Unapopewa zawadi na mpenzi wako jiulize una mapungufu yapi?

Mimi nina sinland 4 zinatosha mkuu au niongez
 
We kweli Lodi Lofa we na ujanja wako wote ulikua unatumia Pafyum ya kike mpaka demu wako kakununulia pafyum ya kiume sasa unakataa nini afu unajimaliza mwenyewe we Pimbi kweli
 
Mtoa mada utakua unajihami kutoa zawadi kwa mpenzi wako

Acha sie tuendelee kutoa na kupokea zawadi kwa mabebe zetu
Haha haha hajauzuiliwa kupokea au kutoa ila najua ukiona kuna upungufu kwa fance wako ndio utapeleka msaada wako pale
 
Atakuwa callisah mtoa mada[emoji23][emoji23][emoji23]aliwasema waimba singeli
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mkuu sijalenga kundi ila tunashauriana mapungufu madogo madogo yaliyo ndani ya uwezo wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…