Unapokuwa umefanikiwa sana kifedha kumbuka vyote vitakavyoanza kuja kwako ni kwa hisani ya fedha yako

Unapokuwa umefanikiwa sana kifedha kumbuka vyote vitakavyoanza kuja kwako ni kwa hisani ya fedha yako

Na kuna wanawake mnaweza kaa hata miezi 6 hajawahi kukutafuta. Siku mchongo wako ukitiki tu muamala ukaingia kwenye akaunti unashangaa nayeye ndio siku hiyo anakutafuta na kuanza kukulaumu kwanini siku hizi humtafuti amekumiss.
Hahahh
 
Back
Top Bottom