Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mzee wa kupambania Sharamdala wengin nikiwakumbuka nawalukia hewan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sweetheart na mimi nakumiss ujue
Mi mastori ya jana kisimi bado kimedinda,usinicall tena....dadeK🤒
Pamoja sana. Lini unarudi Dar mzeiya?Mzee wa kupambania Sharamdala wengin nikiwakumbuka nawalukia hewan
Usinifanyie hivyo mpenzi wangu 😘😘Mi mastori ya jana kisimi bado kimedinda,usinicall tena....dadeK🤒
Bado sana mkuu hapa nataman leo kesho nisepe barid limezidPamoja sana. Lini unarudi Dar mzeiya?
Nakubali comrade pamoja sana mwanawane legend kwenye chama
Hapa nammiss Mwanangu sana.2016 kurdi nyuma nilikuwa sipitishi siku sijaingia humu. Ila kwasasa majukumu yanabana sana.
Ukiwa free ndiyo muda pekee wa kucheza na watoto. Nadhani hili halinitokei peke yangu tu.
Binafsi nikiwa offline nawamiss watu kibao. Ila zaidi huwa nammiss @bbade
Wewe huwa unammiss nani zaidi?
Si utafute pisi ya Kimeru mpashane joto. Maandiko yenyewe yamesema wawili ni bora kuliko mmojaBado sana mkuu hapa nataman leo kesho nisepe barid limezid
Hua unamisi nini 😃😃
Hakika kupendwa rahaaa 🥰🥰🥰🥰
Uwepo wako, na si kingine.Hua unamisi nini 😃😃
SawasawaUwepo wako, na si kingine.
to yeye mimi nakuotaga kabisa😂