Unapokuwa nje ya JF huwa unammiss nani zaidi?

Unapokuwa nje ya JF huwa unammiss nani zaidi?

2016 kurdi nyuma nilikuwa sipitishi siku sijaingia humu. Ila kwasasa majukumu yanabana sana.

Ukiwa free ndiyo muda pekee wa kucheza na watoto. Nadhani hili halinitokei peke yangu tu.

Binafsi nikiwa offline nawamiss watu kibao. Ila zaidi huwa nammiss @bbade

Wewe huwa unammiss nani zaidi?
Nakumiss wewe Daby
Cc Glenn
 
Auntiee mzuri ❤️❤️😘😘😍😍

Luv sana tonnia. 💖💜💓💗

My friend, my aunt, my adviser, my bestie.

Huna baya kabisa. ☺️☺️🤗🤗💗
Santo sana bestiiii poleee naona washakupin tena lol!!
 
2016 kurdi nyuma nilikuwa sipitishi siku sijaingia humu. Ila kwasasa majukumu yanabana sana.

Ukiwa free ndiyo muda pekee wa kucheza na watoto. Nadhani hili halinitokei peke yangu tu.

Binafsi nikiwa offline nawamiss watu kibao. Ila zaidi huwa nammiss @bbade

Wewe huwa unammiss nani zaidi?
@Daby
 
Back
Top Bottom