Unapotaka kufanya biashara epuka kabisa madalali wa uswahilini. Kilichonikuta kimenipa funzo

Nilijua umeibiwa mkuu kumbe umekula matunda kimasikhara?? [emoji23][emoji23][emoji23] Hongera sana asee
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwana amekula threesome yake safi kabsa.
 
Lakini hapa shida naona hata sio madalali. Ni wewe mwenyewe tu uliteleza mana ulikua na uwezo wa kuepuka yote hayo
 

Mbona wewe ni mpuuzi kuliko huyo dalali? Yani nikiambiwa nichague wa kufanya naye biasharaka Kati yako na dalali, nitamchagua dalali!
 
Unaonekana una experience nzuri ya kuliwa, lakini nikukumbushe si kila mtu ana tabia za kupigwa miti akilewa kama wewe.
Basi eleza nani alikuvua suruali?? ushapasuliwa yai wewe. Kifupi si riziki tena. Alafu unasema ulienda kutafuta kiwanja? inawezekanaje mpaka leo hii hujitambui,unaishi kwa kufuata upepo. Kwamba ungekuta dalali anabwia nawe kufuata njia hiyo ili mfanane. Nina wasiwasi na jinsi ulivopata hiyo hela ya kununua kiwanja. All in all hongera kwa ujasiri wa kuja kuandika hapa japo hujaonyesha maelezo. Ungenipa nafasi ya kukuhoji hapo kuna maswali zaidi ya mia ambayo hayana majibu
 
Mbona wewe ni mpuuzi kuliko huyo dalali? Yani nikiambiwa nichague wa kufanya naye biasharaka Kati yako na dalali, nitamchagua dalali!
Nami nakubaliana na wewe huyu jamaa ni upuuzi kuliko. Yawezekana ni mwalimu wa shule ya msingi huyu. Hawa ndo mara nyingi wakipangwa huko vijijini wakikuta maeneo ya walevi wanakuaga walevi kuliko wenyeji. Alafu anakuja na utetezi wa kijinga eti nilitaka kufanana na wenyeji. Alafu ameajiriwa, kazi tunayo Tanzania.
Hawa ndo wale wanaostaafu wakipata mafao wanapeleka hela kwa waganga ili zizae.
 
Alisikika motivational speaker akiongea kwa jazba.
 
Kosa ni lako na sio la dalali.

Mtu mwenye akili timamu asingefanya makosa uliyofanya wewe toka mwanzo.

Unakutana na mtu kilabuni, anakushawishi uingie ndani na unakubali, unapewa pombe na unakubali, unaambiwa ununue kvant unakubali.

Wewe ni mtu wa hovyo usie na msimamo na hujui unataka nini.
 
Nimecheka sana aisee!Pombe siyo chai kwa kweli.Ukajikuta na "magrandmaza" wako kwenye shuka moja kitandani mkiwa watupu?Siongezi neno.Subhanallah!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Ww mwenyewe kichwa cha kuku tu, hivi mm leo uninyweshe chibuku ? Kweli labda uniue kwanza, lakini ndio nina ratiba yangu situmii chochote zaidi ya kile kilicho kwenye ratba yangu. Ww hujui nn unataka kwa wakati gani . Anza kujiheshimu kwanza. Yote kwa yote pole na asante kwa story nzuri yenye mafunzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…