Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Kwa hiyo ndio kusema ndio ikawa hivyo na vile? Alafu ndio ikawa hivi? Chanya na chanya si moto huo, waya wa live na earth una sababu zake. Sasa ikiwa live na live si ndio itakua hivyoMdogo angu coca yuko na boss wa mivoucher Mjep
hapana kwanini?? au wote humu ni wachumba zako
kazi unayo unataka kufuga mbwa kokoAcha umalaya [emoji57][emoji57][emoji57]
Akujaribu kwan mpenzi wako?!!
Huyu dogo bado kuna technic nyingi hazijui. Huwa anapagawa sana, sasa pisi kali gani utaipata kwa kupagawa huko?Wewe alikusaidia nani?!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nitamjua tu labda nisiamue kukukomalia uniambieUsimtajie nakwambia ataharibu Kantri namjua kivuruge ooh [emoji23]
kazi unayo unataka kufuga mbwa koko
Naanzaje kuwa na mpenzi mwingine zaidi yako?Acha umalaya [emoji57][emoji57][emoji57]
Akujaribu kwan mpenzi wako?!!
Unaingia kwenye 18 zao hawa wagombanishiHataree ndugu yangu ni tatizo
Hii mbinu yako haiwezi kufanikiwa. Cute wife ni zaidi ya akili nyingikazi unayo unataka kufuga mbwa koko
acha dharau ongea kistaarabu tutakuharibiaHii mbinu yako haiwezi kufanikiwa. Cute wife ni zaidi ya akili nyingi
Huo ubavu hauna. Wewe size yako ni kukariri madesa usipate suppacha dharau ongea kistaarabu tutakuharibia
nipe mbinu sasaHuo ubavu hauna. Wewe size yako ni kukariri madesa usipate supp
Kabla ya mbinu hebu nijibu Kati ya hivi una kipi?nipe mbinu sasa
sina hata kimoja hapoKabla ya mbinu hebu nijibu Kati ya hivi una kipi?
- pesa
- fame
Kabla ya kukusaidia upate warembo, basi inabidi nikusaidie mbinu upate kimoja Kati ya hivyosina hata kimoja hapo
kwahiyo Cute Wife amekupendea kimoja kati ya hivyo?? mi sio mshamba kiivyo mzee hii ni kambaKabla ya kukusaidia upate warembo, basi inabidi nikusaidie mbinu upate kimoja Kati ya hivyo
Cute wife hapa kaingiaje? Alichinipendea anakijua yeye.kwahiyo Cute Wife amekupendea kimoja kati ya hivyo?? mi sio mshamba kiivyo mzee hii ni kamba
sasa hivo vitu kupata mbona ni ngumu sana,Cute wife hapa kaingiaje? Alichinipendea anakijua yeye.
Hapa nazungumza na wewe nikusaidie utoke hapo ulipo, alafu dogo huu ujuaji wako ndio unafanya unahangaika sana
Ugumu upo wapi?sasa hivo vitu kupata mbona ni ngumu sana,