Unapomtaarifu mwanamke kuwa mume wake ana mahusiano pembeni unamuharibu kisaikolojia

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ona huyu laki tu umeshang’aka ukiambiwa baby naomba niongezee 3m kwenye biashara si dunia nzima itajua[emoji28]
Haiwezi kutokea hio labda tuwe tumeshaumaliza mwendo
 
Kuna vidume wapuuzi sana, yes wapuuzi sana. Huwezi kuongea na mwanamke hadi utumie mipesa just kutongoza tu? Ni advantage kwa mwanamke though, lakini ni upuuzi kutumia millions of money just to win her.

Kuna lijamaa nalifaham lilituma 2m kwa dem just to get her attention, upumbavu was kiwango kikubwa huu, japo mwanamke anakuwa na advantage hapo...2m ya kuhongwa, hapo hata kuambiwa nataka mbususu yako bado hajaambiwa.
 
Mwanamke gani wa kibongo asikie mumewe kacheat asimfuate kumuuliza na rafiki aliyepeleka maneno akatajwa
 
Pesa inapunguza kujieleza,
Anajaa TU kwenye laini anakupa unachotaka[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pesa inapunguza kujieleza,
Anajaa TU kwenye laini anakupa unachotaka[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ujinga mzee trust me ni ujinga! Wakati huo kuna wazazi hujawajali kwa mda mrefu, una ndugu kibao unaweza kuwatupia japo kidogo...unafanya investment kwa mwanamke ambaye kesho ukifulia anakutukana..woooi..huu upare unanisaidia asee!!
 
[emoji3][emoji3][emoji3]wakati wengine mkiombwa laki mnapiga block[emoji3][emoji3]
Laki.? Wakati mtu anakupigia mahesabu katumia 15k kwa mwanamke anauliza huyo mwanamke anampenda au anatumia tu pesa zake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ila wanaume wanapenda kuwapa pesa wanawake wanaowapenda basi tu vipato vinawaangusha
 
Ndio ujue sasa hivi vislay Queens vya JF navyopakaziwa navigegeda ni uzishi tu.

Wewe ndio chaguo langu la moyo, soulmate wa milele.

Nakupenda milele
 
Moral of the story.....kila mbususu ina bei yake, vidume tusake hela tuwagegede warembo
 
Kama wewe ulishindwa mwenyewe kula hela zangu za pensheni. Acha aIfaidi mjukiu wangu mtiifu kipenzi Joannah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…