Unapokuwa nje ya JF huwa unammiss nani zaidi?

Unapokuwa nje ya JF huwa unammiss nani zaidi?

πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜Ila huyo new wako lover Lazima anitoboe macho....maana sijui kama ana moyo wa kushare kama wangu πŸ€’
😁😁😁 Alafu mbona mnanichafua kisiasa jamani.. mie nina mpenzi gani mpyaaa... Nimetoka chit chat ntapewa tuhuma nimekula wapenzi wawili wa MTU ... Ilhali sijawahi hata kutana na mwanamke wa Jf πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
😁😁😁 Alafu mbona mnanichafua kisiasa jamani.. mie nina mpenzi gani mpyaaa... Nimetoka chit chat ntapewa tuhuma nimekula wapenzi wawili wa MTU ... Ilhali sijawahi hata kutana na mwanamke wa Jf πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
🀣🀣🀣🀣Afu Cha ajabu umepata mwanamke anayesema wakijipitisha wapitie....πŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€’
 
😁😁😁 Alafu mbona mnanichafua kisiasa jamani.. mie nina mpenzi gani mpyaaa... Nimetoka chit chat ntapewa tuhuma nimekula wapenzi wawili wa MTU ... Ilhali sijawahi hata kutana na mwanamke wa Jf πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Kijana umekula matunda kwenye bustani ya jeshi 🀣🀣🀣
 
🀣🀣🀣🀣Afu Cha ajabu umepata mwanamke anayesema wakijipitisha wapitie....πŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€’
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… NyΓ­e ndio mnafanya mod Wana niandamaaa humu.. nachukiwaa MTU no sie na hatia
 
2016 kurdi nyuma nilikuwa sipitishi siku sijaingia humu. Ila kwasasa majukumu yanabana sana.

Binafsi nikiwa offline nawamiss watu kibao. Ila zaidi huwa nammiss
globalpublishers-___cm99c02j4gg___-jpeg.1737213

Wewe huwa unammiss nani zaidi?
Tizama picha hapo juu.
 
Back
Top Bottom