Emen
JF-Expert Member
- Jun 22, 2021
- 2,069
- 3,516
Na ubahili wako haukuagiza ata nyama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ubahili wako haukuagiza ata nyama
Mkono wa nyani. Dogo janja akimkumbuka airiniii analia kichizKabisa wauza Pombe wengi wana "DRUM"
Wahi hospital ili wakupe PEP.Pole kwa kuukwaa
Na huu ndio ukweliNakupa siri wamama wauza pombe wote wapo kwenye TLD
Wengi tuko hivyo, hatuishi kwa bajeti hata kidogo. Mtu yupo na mishe zake, hana hata sababu za kunywa pombe, amejikalia hapo anaanza kuingia gharama zisizo kwenye hesabu zake.Kosa ni lako na sio la dalali.
Mtu mwenye akili timamu asingefanya makosa uliyofanya wewe toka mwanzo.
Unakutana na mtu kilabuni, anakushawishi uingie ndani na unakubali, unapewa pombe na unakubali, unaambiwa ununue kvant unakubali.
Wewe ni mtu wa hovyo usie na msimamo na hujui unataka nini.
Mkono wa nyani. Dogo janja akimkumbuka airiniii analia kichiz
Kiwanja nimeshapata mkuu.Kiwanja umepata
Mimi nimezoea nikitoka ofisini ni kush kidogo, hayo ndio maisha yangu, sanasana nisiposmoke ntakuwa busy na mke wangu kuzungumza na watoto na kuwasaidia mambo ya darasani.Ww mwenyewe kichwa cha kuku tu, hivi mm leo uninyweshe chibuku ? Kweli labda uniue kwanza, lakini ndio nina ratiba yangu situmii chochote zaidi ya kile kilicho kwenye ratba yangu. Ww hujui nn unataka kwa wakati gani . Anza kujiheshimu kwanza. Yote kwa yote pole na asante kwa story nzuri yenye mafunzo
Duh ni hatar tena wanawake wa vilabu vya pombe za kienyeji, amuombe sana Mungu tobaUmeshapima ngoma?