To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Sasa wife wako tunamwambia au tumwache tu asije akajisikia vibaya,eti?Mbona faster tu ndoa tena ya bomani maana haina mambo mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wife wako tunamwambia au tumwache tu asije akajisikia vibaya,eti?Mbona faster tu ndoa tena ya bomani maana haina mambo mengi
😄😄😄 Msinizoe na mie.. sitaki ugomvi na wapenzi wa watu mieNdo utuache sasa🤨🤣🤣🤣
Si utani nimeiona kapo fulani hapaHuu uzi unanukia mahaba ❤️😍😅😅
At least sasa,ndoa zetu zitatulia sasa ....daah😔😄😄😄 Msinizoe na mie.. sitaki ugomvi na wapenzi wa watu mie
Ipi, usichukulie seriously jf.....🤣🤣🤣🤸🤸🤸Si utani nimeiona kapo fulani hapa
Mm naangalia tu niacheMwachiluwi hakai mbali😅
🤣🤣🤣Ana mashemeji huyo,mwone tu ivoivoMwachiluwi hakai mbali😅
😄😄Mkioniona nioneni kama gari la covidAt least sasa,ndoa zetu zitatulia sasa ....daah😔
Dada sitaki kumwaga mchele kwenye kuku wengi kuna kapo hapo tena watu wenye macho ya kawaida hawawezi kuona ila sio mimi MwachiluwiIpi, usichukulie seriously jf.....🤣🤣🤣🤸🤸🤸
🤣🤣🤣🤣🤣Wala hatutokugusa siye....😄😄Mkioniona nioneni kama gari la covid
Qhahahhq af nawapenda shemeji zangu🤣🤣🤣Ana mashemeji huyo,mwone tu ivoivo
Jeiefuu sio wachoyo 😅😅🤣🤣🤣Ana mashemeji huyo,mwone tu ivoivo
Jf ni kawaida mbona🤣🤣🤣 mahaba niue.....hapa tu mie tayari nimedaka Wawili🤭😋Dada sitaki kumwaga mchele kwenye kuku wengi kuna kapo hapo tena watu wenye macho ya kawaida hawawezi kuona ila sio mimi Mwachiluwi
kosa langu ni kukiri kwamba nakutaka kimapenzi??Toa hiyo post tuone
Watakunyima vyote ila siyo.....Jeiefuu sio wachoyo 😅😅