johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe fikiria akina Halima Mdee wamefukuzwa chamani LAKINI kwa Mapenzi yao binafsi kwa Chama bado wako Bungeni wakikiwakilisha πππ€£π€£π₯π₯ shida huko majukwwani wanaweza kuropoka ile kauli mbiu...peopleee power!!! maana nikama jinamizi
Kweli kabisa bwashee upendo chadema lia lia leo kapata bwana mpya anamkadia wa zamani kweli hawaaminiki!Nawakumbusha tu akina Clouds, Wasafi, Channel ten nk
Chadema ni blood yaani Uhai kwa walioiamini hata kama Sasa wako CCM kwa sababu za Njaa iliyotukuka kwenye matumbo yao na Ada za Watoto
Imarisheni UVCCM huo Ndio Muarobaini
Mtanishukuru baadae πΌ
Ccm tumeandaa chawa badala ya fikra mbadala!Nawakumbusha tu akina Clouds, Wasafi, Channel ten nk
Chadema ni blood yaani Uhai kwa walioiamini hata kama Sasa wako CCM kwa sababu za Njaa iliyotukuka kwenye matumbo yao na Ada za Watoto
Imarisheni UVCCM huo Ndio Muarobaini
Mtanishukuru baadae πΌ
Hiyo ndio siasa, bwana!!Mbona Lissu ametamba na udhaifu wa muungano kwa, wiki tatu na CDM wakashangilia kwa nguvu sana.Nawakumbusha tu akina Clouds, Wasafi, Channel ten nk
Chadema ni blood yaani Uhai kwa walioiamini hata kama Sasa wako CCM kwa sababu za Njaa iliyotukuka kwenye matumbo yao na Ada za Watoto
Imarisheni UVCCM huo Ndio Muarobaini
Mtanishukuru baadae πΌ
Upendo angetulia aendelee kula taratibu ataharibuKweli kabisa bwashee upendo chadema lia lia leo kapata bwana mpya anamkadia wa zamani kweli hawaaminiki!
UVCCM ya zamani ilikuwa na data zote za Vyama vya Upinzani na walizitumia kwa weledi faraghaniHiyo ndio siasa, bwana!!Mbona Lissu ametamba na udhaifu wa muungano kwa, wiki tatu na CDM wakashangilia kwa nguvu sana.
Peneza kuweka wazi madhaifu ya CDM, kelele kila upande. Kule USA Trump anamwambia Biden, kwamba ni crooked na kwamba tarehe 27 June, 2024 ,kwenye mdaharo kupitia, CNN na ABC atamuonyesha crooked Biden Kaz. Sasa Peneza kuongea kupitia Cloud tu, kelele nyingi kutoka mabondeni. Tatizo ni nn?
Ni utaratibu mbovu sanaHizo tabia wamerithi kutoka awamu ya 5
Unawaza kizamani sana kama mifano Yako ilivyo ππNi uhuru wake kikatiba kuhama chama kama hakitimizi matarajio yake.Lema alihama TLP,Lissu alihama NCCR mageuzi ,Marehemu Maalim Sefu alihama CUF licha ya kukiasisi chama hicho.Marehemu Lowassa alihama CCM na kuwa mgombea wa UKAWA kwanini iwe nonga kwa Upendo?
Amehojiwa anajibu aliyoulizwa.Kama anasema uongo wajitokeze waliosemwa na kukanusha.
Wewe waza kisasa najua hata suruali unavaa mlegezo,unasuka nywele na kuvaa hereni.Hongera mtu wa kisasa.Unawaza kizamani sana kama mifano Yako ilivyo ππ
Kwako Mrangi Ova - Ufipa st πWewe waza kisasa najua hata suruali unavaa mlegezo,unasuka nywele na kuvaa hereni.Hongera mtu wa kisasa.
Kwakweli !Nawakumbusha tu akina Clouds, Wasafi, Channel ten nk
Chadema ni blood yaani Uhai kwa walioiamini hata kama Sasa wako CCM kwa sababu za Njaa iliyotukuka kwenye matumbo yao na Ada za Watoto
Imarisheni UVCCM huo Ndio Muarobaini
Mtanishukuru baadae πΌ
Yaani anakosekana uvccm wa kumjibu Lisu?!πΌKwakweli !
Wenye uwezo wa kupambana na Lissu kwa hoja tumebaki kama wasikilizaji na watazamaji ! ππ