.
Ukiwa free ndiyo muda pekee wa kucheza na watoto. Nadhani hili halinitokei peke yangu tu.
Binafsi nikiwa offline nawamiss watu kibao. Ila zaidi huwa nammiss @bbade
Wewe huwa unammiss nani zaidi?
Sanaaaaa.Ooh......huwa wanakukuna vizuri kwa michango yao eeh