Unapokuwa nje ya JF huwa unammiss nani zaidi?

Unapokuwa nje ya JF huwa unammiss nani zaidi?

2016 kurdi nyuma nilikuwa sipitishi siku sijaingia humu. Ila kwasasa majukumu yanabana sana.

Ukiwa free ndiyo muda pekee wa kucheza na watoto. Nadhani hili halinitokei peke yangu tu.

Binafsi nikiwa offline nawamiss watu kibao. Ila zaidi huwa nammiss @bbade

Wewe huwa unammiss nani zaidi?
Kichwa kichafu😂.Stroke😂.Magonjwa Mtambuka 😂.Halafu wote vinyonga vya kijani🍀🤸🤸🤸
 
Awe nae ana vigezo vya kupigwa peke yake... Yaaan awe full option 😊😊😊
Yes , anataka mtu matured mwenyewe kumpa ideas za maisha na ni mtu mwenye kila sifa ya uzuri kamzidi zari kwa uzuri ni mixer ya mhindi na mexico .
Hajaolewa ila anawatoto 2 anatafuta mtu mwenye kujua maana ya mume , awe anachangia vitu vidogo vidogo maana yeye kila kitu anacho je upo tayari??
Unajua kukutoa sadaka nini?
Siyo ya damu ni kukupea malaya ulale nao maana ndio unawataka umeshindwa kutulia ngoja nikuonyeshe mf. Wa yupoje
 
Yes , anataka mtu matured mwenyewe kumpa ideas za maisha na ni mtu mwenye kila sifa ya uzuri kamzidi zari kwa uzuri ni mixer ya mhindi na mexico .
Hajaolewa ila anawatoto 2 anatafuta mtu mwenye kujua maana ya mume , awe anachangia vitu vidogo vidogo maana yeye kila kitu anacho je upo tayari??
Unajua kukutoa sadaka nini?
Siyo ya damu ni kukupea malaya ulale nao maana ndio unawataka umeshindwa kutulia ngoja nikuonyeshe mf. Wa yupoje
Mlete PM .. tuunganishe.. watoto ni baraka.. fanya namnaaa niunganishe Tu alale kifuani pangu
 

Attachments

  • images - 2023-07-17T214234.073.jpeg
    images - 2023-07-17T214234.073.jpeg
    33.2 KB · Views: 2
Back
Top Bottom