Pre GE2025 Unapomualika Makapi ya Chadema kumshambulia Mbowe kwenye TV ya CCM ni sawa na kuipaisha CHADEMA bila kujua!

Pre GE2025 Unapomualika Makapi ya Chadema kumshambulia Mbowe kwenye TV ya CCM ni sawa na kuipaisha CHADEMA bila kujua!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nawakumbusha tu akina Clouds, Wasafi, Channel ten nk

Chadema ni blood yaani Uhai kwa walioiamini hata kama Sasa wako CCM kwa sababu za Njaa iliyotukuka kwenye matumbo yao na Ada za Watoto

Imarisheni UVCCM huo Ndio Muarobaini

Mtanishukuru baadae 🐼
Kweli kabisa bwashee upendo chadema lia lia leo kapata bwana mpya anamkadia wa zamani kweli hawaaminiki!
 
Nawakumbusha tu akina Clouds, Wasafi, Channel ten nk

Chadema ni blood yaani Uhai kwa walioiamini hata kama Sasa wako CCM kwa sababu za Njaa iliyotukuka kwenye matumbo yao na Ada za Watoto

Imarisheni UVCCM huo Ndio Muarobaini

Mtanishukuru baadae 🐼
Ccm tumeandaa chawa badala ya fikra mbadala!

Hakuna vijana wenye hoja za kuendana na upinzani Kwa Sasa zaidi ya kumsifu Mama Ili ugali uende tumboni!!

Acha watumike hao hao ndio wenye hoja!!
 
Nawakumbusha tu akina Clouds, Wasafi, Channel ten nk

Chadema ni blood yaani Uhai kwa walioiamini hata kama Sasa wako CCM kwa sababu za Njaa iliyotukuka kwenye matumbo yao na Ada za Watoto

Imarisheni UVCCM huo Ndio Muarobaini

Mtanishukuru baadae 🐼
Hiyo ndio siasa, bwana!!Mbona Lissu ametamba na udhaifu wa muungano kwa, wiki tatu na CDM wakashangilia kwa nguvu sana.

Peneza kuweka wazi madhaifu ya CDM, kelele kila upande. Kule USA Trump anamwambia Biden, kwamba ni crooked na kwamba tarehe 27 June, 2024 ,kwenye mdaharo kupitia, CNN na ABC atamuonyesha crooked Biden Kaz. Sasa Peneza kuongea kupitia Cloud tu, kelele nyingi kutoka mabondeni. Tatizo ni nn?
 
Hiyo ndio siasa, bwana!!Mbona Lissu ametamba na udhaifu wa muungano kwa, wiki tatu na CDM wakashangilia kwa nguvu sana.

Peneza kuweka wazi madhaifu ya CDM, kelele kila upande. Kule USA Trump anamwambia Biden, kwamba ni crooked na kwamba tarehe 27 June, 2024 ,kwenye mdaharo kupitia, CNN na ABC atamuonyesha crooked Biden Kaz. Sasa Peneza kuongea kupitia Cloud tu, kelele nyingi kutoka mabondeni. Tatizo ni nn?
UVCCM ya zamani ilikuwa na data zote za Vyama vya Upinzani na walizitumia kwa weledi faraghani

Yule Polepole alikuja na monopoly yake na kuiamini bavicha sirini

Ngoja niishie hapo 🐼
 
Ni uhuru wake kikatiba kuhama chama kama hakitimizi matarajio yake.Lema alihama TLP,Lissu alihama NCCR mageuzi ,Marehemu Maalim Sefu alihama CUF licha ya kukiasisi chama hicho.Marehemu Lowassa alihama CCM na kuwa mgombea wa UKAWA kwanini iwe nonga kwa Upendo?
Amehojiwa anajibu aliyoulizwa.Kama anasema uongo wajitokeze waliosemwa na kukanusha.
 
Ni uhuru wake kikatiba kuhama chama kama hakitimizi matarajio yake.Lema alihama TLP,Lissu alihama NCCR mageuzi ,Marehemu Maalim Sefu alihama CUF licha ya kukiasisi chama hicho.Marehemu Lowassa alihama CCM na kuwa mgombea wa UKAWA kwanini iwe nonga kwa Upendo?
Amehojiwa anajibu aliyoulizwa.Kama anasema uongo wajitokeze waliosemwa na kukanusha.
Unawaza kizamani sana kama mifano Yako ilivyo 😂😂
 
Nawakumbusha tu akina Clouds, Wasafi, Channel ten nk

Chadema ni blood yaani Uhai kwa walioiamini hata kama Sasa wako CCM kwa sababu za Njaa iliyotukuka kwenye matumbo yao na Ada za Watoto

Imarisheni UVCCM huo Ndio Muarobaini

Mtanishukuru baadae 🐼
Kwakweli !
Wenye uwezo wa kupambana na Lissu kwa hoja tumebaki kama wasikilizaji na watazamaji ! 🙏😅
 
Back
Top Bottom